Kipanga boy
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,409
- 1,219
Quran na biblia akimaanisha yuko tayar kumpigania saa yoyote ili mama watoto awe salamaTumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
KWANI UTAMADUNI WA MASUTI NA MASHELA YA MAHARUSI NI UTAMADUNI WA KABILA GANI HAPA TANZANIA???Tumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
Plus husda na roho mbayaPanic!!!!
Na mimi jmnUkijibiwa nitag
Na mabwana harusi wanapovaa suti na tai hutumia utamaduni wa kabila gani?
Alikuwa na UTAPIA MLO wa FIKRA...maana ile kuweka MAJAMBIA NA VILEMBA ni tamaduni za watu wa OMAN...sasa sijuwi alimaanisha nn?
Nitakutag wwhatsappNa mimi jmn
Na ww hyo kuvaa surual, na shati au tshart ni utamaduni wa wapi.Tumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
Ndo nini sasaKwa taarifa yako waswahili ni taifa na kiswahili ndiyo lugha yao. Nchi hii imeanzia kusini ya somalia na kuishia ngazija.
Nchi zote hizi zilikuwa zinamuingiliano mkubwa na waarabu na ndiyo maana wengi wao waliipokea dini ya kiislamu bila ya kulazimishwa kwani kwa kiasi fulani ilikuwa inaendana na mambo mengi ya mila kwenye eneo hili.
Lile vazi alilovaa Ali Saleh Kiba ni vazi rasmi la kiislamu wakati wa kuoa. Hivi sasa ingawa waislamu wengi wameathiriwa na mila za ughaibuni lakini bado kuna wengi hufanya kama alivyofanya kiba.
Acha hizo. Dini yake inamruhusu. Kaa kimya kama hujui.Alikuwa na UTAPIA MLO wa FIKRA...maana ile kuweka MAJAMBIA NA VILEMBA ni tamaduni za watu wa OMAN...sasa sijuwi alimaanisha nn?
duuuh umetisha sana mkuu hahaaaaaSidhani kama ni suala kubwa sana ni maamuzi tu, kuna watu wanaoa wamevaa suti sijui nao wanachukua utamaduni wa wapi.. Mie nimepanga siku ya kuoa naenda nimevaa jinzi yangu tishet/shati chini nimetupia raba yangu kali, naenda kuchukua mke wangu namtia begani nampandisha ndan ya gar yangu nduki, dereva mwenyewe, hakuna cha bestman wala bibi yake na bestman, shereh sherehe sitaki, nawahi kutomba mie.
Kabisa asee, Mana sioni sababu ya povu la kiwango ichoPlus husda na roho mbaya
Alikuwa na UTAPIA MLO wa FIKRA...maana ile kuweka MAJAMBIA NA VILEMBA ni tamaduni za watu wa OMAN...sasa sijuwi alimaanisha nn?
Mtendee haki mkeo, harusi na sherehe ya harusi ni kwaajili ya mwanamke, wewe ni sex.Sidhani kama ni suala kubwa sana ni maamuzi tu, kuna watu wanaoa wamevaa suti sijui nao wanachukua utamaduni wa wapi.. Mie nimepanga siku ya kuoa naenda nimevaa jinzi yangu tishet/shati chini nimetupia raba yangu kali, naenda kuchukua mke wangu namtia begani nampandisha ndan ya gar yangu nduki, dereva mwenyewe, hakuna cha bestman wala bibi yake na bestman, shereh sherehe sitaki, nawahi kutomba mie.
Tumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
Yani imeuliza kitu nilichotaka kuuliza pia.Na mabwana harusi wanapovaa suti na tai hutumia utamaduni wa kabila gani?
Sawa wa mjini...unaewacha mila zako ukakimbilia za wengineAcha ushamba