Dini gan inayoruhusu kuvaa JAMBIA kiunoni?kwn hujuwi wapo pia waarabu wakristo?ambao na wao wanavaa MAJAMBIA?huo ni utamaduni wa waarabu na sio dini..Acha hizo. Dini yake inamruhusu. Kaa kimya kama hujui.
harusi za Zanzibar ni kawaida iloTumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
JaruoNa mabwana harusi wanapovaa suti na tai hutumia utamaduni wa kabila gani?
Elewa yafuatayo;Kama ndivyo ...ametumia utamaduni wa dini yake
Na linaingiana vipi Na mapanga?hakuna ukabila......kwani nyie kwenu mnafungaga ndoa kikabila???? kwanza swala la ndoa linaingiliana vp na utaifa au ukabila.....????
Swali zuri.Na mabwana harusi wanapovaa suti na tai hutumia utamaduni wa kabila gani?
Mkuu ukipata mtoto wa kike usisahau kunitag ili nimchezee afu nikaoe Rwanda[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 749660
Kwani kuvaa 3 piece suit wamedanganywa na nani? na Mmasai anapokuwa amebeba silaha siku anapokwenda kuoa naye amedanganywa na nani?Mko wengi sana mliodanganywa na king kua mtaolewa,pole sana.