KENYA: Harusi ya Alikiba katika Msikiti wa Ummul Kulthum Mombasa

KENYA: Harusi ya Alikiba katika Msikiti wa Ummul Kulthum Mombasa

Tumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
Quran na biblia akimaanisha yuko tayar kumpigania saa yoyote ili mama watoto awe salama
 
Tumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
KWANI UTAMADUNI WA MASUTI NA MASHELA YA MAHARUSI NI UTAMADUNI WA KABILA GANI HAPA TANZANIA???
 
Tumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
Na ww hyo kuvaa surual, na shati au tshart ni utamaduni wa wapi.
Acha kuwaza pumba
 
Kwa taarifa yako waswahili ni taifa na kiswahili ndiyo lugha yao. Nchi hii imeanzia kusini ya somalia na kuishia ngazija.
Nchi zote hizi zilikuwa zinamuingiliano mkubwa na waarabu na ndiyo maana wengi wao waliipokea dini ya kiislamu bila ya kulazimishwa kwani kwa kiasi fulani ilikuwa inaendana na mambo mengi ya mila kwenye eneo hili.
Lile vazi alilovaa Ali Saleh Kiba ni vazi rasmi la kiislamu wakati wa kuoa. Hivi sasa ingawa waislamu wengi wameathiriwa na mila za ughaibuni lakini bado kuna wengi hufanya kama alivyofanya kiba.
Ndo nini sasa
 
Sidhani kama ni suala kubwa sana ni maamuzi tu, kuna watu wanaoa wamevaa suti sijui nao wanachukua utamaduni wa wapi.. Mie nimepanga siku ya kuoa naenda nimevaa jinzi yangu tishet/shati chini nimetupia raba yangu kali, naenda kuchukua mke wangu namtia begani nampandisha ndan ya gar yangu nduki, dereva mwenyewe, hakuna cha bestman wala bibi yake na bestman, shereh sherehe sitaki, nawahi kutomba mie.
duuuh umetisha sana mkuu hahaaaaa
 
Sidhani kama ni suala kubwa sana ni maamuzi tu, kuna watu wanaoa wamevaa suti sijui nao wanachukua utamaduni wa wapi.. Mie nimepanga siku ya kuoa naenda nimevaa jinzi yangu tishet/shati chini nimetupia raba yangu kali, naenda kuchukua mke wangu namtia begani nampandisha ndan ya gar yangu nduki, dereva mwenyewe, hakuna cha bestman wala bibi yake na bestman, shereh sherehe sitaki, nawahi kutomba mie.
Mtendee haki mkeo, harusi na sherehe ya harusi ni kwaajili ya mwanamke, wewe ni sex.
 
Tumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?


Kabila ni ushenzi, ukiwa na kabila wewe ni mshenzi!
 
Na mabwana harusi wanapovaa suti na tai hutumia utamaduni wa kabila gani?
Yani imeuliza kitu nilichotaka kuuliza pia.
Harusi zetu asilimia 90 ya tunayofanya siyo utamaduni wetu.
Kuvaa shera na suti siyo utamaduni wetu pia.
 
Back
Top Bottom