Kenya ilipigania uhuru wake. Tanzania ilipewa uhuru bure na Mbeberu

Kenya ilipigania uhuru wake. Tanzania ilipewa uhuru bure na Mbeberu

Hili swali tulilifanya O' Level kwenye somo la History.

Ni rahisi kabisa

Kenya was designed to be Mzungu's country kabisa kama ilivyo Australia au South Africa au United States kabisa, sio iwe ni ya kuchukua mali na kuondoka

Wazungu walitaka Kenya iwe nchi yao ya kuishi moja kwa moja, shida ni kwamba walikuja ila idadi ikawa ndogo

Tanzania wazungu walikua hawataki kuishi humo moja kwa moja, walidizaini kama ni eneo la kuchukua raw materials tu na sio kuishi moja kwa moja

Uhuru wa Tanzania ilikua ni very easy maana hata ule mkataba wa Wakoloni ulikua very loose maana ilikua ni kama shamba tu wala mzungu hakuitaka kiivyo

Kenya ilikua tofauti, Kenya was Mzungu's native ardhi ya kuishi moja kwa moja

Hili swali tulilifanya na marks zake zilikua 25% na watoto walifaulu hili swali

Tanzania was no appealing to the whites, sababu ya hali ya hewa, culture, magonjwa, resistance kutoka kwa locals maana walikua wanaunganishwa na Kiswahili, etc
Leo ndio nimeelewa kwanini mnajipendekeza au mnajiona wazungu.
Sisi baada ya kupata uhuru tulifundishwa somo.la historia lilitokana na vyanzo vyetu wenyewe lakini nyinyi somo la historia ni lile mlilorithi kwa wazungu mmekuwa brain washed toka mlipokuwa shule na ndio maana mmekuwa kama mbwa wa wazungu.
 
Siwezi kukutukania mama au baba yako hawapo hapa kujitetea wao kama wao..

Nakutukana wewe binafsi....

Nina ugonjwa,naona umekua daktari wa kupima watu online na kuwapa majibu hapo hapo eti "wamerithi" ..sijui udaktari ulisomea wapi wewe maiti?

Udaktari ni miaka mitano MUCHS pale,PCB upate AAA na GPA upate 4.0...wewe maiti ubongo mbovu kama mavi ulipata FFF,halafu leo upo online una diagnose watu kwa keyboard???

Mavi kunuka wewe!
Mimi nawatukana hao kwa sababu hawakukufundisha adabu kama wangekufundisha ungekuwa na adabu nzuri ukajua namna gani unaweza kujenga hoja bila kuingiza matusi kama umesomea udaktari labda wa vichaa maana akili yako inafanana hivyo isitoshe magonjwa mengine ni ya familia kama hilo lako
 
Siwezi kukutukania mama au baba yako hawapo hapa kujitetea wao kama wao..

Nakutukana wewe binafsi....

Nina ugonjwa,naona umekua daktari wa kupima watu online na kuwapa majibu hapo hapo eti "wamerithi" ..sijui udaktari ulisomea wapi wewe maiti?

Udaktari ni miaka mitano MUCHS pale,PCB upate AAA na GPA upate 4.0...wewe maiti ubongo mbovu kama mavi ulipata FFF,halafu leo upo online una diagnose watu kwa keyboard???

Mavi kunuka wewe!
Diamondi hana elimu ya chuo lakini mafanikio yake kila mtu anayaona, Bakhresa hana elimu kubwa lakini mafanikio yake hayajifichi wewe unayesema una AAA na GPA ya 4 nani anakujua au una mchango gani kwa maisha yangu.
Nimekuonyesha jinsi gani ulivyo limbukeni kina Bill Gates hawakumaliza chuo lakini wanaitetemesha dunia halafu unakuja hapa kuniambia sijui form six nilipata nini chuo nilipata nini hivi unanijua vizuri au unajua elimu yangu sanasana wewe ni mburula fulani hauna chochote cha kunizidi kwenye maisha yangu
 
Hivi ni uhuru gani wakenya mnazungumzia? Lini mmekuwa huru ikiwa hamwezi kufanya kitu bila kupokea instructions kutoka kwa hao mabeberu? Tulipotaka kuwakomboa kupitia EAC mkatukacha kwa kuleta ubinafsi ambao mpaka juzi kati hapo mmeendelea kuuonesha kwa mgongo wa corona.

Kenya has never been a free country. Sasa hivi mabosi wenu washagundua chanjo ya hiyo kitu mnaita corona. Nyie mmeagiza unit ngapi? Mabosi wenu waingereza wameagiza mil 40!

Kenya buana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom