Kenya has the best of everything orally, but nothing on the ground really

Kenya has the best of everything orally, but nothing on the ground really

Acheni kelele ninyi ni wazee wa kujisifia tu wakati hamna lolote mnaweza, huku Dar katika kivuko cha Kigamboni, gari huwa zinazama Mara nyingi sana, lakini tunaziopoa ndani ya siku moja.

Ninyi ni kawaida yenu kutoa " Excuses" mnaposhindwa, Alshabaab wamewashinda, mnasema sio rahisi kupigana na magaidi, Njaa imeeashinda mnasema kwasababu ya Jangwa, Uchumi inazidi kufanya vibaya kila mwaka, mnasema kwasababu hamna madini kama Tanzania. Hahahaha.
How deep is Kigamboni? Is it the busiest shipping path in east africa? How deep is it safe for a man to dive? Una ujuzi wa kuzama bahari au ni ujuzi kutype kwenye social media tuu?
 
How deep is Kigamboni? Is it the busiest shipping path in east africa? How deep is it safe for a man to dive? Una ujuzi wa kuzama bahari au ni ujuzi kutype kwenye social media tuu?
Kigamboni is 85M deep, is the busiest pathway than Likoni because it saves not only as a gate way for ships and ferries like Likoni, but it also saves thousands of small and big fishing boats, because there is biggest and modern fishing market in East, Southern and Central Africa.
 
$99bln gdp hamna kikosi cha uokoaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na unashangaa sisi kuwashangaa nyinyi[emoji38][emoji38][emoji38]
I understand your frustrations with Kenya now. You are wondering how a semi arid Nation without mineral wealth manages to have a top seat among Africa's wealthiest Nations, be the wealthiest in East and Central Africa and also a leader in it's geopolitics. Kenya is on top through its own merit thanks to it's educated population with a GDP of $99billion and you cannot do anything about. You are political,economic and academic dwarfs in this part of Africa leave alone the whole of African Continent a d the only place you can be heard from is JF, and the only mark you joto la mawe has ever made in your life was on your underwear.
Bro jisikitikie.
 
Siku ya nne leo mnacheza ngoma[emoji38][emoji38][emoji38].haya chezeni bana.
Najua kiingereza cha huyo jamaa kimekupiga chenga. Jamaa anasema kuwa mtambo wanayotumia imedhibitisha kwamba kuna maeneo kumi na minne ambayo yana mwinuko fulani na lazima divers wachunguze. Divers wameshachunguza sita. Imebaki nane. Tulia ngoma ichezwe.
 
Najua kiingereza cha huyo jamaa kimekupiga chenga. Jamaa anasema kuwa mtambo wanayotumia imedhibitisha kwamba kuna maeneo kumi na minne ambayo yana mwinuko fulani na lazima divers wachunguze. Divers wameshachunguza sita. Imebaki nane. Tulia ngoma ichezwe.
Mkuu hicho ni kiingereza kingi tuu ila sio utaalam. Teknolojia ambayo ilitumiwa kwenye ndege ilibidi iongezwe na ile ya miale ya sauti kwa kifaa cha “echo sounder”. Hauwezi kutafuta kitu ndani ya maji ya bahari au hata ziwa kwa mwanga wa kawaida. Mimi nilitegemea kusikia japo wanatumia techologia ya “lidar” ambayo ni uhakika wa kipimo kwa 3sentimita.
 
Mkuu hicho ni kiingereza kingi tuu ila sio utaalam. Teknolojia ambayo ilitumiwa kwenye ndege ilibidi iongezwe na ile ya miale ya sauti kwa kifaa cha “echo sounder”. Hauwezi kutafuta kitu ndani ya maji ya bahari au hata ziwa kwa mwanga wa kawaida. Mimi nilitegemea kusikia japo wanatumia techologia ya “lidar” ambayo ni uhakika wa kipimo kwa 3sentimita.
Sawa mtaalamu wa kibongo.
 
$99bln gdp hamna kikosi cha uokoaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na unashangaa sisi kuwashangaa nyinyi[emoji38][emoji38][emoji38]Bro jisikitikie.
You can imagine if that is the case in Kenya, what about a country whose assets are siezed at will by individuals?
 
You can imagine if that is the case in Kenya, what about a country whose assets are siezed at will by individuals?
Miili ya wapendwa wasio na hatia inaliwa na samaki chini huko,kisa wajinga fulani wanaokula kodi za serikali na kujisifu kuongea kiingereza.
 
Miili ya wapendwa wasio na hatia inaliwa na samaki chini huko,kisa wajinga fulani wanaokula kodi za serikali na kujisifu kuongea kiingereza.
Nimeumia sana mkuu, kumbe walielewa dakika 20 wanaomba msaada watu wanawapiga picha tu,,, azam boats wangeshawaokoa within 5'minutes,,, wakenya mmeniangusha mnooo, you are too weak kwa hili tukio
 
Nimeumia sana mkuu, kumbe walielewa dakika 20 wanaomba msaada watu wanawapiga picha tu,,, azam boats wangeshawaokoa within 5'minutes,,, wakenya mmeniangusha mnooo, you are too weak kwa hili tukio
Those are real kenyans we mock everyday in this forum.

Ni watu fulani wana kaupuuzi unique.imagine mhusikawa uokoaji anakwambia sizami chini mpaka nisainishwe mkataba[emoji23][emoji23]
 
Nimeumia sana mkuu, kumbe walielewa dakika 20 wanaomba msaada watu wanawapiga picha tu,,, azam boats wangeshawaokoa within 5'minutes,,, wakenya mmeniangusha mnooo, you are too weak kwa hili tukio
Vipi nyie MV Nyerere ilipozama kule Mwanza. Mpaka mkasitisha uokoaji kisa hamna umeme? What a shame!!
 
I understand your frustrations with Kenya now. You are wondering how a semi arid Nation without mineral wealth manages to have a top seat among Africa's wealthiest Nations, be the wealthiest in East and Central Africa and also a leader in it's geopolitics. Kenya is on top through its own merit thanks to it's educated population with a GDP of $99billion and you cannot do anything about. You are political,economic and academic dwarfs in this part of Africa leave alone the whole of African Continent a d the only place you can be heard from is JF, and the only mark you joto la mawe has ever made in your life was on your underwear.
Brother, don't argue with small-minded people.
 
Back
Top Bottom