KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

Sijaelewa mkuuu. Embu nifafanulie plz kuna nn ???
kama ulivyoona habari mkuu, yani Raila na yeye anajiapisha kuwa raisi wa Kenya, sasa vyombo vya habari vimezuia kurusha live, hivyo basi NTV na Citizen wakajitia kiherehere na hivyo wameshut down hayo matangazo kuwa hayataonyeshwa wala kutangazwa, sasa hapa wajiandae kuchinjana manake hawa wafuasi wa raila lazima wauwashe
 
Kujiapisha huku kuna raisi tayari anayetambulika kisheria ni uhaini, adhabu ya uhaini ni kifo.

Kwanini mzigo waubebe vyombo vya habari?

Kwanini hataki kumshughulikia mhaini?
Thubutu yako, umuue Raila kutawaka moto Kenya! Alshababu wataungana na wajaruo ni hatari mno.
 
hawa jamaa wakae wasikilizane, watauana bure kisa madaraka, wanataka kenya tena ianze machafuko, na kwetu wakija tutawafukuza, sasa wataenda wapi
Machafuko tayari hawa!
Amani kwishney kabisa!
 
Back
Top Bottom