Kenya hamna hospitali za kueleweka kwenye ukanda uliopakana na Kilimanjaro?

Kenya hamna hospitali za kueleweka kwenye ukanda uliopakana na Kilimanjaro?

Ukweli ni huu.

-Kiujumla huduma za Afya za Tanzania kwa sehemu kubwa ziko katika standards&cost affordable kulingana na ngazi husika ikiwa utalinganisha na Kenya.

-Ni rahisi zaidi kwa mkenya kuvuka boda kufuata matibabu Tz kuliko mtanzania kuvuka boda kwenda Kenya kufuata matibabu kwa sababu za Ukarimu (uko zaidi Tz), Urafiki huduma(uko zaidi Tz), unafuu (uko zaidi Tz) na uhakika (uko zaidi Tz). Siasa za chuki za Magufuli zilivuruga hii situation kwa sehemu.

-Hospitali nyingi za Kenya za pembezoni na mashambani zimepewa hadhi kama hospitali za rufaa lakini kiuhalisia hazina hadhi hiyo, na ukiweza kuzileta Tz hadhi yake ni sawa na hospitali za wilaya au hadhi ya vituo vya afya vilivyoboreshwa. Wakenya ni watu wanaopenda kujiboost na kubold mambo yao hata kama ni mambo madogo sana au madhaifu, lengo lao hasa ni kupata sifa au hadhi ya juu.

-Nairobi kuna hospitali nzuri na za kisasa sana (sawa na Dar au zaidi ya Dar), shida kubwa ni gharama yake kuwa kubwa sana ili kuweza kutibiwa pale. Wakenya wa hali ya chini na kati wanaona ni nafuu kukimbilia Tanzania kuja kutibiwa. Tiba ambayo ingemgharimu shilingi laki Tano hapa Tanzania basi Tiba hiyo hiyo angeipata Nairobi kwa kiasi kisichopungua Milioni Tano.

NOTE
Binafsi sioni kama ni utu, ubinadamu au heshima kumsengenya kwa utaifa wake mgonjwa anayetoka nchi yake kuja kutafuta tiba nchi nyingine ya jirani, ama kudhihaki huduma za tiba za nchi nyingine kisa tu kuna wagonjwa wanakimbia hiyo nchi kufuata tiba nchi nyingine. Haya ni mambo ya kutegemeana na sio kushindana kiushabiki. Uhai na Afya ya mtu ni neema za mwenyezi Mungu, ukipata fursa ya kuboresha uhai au afya ya mtu, basi umrudishie muumba utukufu huo.
Si ni kama wa Znz wanavyo penda kula vya Tanganyika tu
 
Leta hospitali ya maana Migori, Narok, Kajiado na Kwale!
Msambweni Hospital, Kwale County.

images - 2022-05-11T090029.344.jpeg


images - 2022-05-11T090014.796.jpeg


images - 2022-05-11T090041.378.jpeg
 
♦️ Mkubwa hospitali sio majengo

♦️Mkubwa neno hospital likikosa hospotality sio hospitali

♦️Kenya kuna baadhi ya vitu haramu mnataka kuvifanya kuwa ndio mfumo halali wa maisha so called " KITU KIDOGO" si kwamba bongo hakuna lakini si kwa kiwango kama ninyi mlivyoweka order of the day. Angalau sisi tunaona ni dhambi na jamii yote inapambana na hatua zinachukuliwa.

♦️Kusema generaly kuwa huduma za afya kenya zipo chini nitakuwa nasema Rongo ( kwabkiswahili cha kenya) Kwani kuna ushahidi wa makabwela na viongozi wanaotibiwa baadhi ya hospitali za kenya

♦️Kinachoonekana kuna matabaka makubwa ya huduma za afya, makabwela wanatibiwa kwa fedha nyingi na watu wa chini wanakosa huduma msingi

♦️Bongo ni tofauti kidogo na ndio maana watu wa hali ya kawaida wa KENYA wanakuja kuponea Tanzania. Kwetu watu wote ni sawa na huduma zinatolewa sawa kwa wote, na hospitali zikiboreshwa zinakuwa na access ya watu wote na kwa bei reasonable
 
♦️ Mkubwa hospitali sio majengo

♦️Mkubwa neno hospital likikosa hospotality sio hospitali

♦️Kenya kuna baadhi ya vitu haramu mnataka kuvifanya kuwa ndio mfumo halali wa maisha so called " KITU KIDOGO" si kwamba bongo hakuna lakini si kwa kiwango kama ninyi mlivyoweka order of the day. Angalau sisi tunaona ni dhambi na jamii yote inapambana na hatua zinachukuliwa.

