KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

Wana JF...,

Hebu tujiulize.., kuna sababu gani ya Raisi Kenyatta kuvizuia vyombo vya habari kufanya kazi yake..?!
Mimi sioni sababu..!

Ni hivi.., kwa mujibu wa Katiba ya Kenya , utaratibu wote wa kumpata Raisi ulikwisha fanywa na raisi yupo kwa mujibu wa Katiba hiyo.. Mamlaka zote za Dola zipo chini ya Raisi Kenyatta kwa mujibu wa Katiba..

Hata kama kuna uchakachuaji uliofanyika wakati wa kuhesabu kura.., lakini vyombo na mamlaka zote za nchi za Kikatiba.., zilikubali, mchakato ule, na sasa zinatii Raisi aliyepo madarakani ..

Katiba ya Kenya, inatamka wazi namna ya kumwapisha Raisi wa nchi.., na mamlaka za Kikatiba za kumwapisha Raisi zimetajwa na Katiba hiyo..

Sasa tujiulize, kwa nini Raisi Kenyatta anahofia kitendo cha Raila kuapishwa huko vichochoroni, tena kuapishwa nje ya utaratibu wa Katiba ya Kenya .. ?!

Jee, ni sahihi Raisi kukimbizana na vichaa huko barabarani..? Jee, ni sahihi Raisi Kenyatta kuzuia wakenya kupata taarifa ya kitendo hicho kisicho na madhara kwake yeye wala Serikali yake..?

Ningekuwa mimi Raisi Kenyatta ningetumia akili ya kisiasa na sio UDIKTETA kupambana na akili ya siasa ya bwana Raila Odinga..
 
Although I don’t support this swearing in drama, I hate to see this kind of censorship of media. It’s quite characteristic of dictatorship ways and a stupid move in general. I personally don’t see like the swearing in is going to result in anything but it can be clearly seen that Uhuru and Ruto are terrified by it.
There's no democracy without respecting the Constitution and the rule of law huyo odinga lazima afuate sheria na media zifuate sheria hapo tutaenda sawa.

Safi sana Uhuru kwa kuenda sambamba na kasi ya JPM
 
Kweli Tundu Lisu noma, kila anachogusa kinapata matatizo, hawa si ndo walirusha habari za Tundu Lisu kuitukana nchi yetu? Sasa Payback time!

Halafu tukisema Demokrasia ina mipaka tunachekwa na kukebehiwa, watu wanamuita Raisi wetu ,,Dikteta” haya sasa Mwanademokrasia wenu Namba Moja Afrika, Uhuru Kenya kafungia Vituo vya TV!
Waambieni TBC warushe.
 
Ah we nawe, sasa uchaguzi umefanyika, na mshindi ametangazwa na ameapishwa

Anakuja mtu mwingine kusema ameshinda yy na anaapishwa na wahuni

Kwaiyo democracy unayotaka ww hapo ni ipi?


Tena alitakiwa wamkamate na kumfunga kabisa coz anachochea vita
Na jinsi alivyo mnafiki hali hii ingetokea Tanzania unajua angefagilia upande gani.
 
Kweli Tundu Lisu noma, kila anachogusa kinapata matatizo, hawa si ndo walirusha habari za Tundu Lisu kuitukana nchi yetu? Sasa Payback time!

Halafu tukisema Demokrasia ina mipaka tunachekwa na kukebehiwa, watu wanamuita Raisi wetu ,,Dikteta” haya sasa Mwanademokrasia wenu Namba Moja Afrika, Uhuru Kenya kafungia Vituo vya TV!
Pelekeni TBC wakarushe.
 
h

apa now banaa naangalia ipo hewani aloo labda kuna tabu hapo kwako.......... ,naangalia aisee


51dbda876732d75a97bdbd7d7004cb69.jpg
 
njoo pm ..
kiufupu leo Raila anaapishwa kuwa rais wa kenya kwa hio kenya kutakuwa na marais wawili

Hii siasa ya Kenya bila panadol ni ngumu kuielewa, na katiba ya Kenya inasemaje kuhusu hili?
 
Simply wafungue SERVER ya IEBC wahakikishe kama Black is Black na White siyo Off White......
 
Msimamo wa serikali ni upi? Mwanasheria mkuu alimwonya Raila kwamba akiapishwa atashtakiwa kwa uhaini. Leo 30Jan Raila anapanga kuapishwa serikali inafungia vyombo vilivyojiandaa kurusha kiapo hicho.Kwa nini serikali inababaika?
Hivi Kiza Besigye alipoapishwa 2016 aliishia wapi?
 
photo.jpg

ABEL SAITOTIteam WiFi
photo.jpg

Rooz Roozmyambo wa punda,security withdrawn afro cinema contunies
photo.jpg

Charles Obiri OmurwaWatching live from CANAAN.
photo.jpg

gilbert kiropCRE NOTES AVAILABLE
photo.jpg

Young Vanny@fred Oluoch location?
photo.jpg

Esther Gachogubudles mwitu
photo.jpg

nduhiu mutituHii canaan ni kama hell
photo.jpg

Raphael WoodsNauza kdf apa kwa podium 🙂
photo.jpg

Trooviez9need that nokia
photo.jpg

Bryan Gibzwatu wa diaspora tuko ndani. wacha wazime jua sasa
 
Back
Top Bottom