Kenya siyo TZMarais wawili alafu unasema kukandamiza vyombo vya habari? Ingekuwa mimi Kenyata ningefutilia mbali ivyo vyombo sio kuzima tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya siyo TZMarais wawili alafu unasema kukandamiza vyombo vya habari? Ingekuwa mimi Kenyata ningefutilia mbali ivyo vyombo sio kuzima tu
Oky sawa mkuuAnaapishwa miiyoni mwa watu kama rais wa UKAWA mr. EDO, ila president wa jamhuri ni JMP, politics are for the stupid ones
hapashwi kuvizuia ndio udikiteita huo. Yeye must deal na yule anayeapishwa kama anamuweza. si ana majeshi, polisi magereza etctunazungumzia Uhuru wa vyombo vya habari, kwanini avizuie visifanye kazi zao?
KWELI UNA KIWANGO KIDOGO! TUNDU LISSU NI NANI HUKO KENYA?Kweli Tundu Lisu noma, kila anachogusa kinapata matatizo, hawa si ndo walirusha habari za Tundu Lisu kuitukana nchi yetu? Sasa Payback time!
Halafu tukisema Demokrasia ina mipaka tunachekwa na kukebehiwa, watu wanamuita Raisi wetu ,,Dikteta” haya sasa Mwanademokrasia wenu Namba Moja Afrika, Uhuru Kenya kafungia Vituo vya TV!
hahahahahh,ila JF mnanipaga raha sanaHizo media zimefungiwa baada ya kurusha taarifa ya kuapishwa rais mpya wa Kenya raila odinga.rais wa zamani Kenyatta kachukia.
im watching live streaming aisee wewe vipi
hebu sema vizuri sijaelewa naona live
Hatuwezi kujua maana wamezima TV na Redio. kwa Kiswahili nadhani umeelewa.Kwahiyo RAILA tayari kaapishwa ???
Africa bhuana basi tu !!Raila yeye ni rais wa watu, rais wa jamhuri ya Kenya ndiyo anakaa ikulu. Chisekedi wa Kenya.
Kweli Tundu Lisu noma, kila anachogusa kinapata matatizo, hawa si ndo walirusha habari za Tundu Lisu kuitukana nchi yetu? Sasa Payback time!
Halafu tukisema Demokrasia ina mipaka tunachekwa na kukebehiwa, watu wanamuita Raisi wetu ,,Dikteta” haya sasa Mwanademokrasia wenu Namba Moja Afrika, Uhuru Kenya kafungia Vituo vya TV!