Kenya has more dollar millionaires than Rwanda, Uganda and Tanzania combined

Kenya has more dollar millionaires than Rwanda, Uganda and Tanzania combined

your right...you do have a dollar billionaire in the midst of maskini hohehahes and walalahois hehe...whats the use? atleast in Kenya it is spread to 9400 people
It is spread to 9400 out of 40 mil kenyans?are you serious nyangau from westland. You have talk about number of millionaires now we talk about billionaires dollars in tanzania more than combine kenya,uganda and rwanda.
 
Hivi nyie wakenya mmekosa mjadala, kazi kutuchokoza tu, kwani tukianza kuongea hapa mtatuweza sasa..
 
Mimi ni mtanzania end of story but at least I'm honest about how I feel about this fantastically corrupt country.its the same people like u with the same mentality that keeps us chained in extreme poverty and miserable lifestyle why publicly brandishing your pride of being foolish and those absurd leaders of yours with fake matriculated certificates are busy emptying the state coffers.wake up bro from your deep slumber

Yawezekana baba yako alifuja mali za umma ndio ukaenda kusoma hizo english schools, na ulivyokua kubwa J baada ya kuendelea kukomenti kwa kiingereza, umeanza kujibu kwa kiswahili...au umesahau topic imeandikwa kwa kiingereza?
 
wachana na hawa wanakuponda kwa sababu unajua kuzungumza kiingereza kizuri....sisi tunakukaribisha Kenya..
Hahahahaha Jay Ahsante kwa ofa,unajua sisi watz ni vichwa ngumu sana, ndio maana tuko nyuma sana kimaendeleo, kiuchumi, kielemu, infrastructure, and every aspect, yaani kenya wanetuacha nyuma sana,kinachonishangaza sasa we're still in denial, na instead of kushindana na nyie competitively tuko busy to envy u.nikupe mfano kidogo tu,unajua mpaka pipi, biscuti, tunashindwa kutengeneza tunaagiza Kenya? Ignorance is bliss
 
Hahahahaha Jay Ahsante kwa ofa,unajua sisi watz ni vichwa ngumu sana, ndio maana tuko nyuma sana kimaendeleo, kiuchumi, kielemu, infrastructure, and every aspect, yaani kenya wanetuacha nyuma sana,kinachonishangaza sasa we're still in denial, na instead of kushindana na nyie competitively tuko busy to envy u.nikupe mfano kidogo tu,unajua mpaka pipi, biscuti, tunashindwa kutengeneza tunaagiza Kenya? Ignorance is bliss
haha
 
The article is in English but the stupid idiots are busy commenting in Swahili, what an amateurish illogical way of thinking.tanzanians are so foolish to the height of foolishness like their pathetic leaders with fake matriculated certificates
FB_IMG_1484151080339.jpg
 
It is spread to 9400 out of 40 mil kenyans?are you serious nyangau from westland. You have talk about number of millionaires now we talk about billionaires dollars in tanzania more than combine kenya,uganda and rwanda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] billionare wangapi ..ama ni billionares in tanzanian shillings[emoji23][emoji23]leta list ya ur billionares
 
Halafu mabilionaire hawana mda na jamii forum. Ila sie wapambe, just imagine una biashara na regime imebadilika imekuja na policy zinazofanya biashara yako iwe shakani-haaa huwezi kuwepo huku. Na wengi hawana impach kwenye policy za nchi zao tuwasaka tonge tu. Rollcoatser-lazima ujue historia yako na jinsi gani ilikutengeneza kuwa ulivyo huna haja ya kujikataa bali waweza kuwa mfano wa kuigwa kwa kuanza kuwa millionaire.
 
Back
Top Bottom