ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
HahahaHehehe wewe ni engineer wa mipasho ya ufipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHehehe wewe ni engineer wa mipasho ya ufipa
astaghfrullahKOSA KUBWA ALILOFANYA MUNGU NI KUMUUMBA MWAFRIKA.
There's no democracy without respecting the Constitution and the rule of law huyo odinga lazima afuate sheria na media zifuate sheria hapo tutaenda sawa.Although I don’t support this swearing in drama, I hate to see this kind of censorship of media. It’s quite characteristic of dictatorship ways and a stupid move in general. I personally don’t see like the swearing in is going to result in anything but it can be clearly seen that Uhuru and Ruto are terrified by it.
mi namlaumu uhuru kamchekea sanaAkiachwa, na kesho atasema "nataka kwenda IKULU, nisindikizeni."
Huu upuuzi si wa kuachwa.
Mkuu unaingia kwenye kundi la uchochezi sasa. .Hizo media zimefungiwa baada ya kurusha taarifa ya kuapishwa rais mpya wa Kenya raila odinga.rais wa zamani Kenyatta kachukia.
Waambieni TBC warushe.Kweli Tundu Lisu noma, kila anachogusa kinapata matatizo, hawa si ndo walirusha habari za Tundu Lisu kuitukana nchi yetu? Sasa Payback time!
Halafu tukisema Demokrasia ina mipaka tunachekwa na kukebehiwa, watu wanamuita Raisi wetu ,,Dikteta” haya sasa Mwanademokrasia wenu Namba Moja Afrika, Uhuru Kenya kafungia Vituo vya TV!
Na jinsi alivyo mnafiki hali hii ingetokea Tanzania unajua angefagilia upande gani.Ah we nawe, sasa uchaguzi umefanyika, na mshindi ametangazwa na ameapishwa
Anakuja mtu mwingine kusema ameshinda yy na anaapishwa na wahuni
Kwaiyo democracy unayotaka ww hapo ni ipi?
Tena alitakiwa wamkamate na kumfunga kabisa coz anachochea vita
Pelekeni TBC wakarushe.Kweli Tundu Lisu noma, kila anachogusa kinapata matatizo, hawa si ndo walirusha habari za Tundu Lisu kuitukana nchi yetu? Sasa Payback time!
Halafu tukisema Demokrasia ina mipaka tunachekwa na kukebehiwa, watu wanamuita Raisi wetu ,,Dikteta” haya sasa Mwanademokrasia wenu Namba Moja Afrika, Uhuru Kenya kafungia Vituo vya TV!
Hehehe huyo dada namfahamu ana matatizo ya akili kama nabii titoHahaha
aisee mi siyo ccm tafadhaliUmefkir kenya n Tanzania eeh
Umeona n rahis tu kama
Mlivotaka kumuuwa lisu
h
apa now banaa naangalia ipo hewani aloo labda kuna tabu hapo kwako.......... ,naangalia aisee
njoo pm ..
kiufupu leo Raila anaapishwa kuwa rais wa kenya kwa hio kenya kutakuwa na marais wawili
Hivi Kiza Besigye alipoapishwa 2016 aliishia wapi?Msimamo wa serikali ni upi? Mwanasheria mkuu alimwonya Raila kwamba akiapishwa atashtakiwa kwa uhaini. Leo 30Jan Raila anapanga kuapishwa serikali inafungia vyombo vilivyojiandaa kurusha kiapo hicho.Kwa nini serikali inababaika?
Kwa uchaguzi wa kwanza au wa marudio?Simply wafungue SERVER ya IEBC wahakikishe kama Black is Black na White siyo Off White......
Achaujinga weweNi watu wa DStv tuu tunaona live kutoka Kenya!