simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Kumbuka kwa vita hivi ajira za nduguzo Azam mashakani.Hawa jamaa wamezoea wakifanya kitu tunawaachia tu bila hata ku reciprocte , its high time tuanze tit for tat, wakimwaga sukari, tunamwaga chai, Mazoea hatutaki tena
Enlighten us please, I bet we shall all fall in laughter!.All you here have very little or no knowledge how politics are done.
Nadhani ule uongozi tulio nao tangia kwa kibaki hadi kwa uhuru saa hii ni komavu. Wanaiona Uganda beyond M7, na wanaelewa tosha kukwaruzana na hili taifa sababu ya huyu babu mzee na ilihali siku zake za kung'atuka zishaa jipa ni bure. Kuna mengi tunafaidi Kama taifa tukivumilia hili chokonoo la migingo, la sii hivyo wangekuwa walishaa fungasha enzi hizoooo!..Alianza Mwai Kibaki aliposema kwamba hatuwezi kosana na Uganda kwasababu ya kipisi cha jiwe kwenye ziwa. Rais Uhuru naye akafata nyayo. Baada ya zamu ya U.K kuisha ndio sijui kutakuwaje. Maanake wale wote wanaovizia kiti hicho ni wahuni fulani hivi. Nadhani miaka ya baadaye kidogo ndio watu watazifahamu vizuri rangi za kweli za manyang'au.
Vitumbua havipikwi kwa unga wa ngano.Hahaa aisee .....naona hapa mzee bahresa tumembana pumbu kidogo , juzi tumezuia zile energy drink zake maana wachemia wetu wamesema sio salama kwa wanachi! sasa malori yake alivoyapaki mengi hapo mpakani dahh ,unga wake waswahili wakapikie vitumbua tu kama hataki kulipia ushuru [emoji16] [emoji109]
Hahahaha, failed state at its bestLDC ati nini?
Hahaha kaka punguza hasira, Tanzania tuna soko kubwa la SADC, ninyi mnatuhitaji sana, sisi hatuwahitaji kamwe, mkipandisha kodi ya unga wa ngano mnazidi kuwaumiza wananchi wenu, wakati pipi na chocolate zenu hazina umuhimu wowote kwa watanzania.good job aisee!! tit for tat...mtoto akililia wembe...kiboko kizuri hicho....kaza waya!!! We should now shift our focus to Ethiopia...tuwache kabisa kubembeleza hawa LDC dwellers kisa biashara...hata mambo yakiharikiba wacha yaharibike...it is time to trade with our northern partner..I have a feeling we have more to benefit from ET than we do from our lazy, primitive and hostile southern LDC neighbors
Hahaa aisee .....naona hapa mzee bahresa tumembana pumbu kidogo , juzi tumezuia zile energy drink zake maana wachemia wetu wamesema sio salama kwa wanachi! sasa malori yake alivoyapaki mengi hapo mpakani dahh ,unga wake waswahili wakapikie vitumbua tu kama hataki kulipia ushuru [emoji16] [emoji109]
Nyang'au iko pesa shinda weweNyang'au iko cheza na moto.
Moto itawakia yeye.
Unashangilia vita ya mafahali wawili bila kujua madhara kwa nyasi.... Kule Moshi michele inayolimwa kwa wingi, tena kwa gharama (mingi inayoka kwenye Irrigation schemes) imekosa soko na hali ni mbaya. Soko lao kubwa was Kenya.Do u expect JPM to allow confectioneries that over 60% is made sugar imported duty free contrary to EAC Protocol that rule of Origin specify which products qualify?
JPM has numbers in the Parliament, he can screw Kenya anytime he decides. Be careful my friend.
Unafikiri anayeumia ni Baghresa tuu na huu ujinga? Huko Moshi michele mingi iliyokuwa inaenda Kenya via border ya Taveta imedoda wakulima wanalia kilio cha mbwa koko....Ningekuheshimu sana kama ungekuwa unachanganua haya masuala kama mwanabiashara na sio mla buku saba, makada wa chama. Sijui nani aliwadanganya kwamba Kenya ni dhaifu kwasababu inangoja tu kujibu mapigo. Sasa hivi tukiongea na wewe kuna malori mengi kutoka Tz yamekwama pale Namanga kwa mwezi sasa yamejaa ngano. Mbona hawayageuzi yarudi yalikotoka? Haya majungu kutoka ikulu ya Tz ambayo hayana msingi ni hasara tupu kwa kila mtu. Mkimaga sima nasi tunamwaga mchuzi. Wanaofaidi ni wale ambao wanajiona wababe na malaika flani. Ngoja Bakhresa naye pia aanze kulialia.
Inasikitisha sana. Kenya hata wale wanabiashara wadogo wadogo wakienda hasara huwa wanaonesha hamaki zao, mara waandamane au wafunge mabarabara hadi kieleweke. Masikini hawa wakulima wa Tz sijui vilio vyao vitasikizwa na nani.Unafikiri anayeumia ni Baghresa tuu na huu ujinga? Huko Moshi michele mingi iliyokuwa inaenda Kenya via border ya Taveta imedoda wakulima wanalia kilio cha mbwa koko....
Baghresa atabaki na unga, hataendelea kununua kwa wakulima na kilio kikuu kitabaki kwa mkulima maana atakosa soko, like now mchele Moshi hauna soko.....You will feel the pinch from both Tz and UG, then a big question to ask yourselves, kati ya anayebaki na unga wake au anayebaki na pipi zake who will then have the last laugh!?
Wewe pumbavu kwahiyo wanaotumia industrial sugar hawaumii? Kwa illegal importation of dutyfree sugar by Kenya?Unafikiri anayeumia ni Baghresa tuu na huu ujinga? Huko Moshi michele mingi iliyokuwa inaenda Kenya via border ya Taveta imedoda wakulima wanalia kilio cha mbwa koko....
Kaka zetu USA na China,wanafanya hivihivi kila mtu kulinda viwanda vyake,na sisi twende hivyo hivyo,hakuna cha ajabuDo u expect JPM to allow confectioneries that over 60% is made sugar imported duty free contrary to EAC Protocol that rule of Origin specify which products qualify?
JPM has numbers in the Parliament, he can screw Kenya anytime he decides. Be careful my friend.
madai yako hayana proof...maybe ulete kwanza ndio tukuamini..kwa sasa unaongea pumba tuSasa naamini wengi wenu humu ni ubishi wa KE VS TZ tu ndio mnajua, but when it comes to regional politics ni bure kabisa.
hahaha kuja pole poleWewe pumbavu kwahiyo wanaotumia industrial sugar hawaumii? Kwa illegal importation of dutyfree sugar by Kenya?