Kenya ilifikaje Huku?

Kenya ilifikaje Huku?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Nilikuwa Kenya wiki iliyopita kuna jambo nimeliona limenishtua sana na nikaona nije nianzishe mada hapa labda kwa pamoja tunaweza kulitatua hili tatizo, ni kwamba nimesikia kumbe hata timu za Mpira kwenye Kenyan Premier league ni za kiethnic? Yaani nilikuwa sijui kwamba Gor Mahia ni ya Wajaluo, AFC Leopard ni ya Waluya n.k. Hili jambo limenishtua sana nafikiri hili tatizo Kenya liko deep sana, hivi chanzo chake hasa ni nini?

Naamini kabisa kwamba Kenya na Tanzania hatuna tofauti kubwa sana, wote tunasihi kwenye zilizoanzishwa na wageni (Waarabu na Wazungu) na ingawaje pia Tanzania kuna haya mambo kiethnicity lakini ni kwenye ngazi ya chini sana kama nchi yoyote ile duniani.

Sasa Kenya ilifikaje hapo? Ni kwanini hata kuwe quota system ya ethnicity kwenye ajira? Kwanini kuwe na tume ya upatanishi ndani ya nchi moja? Mimi kwangu hili jambo linanistaajabisha sana na kunifanya nijiulize maswali mengi bila ya majibu, na Kenya inawezaje kutoka hapo?

* Lengo langu ni kutaka kujifunza na kuelewa chanzo hasa ni nini?

 
Those teams all started in their own background 70 - 100 yrs ago

Shabana fc started in kisiis town in 1928
Gor mahia started in kisumu town 1912
Afc leopard started in kakamega town 1940s huko they do well they go national they flop zinabaki

Hata wazungu wakizichezea bado zilikuwa bado rivals - read about mashemeji derby
 
Those teams all started in their own background 70 - 100 yrs ago

Shabana fc started in kisiis town in 1928
Gor mahia started in kisumu town 1912
Afc leopard started in kakamega town 1940s huko they do well they go national they flop zinabaki

Hata wazungu wakizichezea bado zilikuwa bado rivals - read about mashemeji derby

TANGANYIKA ILIFIKAJE HUKU

ALBINO KILLINGS IN TANZANIA: Witchcraft and Racism?


COLOR=rgba(0, 0, 0, 0.701961)]
1b539ef.jpg


In Tanzania, there is a high rate of Albino Killings. The killings are associated with witchcraft and racism. The eradication of such killings has become a very difficult and complicated process. The absence of witchcraft law and policy, lack of government readiness, increasing racism on cultural sphere ("we" and "they"), to mention a few make prevention methodologies to fail and ultimately increase of the killings. It is until and when all these are addressed and "fixed", albinos in Tanzania will be safe.

www.amazon.com/ALBINO-KILLINGS-IN-TANZANIA-Witchcraft-ebook/dp/B00F29XJWK

KABULA-2.jpg


2114475_orig.jpeg


African-Albino-1029x661.jpg

pict_grid7.jpg

36C80B11-938A-45AA-9AB5-951C67C7FA79_mw640_mh331_s.jpg
 
Those teams all started in their own background 70 - 100 yrs ago

Shabana fc started in kisiis town in 1928
Gor mahia started in kisumu town 1912
Afc leopard started in kakamega town 1940s huko they do well they go national they flop zinabaki

Hata wazungu wakizichezea bado zilikuwa bado rivals - read about mashemeji derby
sam999, Gor Mahia is a relatively young team. How young?

If u are familiar with the Mboya vs Oginga political duel of the 1960s...the team was formed out of that political competition between those two men.

Sam, have u ever wondered why the rowdy Gor fans must always make a haunt at the Tom Mboya statue after every match in Nairobi, whether they win or loose a match? Wonder no more, for he was indeed the founder of that team, in 1964!
This was to solidify his grip in Luoland.
 
Kenya huwa tunajivunia our diversity na huo uwezo wa kuwa na jamii zinazoongea lugha nyingi na desturi nyingi tofauti. Na hizi jamii zimekua zikitaniana tangu jadi, ni pale tu wanasiasa walikoroga na kuweka uhasama baina yetu, ila wengi tunapenda tamaduni zetu.

Mimi kama Mkikuyu nilipenda sana enzi zile AFC na Gor walikua wakicheza miaka ya themanini, ilikua raha sana maana utani ndio ulikua unanoga kweli. Binafsi nilikua shabiki wa Rivatex, lakini michuano ya AFC na Gor ilileta raha nchi yote. Tulipenda sana huo utani wao. Tatizo wanasiasa waliingilia na kuharibu mengi. Pia ikumbukwe, kuna jamii huwa zimebarikiwa vipaji fulani, kama jinsi unapata wanariadha wengi wametokea kwa jamii ya Wakalenjin.

Hata Tanzania pia ni vigumu kumpata Mchagga anacheza soka. Wao wamebarikiwa kwenye ujasiriamali na wachakarikaji, Wakurya na Wameru wapo sana kwenye jeshi maana wagomvi na wazushi sana. Waswahili (makabila ya Pwani) wacheza viduku usiku, makabila ya Kigoma wasanii wa nyimbo, Wasukuma washirikina fika n.k. orodha ni ndefu.
Utakuta mtu wa jamii fulani hata akizaliwa ndani na katikati ya jamii tofauti na ya kwake, ila ana tabia fulani ambazo si za hapo alipo.
 
Kenya huwa tunajivunia our diversity na huo uwezo wa kuwa na jamii zinazoongea lugha nyingi na desturi nyingi tofauti. Na hizi jamii zimekua zikitaniana tangu jadi, ni pale tu wanasiasa walikoroga na kuweka uhasama baina yetu, ila wengi tunapenda tamaduni zetu.

Mimi kama Mkikuyu nilipenda sana enzi zile AFC na Gor walikua wakicheza miaka ya themanini, ilikua raha sana maana utani ndio ulikua unanoga kweli. Binafsi nilikua shabiki wa Rivatex, lakini michuano ya AFC na Gor ilileta raha nchi yote. Tulipenda sana huo utani wao. Tatizo wanasiasa waliingilia na kuharibu mengi. Pia ikumbukwe, kuna jamii huwa zimebarikiwa vipaji fulani, kama jinsi unapata wanariadha wengi wametokea kwa jamii ya Wakalenjin.

Hata Tanzania pia ni vigumu kumpata Mchagga anacheza soka. Wao wamebarikiwa kwenye ujasiriamali na wachakarikaji, Wakurya na Wameru wapo sana kwenye jeshi maana wagomvi na wazushi sana. Waswahili (makabila ya Pwani) wacheza viduku usiku, makabila ya Kigoma wasanii wa nyimbo, Wasukuma washirikina fika n.k. orodha ni ndefu.
Utakuta mtu wa jamii fulani hata akizaliwa ndani na katikati ya jamii tofauti na ya kwake, ila ana tabia fulani ambazo si za hapo alipo.


Jasiri haachi asili!!
 
Back
Top Bottom