Kenya: IEBC ICT Manager, Chris Musando body found at City Mortuary three days after he went missing


Tume ya Uchunguzi au Uchaguzi!?
 
siasa za baadhi ya nchi za Africa ni ngumu sana kwa kweli!!!
 
Ukiitwa kutoa ushahidi wa hayo majibu yako utatoa? au ndio utaanza kulia lia kuwa unaonewa.Think before you talk brother

Hivi nimekwambia nenda kwenye FB account zao sasa unatishia watu wanaokupa information?Aliyesema CHADEMA mbona hamjamtisha au kwa sababu ni Upinzani?
 
Chini ya Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi bado haya yanatokea?!!
Afrika hakuna cha tume huru wala demokrasia bali ni uchu wa madaraka chama cha Jubilee kimeona hali ni mbaya matokeo they killed this innocent young man.
 
Kiukweli pamoja na yote
Salama ya Tanzania ni Uhuru kushinda tofauti na hiyo twafaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…