Kenya ilipigania uhuru wake. Tanzania ilipewa uhuru bure na Mbeberu

Kijerumani yenyewe hata hamuwezi kuiongea. Watanzania nyie ni mbumbumbu sana.
Ndio maana mpaka hapa tunaongea kiswahili na hata platform hii jina lake ni la kiswahili na ww bila kiswahili hapa huwezi kuwasiliana na sisi na tutakuacha ukishangaa be proud of ur self afu uache ufala wajerumani na waingereza walijifunza kiswahili ili waongee na sisi na hata kupata uhuru hatukuwa na language barrier na kama hujui sisi ni moja kati ya nchi chache zilizotaliwa zinazomiliki lugha yake mpaka leo nyie ni kama michepuko hamna lugha ni umbumbu unakusumbua apo ukikua utaelewa
 
Sasa mbona umejijibu?
Ni sawa na leo useme Ethiopians wanavuka border kwenda kusini kwanini sisi watanganyika tusiende. Concept kuu ni mazingira/background forces zinazosababisha

Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
 

simply kwasababu mnajua kutumia nguvu na sio akili..!
 
Mozambique ni moja ya nchi zilizomwaga damu katika kutafuta uhuru wake
Swali: umewahi kufika Mozambique kwa mujibu wa Aya yako ya kwanza?

Nadhani, swala la historia linahusika sana kuifanya Zimbabwe, SA na kenya kuwa hivyo baada ya uhuru wa mweusi tofauti na nchi kama Tanganyika

Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
 
Weee fala kadanganye mbwa koko wenzio huko kenya wajerumani walikuwa wanaishi wapi afu kumbe tukiwaita nyie mafala huwa hatukosei
 
Correct!
Tanzania was a protectorate unlike jirani zake so the situation was different
 
Wewe nyang'au vipi?!?!
 
Hawa machalii ya Kunyaland sijui ikoje, mbona unateseka sana chalii. Kwani inauma wapi? meza chupa au kula ndizi itapoa. Tanzania this Tanzania that my God e every dah alafu na nyie wakina sisi watz mbona ivo hawa machalii wako ata kwa some forums huko majuu ambako hukuti Mtz ni wanaigeria wa SA etc kama nimekosea Tony254 tupia link wanawani waone kama kawaida na majirani tuna wang'ata na kupuliza[emoji2]
 
Siku sisiem ukitolewa madarakani na [emoji373]na wakina tundu 10 hivi ndo nchi itakuwa huru or else tuta endelea kupumbazwa hata na mfumo wa elimu ambao for more than 30yrs hauja rekebishwa na kuwa improved alafu tuna tegemea kizazi ambacho kipo well educated mziki uko pale pale alie nacho ataendelea kuneemeka na asiekuanacho atabaki kwenye rat race Tanzania needs change
Hoja yako ina ukweli ndani yake.
Tanzania uhuru tulipewa kama zawadi tu.
 
Hueleweki. Andika kwa kigiriki maana kiswahili kimekushinda.
 
Never expect anything good to come from those European & Western screwdrivers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…