KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

Wanasema wame switch off local transmitter(free to air) lakini mimi naangalia live hapa mitaa ya kimbangulile hapa
20180130_105346.jpeg
20180130_105339.jpeg
20180130_105346.jpeg
 
Kweli Tundu Lisu noma, kila anachogusa kinapata matatizo, hawa si ndo walirusha habari za Tundu Lisu kuitukana nchi yetu? Sasa Payback time!

Halafu tukisema Demokrasia ina mipaka tunachekwa na kukebehiwa, watu wanamuita Raisi wetu ,,Dikteta” haya sasa Mwanademokrasia wenu Namba Moja Afrika, Uhuru Kenya kafungia Vituo vya TV!
KWELI UNA KIWANGO KIDOGO! TUNDU LISSU NI NANI HUKO KENYA?
 
Msimamo wa serikali ni upi? Mwanasheria mkuu alimwonya Raila kwamba akiapishwa atashtakiwa kwa uhaini. Leo 30Jan Raila anapanga kuapishwa serikali inafungia vyombo vilivyojiandaa kurusha kiapo hicho.Kwa nini serikali inababaika?
 
Kweli Tundu Lisu noma, kila anachogusa kinapata matatizo, hawa si ndo walirusha habari za Tundu Lisu kuitukana nchi yetu? Sasa Payback time!

Halafu tukisema Demokrasia ina mipaka tunachekwa na kukebehiwa, watu wanamuita Raisi wetu ,,Dikteta” haya sasa Mwanademokrasia wenu Namba Moja Afrika, Uhuru Kenya kafungia Vituo vya TV!

Ah we nawe, sasa uchaguzi umefanyika, na mshindi ametangazwa na ameapishwa

Anakuja mtu mwingine kusema ameshinda yy na anaapishwa na wahuni

Kwaiyo democracy unayotaka ww hapo ni ipi?


Tena alitakiwa wamkamate na kumfunga kabisa coz anachochea vita
 
Back
Top Bottom