Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Ni kweli kabisa ila hii tabia ya kuoa nje ya Tanzania Makonda haioni akapiga marufukuBi harusi anakuta nyumba full watoto hata akichelewa kuzaa hakuna pressure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa ila hii tabia ya kuoa nje ya Tanzania Makonda haioni akapiga marufukuBi harusi anakuta nyumba full watoto hata akichelewa kuzaa hakuna pressure
Ni kweli kabisa ila hii tabia ya kuoa nje ya Tanzania Makonda haioni akapiga marufuku
Si wale watusi walozaliwa hapa tu au alimfata kabisa rwandaKwani mke was Bashite ni wa wapi?
kiba bdo huyo amevaa dira jeusi?Harusi ya AliKiba Msikiti wa Ummul Kulthum Mombasa. Ameozeshwa na Sheikh Mohamed Kagera.
Video
View attachment 749657
Yaani we acha tuKati ya wanawake aliowazalisha wote hakuna aliemfaa kaenda kuolewa ambae hajazaa ,wanaume Mungu anawaoana
Ana watoto wa ngapi,Bi harusi anakuta nyumba full watoto hata akichelewa kuzaa hakuna pressure
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hv Mombasa ni Kenya?
Kaenda kuoa au kuolewa?
Bongo bahati mbaya...inamaanisha hawa wasanii hawaoni mademu huku tz maana wote wanakimbilia ng'ambo