Ukweli ni huu.
-Kiujumla huduma za Afya za Tanzania kwa sehemu kubwa ziko katika standards&cost affordable kulingana na ngazi husika ikiwa utalinganisha na Kenya.
-Ni rahisi zaidi kwa mkenya kuvuka boda kufuata matibabu Tz kuliko mtanzania kuvuka boda kwenda Kenya kufuata matibabu kwa sababu za Ukarimu (uko zaidi Tz), Urafiki huduma(uko zaidi Tz), unafuu (uko zaidi Tz) na uhakika (uko zaidi Tz). Siasa za chuki za Magufuli zilivuruga hii situation kwa sehemu.
-Hospitali nyingi za Kenya za pembezoni na mashambani zimepewa hadhi kama hospitali za rufaa lakini kiuhalisia hazina hadhi hiyo, na ukiweza kuzileta Tz hadhi yake ni sawa na hospitali za wilaya au hadhi ya vituo vya afya vilivyoboreshwa. Wakenya ni watu wanaopenda kujiboost na kubold mambo yao hata kama ni mambo madogo sana au madhaifu, lengo lao hasa ni kupata sifa au hadhi ya juu.
-Nairobi kuna hospitali nzuri na za kisasa sana (sawa na Dar au zaidi ya Dar), shida kubwa ni gharama yake kuwa kubwa sana ili kuweza kutibiwa pale. Wakenya wa hali ya chini na kati wanaona ni nafuu kukimbilia Tanzania kuja kutibiwa. Tiba ambayo ingemgharimu shilingi laki Tano hapa Tanzania basi Tiba hiyo hiyo angeipata Nairobi kwa kiasi kisichopungua Milioni Tano.
NOTE
Binafsi sioni kama ni utu, ubinadamu au heshima kumsengenya kwa utaifa wake mgonjwa anayetoka nchi yake kuja kutafuta tiba nchi nyingine ya jirani, ama kudhihaki huduma za tiba za nchi nyingine kisa tu kuna wagonjwa wanakimbia hiyo nchi kufuata tiba nchi nyingine. Haya ni mambo ya kutegemeana na sio kushindana kiushabiki. Uhai na Afya ya mtu ni neema za mwenyezi Mungu, ukipata fursa ya kuboresha uhai au afya ya mtu, basi umrudishie muumba utukufu huo.
Basically hao Wakenya wanapewa huduma nzuri sana wakija huku..na hakuna mtu anaye wasengenya..ishu ni kuuliza kwa nini Kenya (baadhi yao) wanajifanya mambo safi kushinda Tz kisha wanashindwa kuwa na huduma za afya rafiki kwa wananchi wote hadi wa vipato vya chini?.Ukweli ni huu.
-Kiujumla huduma za Afya za Tanzania kwa sehemu kubwa ziko katika standards&cost affordable kulingana na ngazi husika ikiwa utalinganisha na Kenya.
-Ni rahisi zaidi kwa mkenya kuvuka boda kufuata matibabu Tz kuliko mtanzania kuvuka boda kwenda Kenya kufuata matibabu kwa sababu za Ukarimu (uko zaidi Tz), Urafiki huduma(uko zaidi Tz), unafuu (uko zaidi Tz) na uhakika (uko zaidi Tz). Siasa za chuki za Magufuli zilivuruga hii situation kwa sehemu.
-Hospitali nyingi za Kenya za pembezoni na mashambani zimepewa hadhi kama hospitali za rufaa lakini kiuhalisia hazina hadhi hiyo, na ukiweza kuzileta Tz hadhi yake ni sawa na hospitali za wilaya au hadhi ya vituo vya afya vilivyoboreshwa. Wakenya ni watu wanaopenda kujiboost na kubold mambo yao hata kama ni mambo madogo sana au madhaifu, lengo lao hasa ni kupata sifa au hadhi ya juu.
-Nairobi kuna hospitali nzuri na za kisasa sana (sawa na Dar au zaidi ya Dar), shida kubwa ni gharama yake kuwa kubwa sana ili kuweza kutibiwa pale. Wakenya wa hali ya chini na kati wanaona ni nafuu kukimbilia Tanzania kuja kutibiwa. Tiba ambayo ingemgharimu shilingi laki Tano hapa Tanzania basi Tiba hiyo hiyo angeipata Nairobi kwa kiasi kisichopungua Milioni Tano.
