Nyie mlipewa uhuru kwa kuongea tu. Hamkumwaga damu. Ndio maana hadi leo mnapenda kugombana.maswali langu la msingi ni je tulipigana au la?
kama tulipigana what was the motive of the war?
je kwa maelezo yako apo juu utaungana nami kusema africa yote kutoa Ethiopia tulpata uhuru wa bwerere maana hatukuwashinda wazungu?
so budaa ulitaka tupigane na nani? Germany? Britain? league of nations? UNO? UN?Nyie mlipewa uhuru kwa kuongea tu. Hamkumwaga damu. Ndio maana hadi leo mnapenda kugombana.
huu ni wivu +rohombaya tuu, nyie mliopigana mbona police brutalityNyie mlipewa uhuru kwa kuongea tu. Hamkumwaga damu. Ndio maana hadi leo mnapenda kugombana.
Kupigana kulitusaidia kupata Uhuru. Halafu nyang'au ni wewe.huu ni wivu +rohombaya tuu, nyie mliopigana mbona police brutality
ipo kwa wingi?
mbona 2007 mlichinjana?
mpo kwe nchi hatarishi kuishi duniani je uko kupigana kuliwasaidia nini nyan^gau?
Sasa ulitaka Tanzania iokoe Kenya from brutality za mabeberu in 1952 wakati at that time Tanzania hiyo hiyo ilikuwa chini ya usimamizi wa Uingereza, how was this going to be possible? Jaribu kufikiria siku zingine. Tanzania iliwasaidia Mozambique, Zimbabwe just to name a few kupata uhuru and this happened after Tanzania was liberated na kuwa na jeshi lake. I hope utakuwa umeelewa sasa.Watanzania huwa wana kiburi ya hali ya juu sana maana wanaamini kuwa wao ndio waliikomboa Afrika kutoka kwa Mabeberu. Ukiona waziri wao akifoka jinsi waliikomboa Afrika hadi mate inamtoka mdomoni na mishipa kuvimba kichwani ndio utajua kwamba hii propaganda ya CCM ni nzito sana.
Ukweli wa mambo ni kuwa nchi chache sana hapa Afrika zilipigania uhuru wao. Nchi zilizopigania uhuru kwa kumwaga damu hazijapita 12 hapa Afrika. Nitataja baadhi yao: Kenya, Guinea Bissau, Mozambique, Zimbabwe, South Africa, Angola, Algeria na zingine chache. Nchi nyingi za Afrika zilipewa uhuru wao bure bila vita. Tanzania ni mojawapo ya nchi zilizopewa uhuru bure kabisa na beberu bila Watanzania kuingia msituni kumenyana na Mzungu. Hamkumwaga damu ili kupigania uhuru wenu.
Kama nyie ni wakombozi wa Afrika mbona hamkuikomboa Kenya kutoka kwa mabeberu? Mabeberu waliua Wakenya karibia laki moja wakati wa state of emergency 1952 wakati wanapigana na Maumau. Wamama na watoto wakapelekwa kwenye concentration camp ambapo wengi walikufa kwa njaa. Wanaume walipelekwa gerezani na kuteswa na kuuawa.
Hata nchi ya Uingereza imeomba msamaha kwa ushetani waliotufanyia na kutoa pesa kama fidia. Mbona nyie hamkutusaidia? Mbona sisi tulijipigania uhuru wenyewe na kufa kwa wingi ili tupate uhuru wetu? Hakuna nchi yoyote ya Afrika iliyotusaidia kupata Uhuru. So nyamazeni. Hata hamkupigania uhuru wenu mlipewa bure. We don't owe you anything. Hatuna deni lenu maana nyie hamkutusaidia.
asa ambae ajapata uhuru n nani?Kupigana kulitusaidia kupata Uhuru. Halafu nyang'au ni wewe.
Sawa, nyie mlipata uhuru kwa kupigana....mbona mpaka leo mnachinjana kama watu wa Boko Haram au Janjaweed, shida ni nini? Ndiyo tuseme mmezoea kuuana au you just miss seeing innocent people dying for the sake of tribalism?Nyie mlipewa uhuru kwa kuongea tu. Hamkumwaga damu. Ndio maana hadi leo mnapenda kugombana.
Hata mjerumani ali design tanganyika hivyo hivyo tofauti ilianza mjerumani aliposhindwa vita tanganyika ikawa chini ya united nations organization na muingereza kama muangalizi tu hivyo tokea mjerumani ashindwe vita sisi tulikuwa tunauwezo wa kupata uhuru bila kumwaga damuHili swali tulilifanya O' Level kwenye somo la History.
