KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

Kadhi Mkuu 1 and Mulhat Mpunga ,

Thanks ,

Kwa positive feedbacks kuhusu kuapishwa kwa Raila.
mi naangalia you tube wamesema mitambo yao imezimwa asubuhi lakini wanapatikana you tube live ntaendelea kuwajuza mpaka sasa raila hajajitokeza waandishi wa habari wapo pale tangu saa12 asabuhi hakuna dalili a odinga
 

Barbarosa,
Kijana,
Duuuh.

Sawa.
 
Barbarosa,
Kijana,
Duuuh.

Sawa.

Johnson WamutuRIGGING NDO SWAG

Trap Kingnauza Samantha Nataka dem tunezapiga biz

honie emperesswater melon coward kigeu geu

254frank pjoywhat is happening

jason robertbabbbaaaaaaaaaaa!

Olpha Manenokwani ni adverts tu ndo tunaona

jason ongechintv

casmir churchillwhat is inooro tv for yawa

Trap Kingndume atalamba stock

Khadija Kimarhizi advert n za nnlkn siku zote c twazion
 
Sasa mambo ya kuapishwa kwa Raila na Lisu yana uhusiano gani?
 
Safari yetu toka hapa mombasani kuelekea nairobee kumuapisha rao imeiva mazee!
 
Alitaka Kenyatta apeleke jeshi akamwage damu kawazidi akili kawaachia wajiapishe yaani mjini hakuna hata mgambo.
 
Hivi siku hizi vyombo vya habari vya Kenya vinapangiwa nini cha kuonesha mubashara??
 
I concur...They are making it a big deal more than it would have been if they just ignored it...Afterall they have someone in office already..This stalemate needs to end..These men need to sit down now and talk man to man... (not for nusu mkate but for peace sake)...I wonder what Godec has to say about this...
 
Umepata pa kusemea et ,unaona pointi sana hiyo
 
citizentv channel 112, startimes mpaka hivi sasa haipo hewani.
 
Odinga ana supporters wengi sana, halafu wengi wanaongea kijaluo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…