Kenya Huwa wanatuzidi vipi kwenye uchumi Tanzania?

Kenya Huwa wanatuzidi vipi kwenye uchumi Tanzania?

Me sio mtaalam wa masuala ya uchumi.
Nimetembea baadhi ya maeneo Kenya kwenye harakati za kuusaka mkate maeneo kama Kisii, Migori Mombasa na Nairobi na maeneo mengine kadhaa

Lakini nmegundua Kenya Kuna taabu sana, yaani maisha ni magumu, Wakenya wananuka shida
Miundo mbinu mibovu, Tanzania Lami hadi huko Tandahimba

Kenya Kuna njaa, Wakenya wanaokula sukuma wiki
Kenya Kuna ukame, Tanzania tuna mvua na vyakula bwerere.
Mahitaji muhimu kama chakula, malazi na mavazi Wakenya vinawasumbua

Kwenye kiwanda cha burundani, tumewapiga gap sana
Juzi walikuwa wanalia Kwa Diamond

Tanzania Kwa Sasa wasanii wanafanya vyema kwenye sinema wakenya hata sijui movie zao

CAF wamewanganya uenyeji wa CHAN mwakani, wamewapa Rwanda kwakuwa Kenya hawakuwa na viwanja vyenye viwango, lakini Tanzania viwanja vipo

Harakati za biashara Tanzania ni nyingi mfano tu pale Kariakoo ila Kenya pamepoa mno

Tanzania yenye kila kitu madini, mbuga, Kilimo nk

Utashangaa ukivuka border pale Sirari au Namanga kubadilisha pesa ndo utashangaa
Tunawapa Elfu 1 ya Kenya wanakupa 25,000 ya Tanzania

Yaani pesa kidogo ya Kenya huku unapewa burungutu
Wakenya wametuzidi akili kiafrika hapa wakenya ni next level in term of economy, sisi tunalima mkenya anakuja kubrand mazao kama ni yanatoka kenya then wakenya wanayaexport wao. Na sehem nyngne nyng wametuzidi
 
Tunaweza kuwa tumewazidi kenya rasilimali lakini wao wametuzidi akili, wakenya kwenye kilimo wao wanaexport

Wakenya wametuzidi akili kiafrika hapa wakenya ni next level in term of economy, sisi tunalima mkenya anakuja kubrand mazao kama ni yanatoka kenya then wakenya wanayaexport wao. Na sehem nyngne nyng wametuzidi
Una hoja mkuu
 
Kati ya benki 10 kubwa za Africa Mashariki, 8 zinatoka Kenya, 2 zinatoka Tanzania.

Kwa Afrika Mashariki, Mashirika na kampuni karibia zote kubwa kidunia ofisi zao ziko Kenya.

Jomo Kenyatta Airport ni mojawapo ya viwanja busy zaidi barani Africa.

Safaricom ndio kampuni kubwa zaidi la mawasiliano Africa Mashariki.

Watanzania wanaenda kusoma University of Nairobi lakini Wakenya hawaji kusoma UDSM,

Watanzania wanaenda kutibiwa Nairobi Hospital ila Wakenya hawaji kutibiwa Muhimbili.

Kenya Airways(KQ) ni shirika la nne kwa ukubwa barani Africa na namba mbili kwa ubora baada ya Ethiopian Airlines.
 
Me sio mtaalam wa masuala ya uchumi.
Nimetembea baadhi ya maeneo Kenya kwenye harakati za kuusaka mkate maeneo kama Kisii, Migori Mombasa na Nairobi na maeneo mengine kadhaa

Lakini nmegundua Kenya Kuna taabu sana, yaani maisha ni magumu, Wakenya wananuka shida
Miundo mbinu mibovu, Tanzania Lami hadi huko Tandahimba

Kenya Kuna njaa, Wakenya wanaokula sukuma wiki
Kenya Kuna ukame, Tanzania tuna mvua na vyakula bwerere.
Mahitaji muhimu kama chakula, malazi na mavazi Wakenya vinawasumbua

Kwenye kiwanda cha burundani, tumewapiga gap sana
Juzi walikuwa wanalia Kwa Diamond

Tanzania Kwa Sasa wasanii wanafanya vyema kwenye sinema wakenya hata sijui movie zao

CAF wamewanganya uenyeji wa CHAN mwakani, wamewapa Rwanda kwakuwa Kenya hawakuwa na viwanja vyenye viwango, lakini Tanzania viwanja vipo

Harakati za biashara Tanzania ni nyingi mfano tu pale Kariakoo ila Kenya pamepoa mno

Tanzania yenye kila kitu madini, mbuga, Kilimo nk

Utashangaa ukivuka border pale Sirari au Namanga kubadilisha pesa ndo utashangaa
Tunawapa Elfu 1 ya Kenya wanakupa 25,000 ya Tanzania

Yaani pesa kidogo ya Kenya huku unapewa burungutu
Ni kwa sababu uchumi wao umo mikononi mwa wakoloni wanaoamua ni nani awe wa kwanza na wa mwisho. SImpo. Pia, huwa watu wetu washamba wanawaruhusu wakenya kuja kuiba raslimali hasa madiini na kuyafaidi wakati sisi tunaendelea kuwa maskini. Kwa kuangalia maisha ya wakenya walio wengi, Tanzania ni tajiri kuliko Kenya hata kama inaongozwa na majizi na majinga makubwa tu yaliyogeuka chawa , kunguni, viroboto, na luba.
 
Tutajie zifike kumi tuamini maneno yako. Acha bla bla tutajie bidhaa kumi tu kutoka Kenya zinafanya vizuri
1.blueband
2. Bic(kalamu ya kuandikia)
3. Kiwi( dawa ya viatu)
4. Jamaa( sabunu pendwa na kina mama)
5. Kimbo( najua hujazaliwa)

Ngoja niwaze kidooogo nitakurudia.
 
Back
Top Bottom