Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
mi naangalia you tube wamesema mitambo yao imezimwa asubuhi lakini wanapatikana you tube live ntaendelea kuwajuza mpaka sasa raila hajajitokeza waandishi wa habari wapo pale tangu saa12 asabuhi hakuna dalili a odinga