Mnapinga hadi vitu vinajulikana, mlisaidiwa na Waganda, Waethiopia, wachina, wamozambiqueView attachment 1245496
Bro teke unarushaje km unakunya?
Hamna kitu hapo.
Nynyi vita vyote mmefanya kuwachangia hao mnaopigana nao, naye museven asemeje?
0Mnapinga hadi vitu vinajulikana, mlisaidiwa na Waganda, Waethiopia, wachina, wamozambiqueView attachment 1245496
Statement haijakaa vzuri bratheee.
Nyinyi kule somali mnasaidiwa na nani!!!!US na bado mnakamuliwa.Mnapinga hadi vitu vinajulikana, mlisaidiwa na Waganda, Waethiopia, wachina, wamozambiqueView attachment 1245496
Nyinyi kule somali mnasaidiwa na nani!!!!US na bado mnakamuliwa.
Kama hiyo kuchana msamba hewani inaitwa silent drill, je loud drill itakuaje? LolDuh!!kumbe hata silent drill hamuitambui...
Admistration police ndio wako ba best silent drill in africa...
Jamaa njooni, kumbe hawa jamaa hawajui maana ya silent drill
Kama hiyo kuchana msamba hewani inaitwa silent drill, je loud drill itakuaje? Lol
Tulia uelimishwe.Kama hiyo kuchana msamba hewani inaitwa silent drill, je loud drill itakuaje? Lol
Hapo asiejua English ni mimi au wewe?Bwahahaaaaa!!!
Anyway, wacha nikuelimishe kidogo...najua ni kingereza ndio kinakusumbua, hujaelewa lkn wajifanya ali kujua..
"Kwata la kimya kimya"(silent drill)
Hiyo elimu ya kunigawia hana sababu hiyo aliyonayo mwenyewe haimtoshi.Tulia uelimishwe.
Shabab walikuja Nairobi mwaka huu na kuvamia jumba kubwa lenye ghorofa nyingi wakidhani tutachukua siku tatu kuwararua kama vile westgate lakini wakati huu tulichukua masaa nane pekee kuwapepeta na kupasua vichwa vyao.
Hapo asiejua English ni mimi au wewe?
Inawezekana vipi mtu kumake 90° radius in a silent mode?
Baki kujua ujuavyo nami nibaki kujua nijuavyo ila huna la kunielimisha hapo labda lingine.
Sasa wewe ndio uje unifundishe mimi? Baadae sana!Khaaa!!"90° radius in a silent mode"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio kumaanisha nn[emoji115][emoji115]
Sasa wewe ndio uje unifundishe mimi? Baadae sana!