Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe baba wa democracy amewaangusha? Hehehe wapinzani mnatakiwa muhamie ulaya mmeshasahau kwamba Uhuru mlikua mnamkatia mauno huku na mipovu utazani mnakata rohoWatu weusi bado tuna matatizo sana kweli inawezekana wazungu wanaakili kuliko sisi weusi.
Kenya siyo TZ
channel stream ndiyo kitu gani, elimu jamaniHawana uwezo wa kuzima hiyo chanel ya stream!
sijasema hivyo, nasema siasa za kenya siyo kama za TZ ambako RAIS anaweza ukafanya lolote unalofikiria kama ilivyo sasaUmejuaje kama mimi ni Mtz?
Ni TV iliyopo kwenye Internetchannel stream ndiyo kitu gani, elimu jamani
Wewe ndio unasema Kenya hawana uwezo wa kuzima streaming media? Hehehe unachekesha hakuna network yoyote kwenye Internet any satellite network ambayo serikali yoyote duniani hawawezi kudhibiti sababu serikali hiyo ndio iliyowapa kibali cha access kwenye maeneo yao.Ustream matangazo kwa njia ya internet (online).
Asante kwa elimu. sasa si internet wanaweza kuifunga TCRA, Kenya, bla bla etc. hapa si walitishia kuifungaNi TV iliyopo kwenye Internet
stream ni kutangaza? Haya mambo ni mageni kwa umri wetu!Ustream matangazo kwa njia ya internet (online).
Hahah unaitwa Odhiambo eeeh OTIE NADO, nijua Mjaluo lazima uje juu,hahah Govi halijawahi kuwaacha wakenya salama.Inaonekana huyo jamaa amkuwa akikuwekea nyuma hiyo GOVI [emoji23] [emoji12]
Mwanaume mzima utajuaje siri ya uchi wa mtu ?! Kakuwekea mara ngapi?! Ulijisikiaje ?! Aendelee au aache ?
wanafanyia wapi maana uwanja ulifungwa wa kumwapishaAngalieni ustream na dstv hawawezi hapa zinaruka kwa satellites.
Mkuu nadhani na wewe ni wale wale! hivi alichotaka kufanya odinga nisawa? Vitabu vya Mungu vinasema tutii mamlaka.Hehehe baba wa democracy amewaangusha? Hehehe wapinzani mnatakiwa muhamie ulaya mmeshasahau kwamba Uhuru mlikua mnamkatia mauno huku na mipovu utazani mnakata roho