♦️Kusema generaly kuwa huduma za afya kenya zipo chini nitakuwa nasema Rongo ( kwabkiswahili cha kenya) Kwani kuna ushahidi wa makabwela na viongozi wanaotibiwa baadhi ya hospitali za kenya

♦️Kinachoonekana kuna matabaka makubwa ya huduma za afya, makabwela wanatibiwa kwa fedha nyingi na watu wa chini wanakosa huduma msingi

♦️Bongo ni tofauti kidogo na ndio maana watu wa hali ya kawaida wa KENYA wanakuja kuponea Tanzania. Kwetu watu wote ni sawa na huduma zinatolewa sawa kwa wote, na hospitali zikiboreshwa zinakuwa na access ya watu wote na kwa bei reasonable
Your health system is below Kenya. When it comes to health these are what WHO considers to determine which has a better healthcare.

Doctor to population ratio
Hospital beds to population ratio
Number of hospitals per Capita.


Kwa hizo zote Tanzania inasoma number Kwa Kenya.
 
Your health system is below Kenya. When it comes to health these are what WHO considers to determine which has a better healthcare.

Doctor to population ratio
Hospital beds to population ratio
Number of hospitals per Capita.


Kwa hizo zote Tanzania inasoma number Kwa Kenya.
Hiyo umekariri na ni zilipendwa brother, sasa hivi kwa miaka ya karibuni Tanzania kila mtaa kumejengwa hospitali za kisasa. Ninyi najua ni mabingwa wa propaganda na markrting hivyo hiso data walizonazo WHO yawezekana ni hospitali za Tanzania zimeitwa za Kenya kama miaka ya nyuma mlivyokuwa mnafanya kwenye mlima kilamanjaro na serengeti.

Katika maisha, uhalisia huwa haujidanganyi, ndio maana wananchiwa kawaida wanamiminika Tanzania, hawawezi kupona kwa viwango vyenu mnavyosema vya w.h.o , pata muda tembelea K.C.M.C asilimia kubwa ya wagonjwa wanatoka Kenye
 
Your health system is below Kenya. When it comes to health these are what WHO considers to determine which has a better healthcare.

Doctor to population ratio
Hospital beds to population ratio
Number of hospitals per Capita.


Kwa hizo zote Tanzania inasoma number Kwa Kenya.
Hivyo viwango vyenu vya WHO mvitumie sasa wananchi wa kawaida wasisumbuke kuja hadi huku TZ kupata huduma.
 
Your health system is below Kenya. When it comes to health these are what WHO considers to determine which has a better healthcare.

Doctor to population ratio
Hospital beds to population ratio
Number of hospitals per Capita.


Kwa hizo zote Tanzania inasoma number Kwa Kenya.
Myamaza, hujui lolote kuhusu",Health system delivery, Mambo muhimu zaidi katika huduma za Afya ni
1)Service availability
2)Service accessibility
3)Quality of services

Wewe unazungumza quality of service ambayo inajumlisha hivyo vitu vya "ratio" za Doctors kwa wagonjwa, wakati wakenya wengi hawawezi ku "Access" huduma za Afya kwasababu ni ghali Sana, they can't afford which is the major reason why they are flocking to Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Myamaza, hujui lolote kuhusu",Health system delivery, Mambo muhimu zaidi katika huduma za Afya ni
1)Service availability
2)Service accessibility
3)Quality of services

Wewe unazungumza quality of service ambayo inajumlisha hivyo vitu vya "ratio" za Doctors kwa wagonjwa, wakati wakenya wengi hawawezi ku "Access" huduma za Afya kwasababu ni ghali Sana, they can't afford which is the major reason why they are flocking to Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hadi wamama wajawazito wanakuja kujifungulia Kilimanjaro..Kenya waache utani aiseee.
 
Myamaza, hujui lolote kuhusu",Health system delivery, Mambo muhimu zaidi katika huduma za Afya ni
1)Service availability
2)Service accessibility
3)Quality of services

Wewe unazungumza quality of service ambayo inajumlisha hivyo vitu vya "ratio" za Doctors kwa wagonjwa, wakati wakenya wengi hawawezi ku "Access" huduma za Afya kwasababu ni ghali Sana, they can't afford which is the major reason why they are flocking to Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mjinga kweli. How will the service be available when you don't have doctors? No wonder hata Burundi iko mbele yenu in terms of health infrastructure.
 
Myamaza, hujui lolote kuhusu",Health system delivery, Mambo muhimu zaidi katika huduma za Afya ni
1)Service availability
2)Service accessibility
3)Quality of services

Wewe unazungumza quality of service ambayo inajumlisha hivyo vitu vya "ratio" za Doctors kwa wagonjwa, wakati wakenya wengi hawawezi ku "Access" huduma za Afya kwasababu ni ghali Sana, they can't afford which is the major reason why they are flocking to Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yet you are offering low quality services and that's why richer people are escaping your hospitals in favor for Kenya's.
 
Wewe ni mjinga kweli. How will the service be available when you don't have doctors? No wonder hata Burundi iko mbele yenu in terms of health infrastructure.
You don't have enough health providers, ndio maana juzi juzi 2019 I guess kenyatta kenyatta alitaka wataalam from Tz.
Ww unakuja na figures za who
 
Back
Top Bottom