Ni rahisi kabisa
Kenya was designed to be Mzungu's country kabisa kama ilivyo Australia au South Africa au United States kabisa, sio iwe ni ya kuchukua mali na kuondoka
Wazungu walitaka Kenya iwe nchi yao ya kuishi moja kwa moja, shida ni kwamba walikuja ila idadi ikawa ndogo
Tanzania wazungu walikua hawataki kuishi humo moja kwa moja, walidizaini kama ni eneo la kuchukua raw materials tu na sio kuishi moja kwa moja
Uhuru wa Tanzania ilikua ni very easy maana hata ule mkataba wa Wakoloni ulikua very loose maana ilikua ni kama shamba tu wala mzungu hakuitaka kiivyo
Kenya ilikua tofauti, Kenya was Mzungu's native ardhi ya kuishi moja kwa moja
Hili swali tulilifanya na marks zake zilikua 25% na watoto walifaulu hili swali
Tanzania was no appealing to the whites, sababu ya hali ya hewa, culture, magonjwa, resistance kutoka kwa locals maana walikua wanaunganishwa na Kiswahili, etc
HUYU JAMAA YUKO WAPI SASA HIVI ATUELEZEE ILIKUWAJE MWAKA HUO?View attachment 1639768
HAPA NDIO UJUE NYIE MLIKUWA WATUMWA NA MNAENDELEA KUWA WATUMWA TU KWA MABEBERU
NJOO TZ KAMA UTAPATA HII UJINGA???
Kijerumani yenyewe hata hamuwezi kuiongea. Watanzania nyie ni mbumbumbu sana.Hata mjerumani ali design tanganyika hivyo hivyo tofauti ilianza mjerumani aliposhindwa vita tanganyika ikawa chini ya united nations organization na muingereza kama muangalizi tu hivyo tokea mjerumani ashindwe vita sisi tulikuwa tunauwezo wa kupata uhuru bila kumwaga damu
Na ndio maana nyerere uhuru wa tanganyika aliulilia zaidi umoja wa mataifa maana mwingereza alikuwa mwangalizi tu
Sisi kama kumwaga damu ilikuwa n kumpinga mjerumani ila mwingereza tulihitaji kujielewa kumuondoa
[emoji38][emoji38][emoji38]Kijerumani yenyewe hata hamuwezi kuiongea. Watanzania nyie ni mbumbumbu sana.
Nyerere was genious huwezi kumlinganisha na Jomo!Nyie mlipewa uhuru kwa kuongea tu. Hamkumwaga damu. Ndio maana hadi leo mnapenda kugombana.
akili za kinyan'gau hizi kuvaa koti la suti shati imechanika mgongoni na briefcase ndani inagazeti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kenya pekee English man wakiafricaKijerumani yenyewe hata hamuwezi kuiongea. Watanzania nyie ni mbumbumbu sana.
Oneni hii "bananenbieger" yenye akili za kitumwa.Kijerumani yenyewe hata hamuwezi kuiongea. Watanzania nyie ni mbumbumbu sana.
"resistance from the locals" I like that 😂😂Hili swali tulilifanya O' Level kwenye somo la History.
Ni rahisi kabisa
Kenya was designed to be Mzungu's country kabisa kama ilivyo Australia au South Africa au United States kabisa, sio iwe ni ya kuchukua mali na kuondoka
Wazungu walitaka Kenya iwe nchi yao ya kuishi moja kwa moja, shida ni kwamba walikuja ila idadi ikawa ndogo
Tanzania wazungu walikua hawataki kuishi humo moja kwa moja, walidizaini kama ni eneo la kuchukua raw materials tu na sio kuishi moja kwa moja
Uhuru wa Tanzania ilikua ni very easy maana hata ule mkataba wa Wakoloni ulikua very loose maana ilikua ni kama shamba tu wala mzungu hakuitaka kiivyo
Kenya ilikua tofauti, Kenya was Mzungu's native ardhi ya kuishi moja kwa moja
Hili swali tulilifanya na marks zake zilikua 25% na watoto walifaulu hili swali
Tanzania was no appealing to the whites, sababu ya hali ya hewa, culture, magonjwa, resistance kutoka kwa locals maana walikua wanaunganishwa na Kiswahili, etc
Sijawahi kusikia Mtanzania akiongea Kijerumani hata ile ya kubahatisha tu. Yaani nyie Malazy mlijifunza zero kutoka kwa Wajerumani.akili za kinyan'gau hizi kuvaa koti la suti shati imechanika mgongoni na briefcase ndani inagazeti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kenya pekee English man wakiafrica
akili za kinyan'gau hizi kuvaa koti la suti shati imechanika mgongoni na briefcase ndani inagazeti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kenya pekee English man wakiafrica
Sasa kama mna IQ kama ya Nzi mngejifunza vipi Kijerumani?Oneni hii "bananenbieger" yenye akili za kitumwa.