Madini sio yetu niyamchimbaji he serikali inachimba hayo madini?wanufaika NI wachache wengi NI investor kutoka Europe...watz NI migodi midogoHivyo viwanda vidogo vinatuzidi Nini sisi wenye dhahabu, Tanzanite, Mbuga, kilimo, biashara n.k
Mazao ya kilimo tz yanapelekwa Kenya yanafanyiwa yanasindikwa au kufungwa Wana export...mnunuzi mkubwa wa asali tz NI mkenya ...vitunguu Kenya mbao Kenya...hawazitumii nyingi NI export to Dubai na ulaya.... Bidhaa zao wanazozalisha wanaleta hapa...fedha yao lazima iwe strong kuliko sisi...umaskini wa MTU mmoja mmoja Kenya NI mkubwa zaidi ya tz na utajiri wa MTU mmoja mmoja Kenya NI mkubwa kuliko tz...maskini wa Kenya Hana ardhi kabisa....Ila maskini wa hapa kwetu wa tasaf Ana kipande Cha ardhi...Yaani ku export biscuits, viberiti, mikate ndo watupige gap ivo
Vip wangekuwa wana export magari, simu, spares n.k ingekuwaje
Kingereza kipi mkuu? Wanaongea kiswa english kama yote. Kile kingereza cha Profesa Lumumba ? Ndio standard english ile ? Unadhani kingereza chao Wamarekani au waingereza au Canada wanaweza kuwaelewa ? Ningereza chenye kijaluo nk.Wanatuzidi kuongea kingereza
Data za uzalishaji kati ya kenya na TZ please!Nchi ambayo ardhi inamilikiwa na matajiri ni lazima iwe na uchumi mkubwa kila siku ardhi inazalisha
Mkuu mbona vitu vingi sana madukani ni vya kutoka China au hivyo vinaishia huko mipakani mwa Kenya ? Ni jamaa na colgate ndio naweza kuziona mikoani.Tz hatuna viwanda kuwazidi,mfano bidhaa za plastics,sufuria Kenya wametuacha mbali sana,tuna import toka huko.....hapa viwanda kama Maxima,Oceans au BGI kwa sufuria na Jambo,Seifi,cello bidhaa hazina ubora ukilinganisha na Kenya....kwahiyo tunawapelekea Dollars nyingi sana
Gini coefficient yao ni ngap saiv?Kenya wana Income Inequality kubwa sana kushinda Tanzania, matajiri wanacho sana na masikini hawana kabisa.
Mtu anae amin kenge anaweza comment ktk ukurasa wa jamii forum, anahitaji uangalizi wa karibu sanaHuna akili kenge wewe
Mipakani? Sisi tuna-import kuleta mpaka kkoo........tupo zaidi ya watu 40, wengine plastics, wengine sufuria.............Kenya mfano wanakiwanda kikubwa Kaluworks wanalisha East and central Africa.......viwanda vya Tz kwa siku mfano Oceans aluminum pale Tabata Matumbi hawawezi kuzalisha per day cartons mia tano,ila Kaluworks anaweza kuzalisha per day cartons 2000.......hata capital ni kubwa zaidi na wanamitambo mingi,Mfano Tz ukienda oceans aluminum,maxima au BGI......Wanajiko moja tu ndiyo wanakuwa wanabadilishia sizes tu,ila Kenya wako mbali sanaMkuu mbona vitu vingi sana madukani ni vya kutoka China au hivyo vinaishia huko mipakani mwa Kenya ? Ni jamaa na colgate ndio naweza kuziona mikoani.
Around 0.4-0.45Gini coefficient yao ni ngap saiv?
oMtu anae amin kenge anaweza comment ktk ukurasa wa jamii forum, anahitaji uangalizi wa karibu sana
Ufisadi tu. Haiwezekani watuzidi uchumi halafu kila siku wanalia bei ya unga🤣🤣🤣🤣🤣🤣Me sio mtaalam wa masuala ya uchumi.
Nimetembea baadhi ya maeneo Kenya kwenye harakati za kuusaka mkate maeneo kama Kisii, Migori Mombasa na Nairobi na maeneo mengine kadhaa
Lakini nmegundua Kenya Kuna taabu sana, yaani maisha ni magumu, Wakenya wananuka shida
Miundo mbinu mibovu, Tanzania Lami hadi huko Tandahimba
Kenya Kuna njaa, Wakenya wanaokula sukuma wiki
Kenya Kuna ukame, Tanzania tuna mvua na vyakula bwerere.
Mahitaji muhimu kama chakula, malazi na mavazi Wakenya vinawasumbua
Kwenye kiwanda cha burundani, tumewapiga gap sana
Juzi walikuwa wanalia Kwa Diamond
Tanzania Kwa Sasa wasanii wanafanya vyema kwenye sinema wakenya hata sijui movie zao
CAF wamewanganya uenyeji wa CHAN mwakani, wamewapa Rwanda kwakuwa Kenya hawakuwa na viwanja vyenye viwango, lakini Tanzania viwanja vipo
Harakati za biashara Tanzania ni nyingi mfano tu pale Kariakoo ila Kenya pamepoa mno
Tanzania yenye kila kitu madini, mbuga, Kilimo nk
Utashangaa ukivuka border pale Sirari au Namanga kubadilisha pesa ndo utashangaa
Tunawapa Elfu 1 ya Kenya wanakupa 25,000 ya Tanzania
Yaani pesa kidogo ya Kenya huku unapewa burungutu
Sasa bongo si tupo humohumoAround 0.4-0.45
Sisi mda sana hatujapimwa ila kipindi cha Magu tuliwahi fika humo, kikawaida sisi tunachezea 0.3x miaka mingiSasa bongo si tupo humohumo
basi zile data nilizoona itakua za mda cz niliona tupo kama kwenye 40% na SA ipo 63%Sisi mda sana hatujapimwa ila kipindi cha Magu tuliwahi fika humo, kikawaida sisi tunachezea 0.3x miaka mingi
2018 ndio tulifika hapo.basi zile data nilizoona itakua za mda cz niliona tupo kama kwenye 40% na SA ipo 63%
Bas ntafuatilia currently2018 ndio tulifika hapo.
🤣🤣🤣🤣Yaani ni upuuzi mtupu, sio kwa viongozi sio kwa raia, wote simba yanga.
Yaani siku hizi imekua kawaida kabisa mtu ukivaa nguo nyekundu watu wanakuhusisha moja kwa moja na mipira.
Unakuta mtu umepigilia pamba zako nyekundu, upo kwenye matembezi anatokea ndezi mmoja anaanza kukwambia mtani kwa mpira uliocheza jana, mwaka huu Huna timu kabisa.
Mtu unabaki unashangaa tu wtf