Kenya General Service Unit(GSU) vs Tanzania Soldiers

Kenya General Service Unit(GSU) vs Tanzania Soldiers

Jeshi la kutuliza ghasia
1572083038420.png


1572083230268.png


1572083319296.png


1572083447133.png


1572082940276.png


1572082962483.png
 
kama kawa hua mnaloa vyupi mkishaskia jwtz tehtehh sasa nenda Google m23 and adf
af tulvokua wababe convoy ilipita rwanda kwenda congo!!
ngoja nkwambie tafta kitabu cha kanuni za vita af utajua kwa nn navy na airwing tumewrkeza kwe kuzuia na sio kushambulia.,
af utajua kwa nn tumewekeza kwe army( offensive)
ndege zenu hazitaruka nevy yenu tnawakabidhi navy zenji wawadhibiti


we own the great lakes budaa...
af tafta walchosema alshabab kwa Tanzania we ushangai/ujiulizi kwa nn tz?
🤣🤣Kitabu kipi hicho?
 
Hii tabia ya Waafrika kupimana makende nani anayo kubwa haivutii. Tujirekebishe jameni, sisi ni majirani.
asee budaa msalmie redsan msalmie pia sharamaa usimsaau avril niko apa naskiza streactly kenyan earadio
karibu bongo ugonge balimi haahaahaa
 
Safi saana kijana... Umewachambulia vizuur saana wakihitaji kujua zaid... Unawapa kazi za kila jeshi hapo..

Kenya muundo wao ni mbovu saana.. Nakumbuka sekeseke la west gate walipigana risasi wenyewe kwa wenyewe kisa utoaji wa amri na madaraka haukukaa sawa..

Wazinguaji watupu hakuna jipya kabisa
Kenya ni kizungumkuti. Kila mmoja anajiona ni mbabe. Baadae wakaanza kuuana wao kwa wao.
 
Back
Top Bottom