Kenya General Service Unit(GSU) vs Tanzania Soldiers

Wawatoe wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akileta uni tag
Jamaa ata shinda akituwekea askari wa magereza mara sijui ,anti riot. Nikama Kenya hakuna hizo units wakati kenya units specialized ni nyingi sana Kutoka border patrol units ,antistock theft,kpr ,RDU , flying squad, kenya police airwing ata sidhani polisi wao Wana dedicated airwing .
 
M23 pangaboiz kiboko chenu...hebu nikumbushwe Ni wangapi walikatakatwa kwa mapanga Hadi kufa na hao watoto wa kongo?
 
Polisi wa Tanzania hata drive hawana sembuse airwing wacha hata polisi military Yao Ndege Ni kidogo Sana Tena zile za world war 2...waulize Kama Wana parachute battalio...wamekomalia ardhini wakati Jeshi la kisasa Ni hewani.
 
Hamna kitu kule nakwambia...wawe navyo wasivilete..subutu!!
 
Polisi wa Tanzania hata drive hawana sembuse airwing wacha hata polisi military Yao Ndege Ni kidogo Sana Tena zile za world war 2...waulize Kama Wana parachute battalio...wamekomalia ardhini wakati Jeshi la kisasa Ni hewani.
Unajitekenya na kujicheka
 
Maskini...hata nakusikitikiaHayo ni mambo ya kawaida kw nchi zinazopambana na magaidi...

Cheki huyo wa turkey wakiwa kule northern syria[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1245349
Hivi ndio inavyovaliwa wakati wa mchana( kama hujaamua kuitoa kabisa)

Angalia tofauti na huyo muiba biskuti wa Westgate halafu rudi tena hapa
 
Unajitekenya na kujicheka
Jambo lolote la Tz Hakuna la maana Ni mdomo, misifa, pambio na mihemko so lazima nijitekenye na nicheke πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ bure kabisa JWTZπŸ™‰πŸ™‰
 
Polisi wa Tanzania hata drive hawana sembuse airwing wacha hata polisi military Yao Ndege Ni kidogo Sana Tena zile za world war 2...waulize Kama Wana parachute battalio...wamekomalia ardhini wakati Jeshi la kisasa Ni hewani.
The avarage Tanzania Policeman doesn't even know what an IED is.
 
Halafu acheni kuropoka ninyi.
Uganda ilisaidiwa na Libya mbona husemi hilo???
Hyo vta ya Uganda sisi tulifanya collabo na nani??
Halafu uzuri ktk vita zote tulizoshinda japokuwa kuna majeshi mengine pembeni JWTZ ndio inaongoza mapambano.
 
Mnapinga hadi vitu vinajulikana, mlisaidiwa na Waganda, Waethiopia, wachina, wamozambique
Halafu acheni kuropoka ninyi.
Uganda ilisaidiwa na Libya mbona husemi hilo???
Hyo vta ya Uganda sisi tulifanya collabo na nani??
Halafu uzuri ktk vita zote tulizoshinda japokuwa kuna majeshi mengine pembeni JWTZ ndio inaongoza mapambano.
 
Nynyi vita vyote mmefanya kuwachangia hao mnaopigana nao, naye museven asemeje?
Halafu acheni kuropoka ninyi.
Uganda ilisaidiwa na Libya mbona husemi hilo???
Hyo vta ya Uganda sisi tulifanya collabo na nani??
Halafu uzuri ktk vita zote tulizoshinda japokuwa kuna majeshi mengine pembeni JWTZ ndio inaongoza mapambano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…