KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

Simu za thuraya zinafanyaje kazi. nasikia hizo nchi zetu hawawezi kuyaingilia mawasiliano yake. Nielimishe please. Labda na matangazo ya stream wanafanya hivyo
Ni kwamba Google, yahoo, Facebook, Twitter, whatsap, na networks, ios, na Internet networks nyingine zote kabla hazijaingia kwenye simu yako walienda kwanza TCRA kuomba kibali cha kurusha contents zao Tanzania na serikali ikitaka kuzifunga ina uwezo huo.

Hata ukipiga simu popote duniani kutoka Tanzania serikali inaweza kuzuia simu zisitoke au zisiingie nchini ikitaka sema kutokana na wenzetu wapo mbele technology lakini zile simu ambazo masharika yake yapo Tanzania serikali inaweza kuzidhibiti sababu serikali ina vifaa vinavyokagua masafa yote
 
Kenyatta anacheka sana na Raila amuadabishe tu mchezo uishe
 
Ni kwamba Google, yahoo, Facebook, Twitter, whatsap, na networks, ios, na Internet networks nyingine zote kabla hazijaingia kwenye simu yako walienda kwanza TCRA kuomba kibali cha kurusha contents zao Tanzania na serikali ikitaka kuzifunga ina uwezo huo.

Hata ukipiga simu popote duniani kutoka Tanzania serikali inaweza kuzuia simu zisitoke au zisiingie nchini ikitaka sema kutokana na wenzetu wapo mbele technology lakini zile simu ambazo masharika yake yapo Tanzania serikali inaweza kuzidhibiti sababu serikali ina vifaa vinavyokagua masafa yote
Pole mkuu, nilikuwa namjibu minga mmoja, utakuwa umepitiwa na ubanga bahati mbaya.
Ok nilitaka kushangaa nikasema mbona sijaandika baya!
 
Wewe hata akili huna ulijualo kwenda kamenye vitunguu huko
Unatafuta mume hapa nini?? Make umeisha parangana hapa kujifanya electronic engineer sana! Unaboa pakashume weeh.
 
visasi vipi? hapa nchini mlitetea vyombo visipigwe fine kwa kurusha habari za kituo cha sheria na haki za binadamu, iweje Kenya vinafungiwa na kutishiwa kunyang'anywa leseni? kwani kosa lao ni nini? Ndio maana naomba wana UKAWA ambao wanaiunga mkono serikali ya Kenya kuzungumzia huku kuminya uhuru wa habari na uhuru wa vyombo vya habari kufanya kazi zao.
Mkuki kwa nguruwe
 
26993823_1210333202432601_6208962688585711554_n.jpg
Kaaazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom