Kenya GSU parade - fire

Kenya GSU parade - fire

Infact team 18 of the gsu, is trained to the same level as KDF special operations regiment, while recce is trained to the same skill level as the british sas.

Administration police border patrol unit are trained to be equivalent to the 75th ranger regiment of the American army.
Screenshot_2020-11-17-12-08-31-558_com.facebook.katana.jpg
Screenshot_2020-11-17-12-08-56-813_com.facebook.katana.jpg
Screenshot_2020-11-17-12-10-45-992_com.facebook.katana.jpg
Screenshot_2020-11-17-12-09-22-057_com.facebook.katana.jpg
Screenshot_2020-11-17-12-12-34-910_com.facebook.katana.jpg
Screenshot_2020-11-17-12-14-14-628_com.facebook.katana.jpg
 
wewe mbuzi kweli[emoji28][emoji28]

polisi waibe bank sababu tu wanalinda pesa nyingi,sio 2 bob za manamba!!!

unajua maana ya dhamana wewe??
Ni wapi uliona wakiiba pesa?? Zile vitu tuliona wikichukua ni za jewelry za silver na za golds
 
Ni wapi uliona wakiiba pesa?? Zile vitu tuliona wikichukua ni za jewelry za silver na za golds

ndio maana tunashangaa watu wanaotakiwa kulinda mali za watu ndio wanakuwa wakora.

mbay zaidi eneo walipo kuna kazi nzito imewapeleka.
 
ndio maana tunashangaa watu wanaotakiwa kulinda mali za watu ndio wanakuwa wakora.

mbay zaidi eneo walipo kuna kazi nzito imewapeleka.
Wa kulinda mali ya wakenya ni Administration Police na Kenya police sio wana GSU.
General Service Unit ni ya kumaliza na kufagia sio kulinda.
 
Wa kulinda mali ya wakenya ni Administration Police na Kenya police sio wana GSU.
General Service Unit ni ya kumaliza na kufagia sio kulinda.

so kdf hata wakichukua mali za wenyewe hamna tatizo!!!
 
Ujinga uko nayo.. kdf ni ya kulinda taifa yote na hakuna vile watatoka kwa boundaries wakuje kuchukua mali ya wengine.

basi elewa kwanza nini hoja ndipo ujibu.

KDF walionekana wakikusanya mikufu westgate mall,ukakubali kwamba ni mikufu sio hela.

sijui hata ulikua unajibu kitu gani!!!!
 
basi elewa kwanza nini hoja ndipo ujibu.

KDF walionekana wakikusanya mikufu westgate mall,ukakubali kwamba ni mikufu sio hela.

sijui hata ulikua unajibu kitu gani!!!!
TV yenye unatumia irudishe kwa mwenye alikuuzia.😎
 
Back
Top Bottom