NOTE
Binafsi sioni kama ni utu, ubinadamu au heshima kumsengenya kwa utaifa wake mgonjwa anayetoka nchi yake kuja kutafuta tiba nchi nyingine ya jirani, ama kudhihaki huduma za tiba za nchi nyingine kisa tu kuna wagonjwa wanakimbia hiyo nchi kufuata tiba nchi nyingine. Haya ni mambo ya kutegemeana na sio kushindana kiushabiki. Uhai na Afya ya mtu ni neema za mwenyezi Mungu, ukipata fursa ya kuboresha uhai au afya ya mtu, basi umrudishie muumba utukufu huo.
ngoja wakulungwa waje kukubishia!Kuna jamaa yangu wa mombasa ndugu yake anaumwa kuna operesheni inabidi afanyiwe ikabidi aende nairobi,huko wamemuandikia aende india au muhimbili,tena hospitali kubwa ya nairobi ndio imemuandikia,jamaa wameangalia gharama mgonjwa wao wamemleta dar na yuko dar kwa ndugu zake na anaendelea poa kabisa,sasa njoo jf ukutane na wakenya wa humu wanavyojiproud while ndugu wanatibiwa TZ
Nipo KCMC hapa nimeshangaa sana kuona ndugu zetu wakenya wanavyomiminika.Kuna jamaa yangu wa mombasa ndugu yake anaumwa kuna operesheni inabidi afanyiwe ikabidi aende nairobi,huko wamemuandikia aende india au muhimbili,tena hospitali kubwa ya nairobi ndio imemuandikia,jamaa wameangalia gharama mgonjwa wao wamemleta dar na yuko dar kwa ndugu zake na anaendelea poa kabisa,sasa njoo jf ukutane na wakenya wa humu wanavyojiproud while ndugu wanatibiwa TZ
Tuko vizuri sana,kikubwa kinachotuumiza Wa TZ kutokubali vya kwetuNipo KCMC hapa nimeshangaa sana kuona ndugu zetu wakenya wanavyomiminika.
I thinks kwenye eneo la afya hatupo vibaya sana..kuna mambo makubwa yanafanyika bongo kwa sasa,mambo yenye changamoto ni custumer care based..na ujinga ujinga tu wa "enihechiifu".
Personally I think Tundu Lissuh is in a better position to answer this question ama hayuko huku?Wakenya wengi sana wanakuja kwenye hospitali za Mkoa wa Kilimanjaro. Naomba kuuliza, hivi nyie huko kwenu hamna hospitali au shida ni nini hasa?
Kipindi kile Magufuli anataka kuleta Madaktari wa Tz hapo Kenya baadhi yenu mling'aka kuwa hamtaki kutibiwa na waganga wa kienyeji.How comes ndugu zenu wanafurika kwenye hospital zetu?
And also it could be better if you brought reliable statistics with you to prove your nonsense point .you cannot use media as your statistics while when the same media told us that jiwe was admitted at Nairobi hospital you called them githeri mediaWakenya wengi sana wanakuja kwenye hospitali za Mkoa wa Kilimanjaro. Naomba kuuliza, hivi nyie huko kwenu hamna hospitali au shida ni nini hasa?
Kipindi kile Magufuli anataka kuleta Madaktari wa Tz hapo Kenya baadhi yenu mling'aka kuwa hamtaki kutibiwa na waganga wa kienyeji.How comes ndugu zenu wanafurika kwenye hospital zetu?
Leta hospitali ya maana Migori, Narok, Kajiado na Kwale!Personally I think Tundu Lissuh is in a better position to answer this question ama hayuko huku?
Tundu Lissu alikuja Kenya kwa ajili ya Safety issues,alihofia watesi wake wasimmalizie hospitali za huku TZ..huhitaji university degree kuligundua hili.Personally I think Tundu Lissuh is in a better position to answer this question ama hayuko huku?
Sijafungua huu uzi kwa kuona hiyo habari kutoka kwenye hiyo Media yenu..nimeli-observe hili mwenyewe hospitalini...hiyo habari ndo mara ya kwanza kuiona na imenisaidia tu kuprove hili.And also it could be better if you brought reliable statistics with you to prove your nonsense point .you cannot use media as your statistics while when the same media told us that jiwe was admitted at Nairobi hospital you called them githeri media
@Tony254Kuna jamaa yangu wa mombasa ndugu yake anaumwa kuna operesheni inabidi afanyiwe ikabidi aende nairobi,huko wamemuandikia aende india au muhimbili,tena hospitali kubwa ya nairobi ndio imemuandikia,jamaa wameangalia gharama mgonjwa wao wamemleta dar na yuko dar kwa ndugu zake na anaendelea poa kabisa,sasa njoo jf ukutane na wakenya wa humu wanavyojiproud while ndugu wanatibiwa TZ
Kenya sector ya Afya na Muziki walishakubali kuziachia Tanzania.Kenya sector ya afya ilishakufa, ilishindwa kushindana na waganga wa jadi.
One or two Tanzanians vs hundreds Kenyans, it indicates how powerful and valuable Tanzanians are over Kenyans[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Personally I think Tundu Lissuh is in a better position to answer this question ama hayuko huku?
Hata michezo wamejikita kwenye riadha zaidi.Kenya sector ya Afya na Muziki walishakibali kuziachia Tanzania.
Tony254
dyfre
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app