Kenya imechaguliwa kuwa mwakilishi wa bara la Afrika kwenye Baraza la Usalama la UN

Kenya imechaguliwa kuwa mwakilishi wa bara la Afrika kwenye Baraza la Usalama la UN

Wakuu sioni Wakenya wakipongezana kwa hili sijaona Raisi wao akipongezwa kwa hatua hii. Ila ingekuwa kwetu nahisi tusingelala kabisa na shughuri zingesimama.

Kuwa Mwenyekiti wa SADC tu ni shida kana kwamba tulikuwa tunashindanishwa na Nchi zingine basi Tanzania ikashinda.

View attachment 1187074
Sisi Tungeanzisha mbio za bendera ya Taifa nchi nzima , kama zile mbio za mwenge
 
Yangetangazwa mapumziko ya wiki nzima. Maana hii ya SADC ni rotation ya kawaida tu kiasi kwamba hata angekuwa Dr Shika ndiiye Rais bado angekuwa ndiye mwenyekiti mpya wa SADC. Lkn huko ulimwengu wa sifa wanasifu hatari
Dr Shika Mzee wa misifa, hivi ameishia wapi na madolari yake. Naona kimya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mzee shika.
 
Dr Shika Mzee wa misifa, hivi ameishia wapi na madolari yake. Naona kimya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mzee shika.
Dr Shika ni mtu wa wapi yule? Ni kabila gani? Maana kuna makabila mtu akipata hata mafanikio kiduchu kabisa au hata yasipokuwepo kabisa, matangazo utadhani yeye ndiye Bilgates!
 
Wakuu sioni Wakenya wakipongezana kwa hili sijaona Raisi wao akipongezwa kwa hatua hii. Ila ingekuwa kwetu nahisi tusingelala kabisa na shughuri zingesimama.

Kuwa Mwenyekiti wa SADC tu ni shida kana kwamba tulikuwa tunashindanishwa na Nchi zingine basi Tanzania ikashinda.

View attachment 1187074
Wewe unafatilia mainstream za Kenya? Unajua platform kubwa za mijadala ya huko? Nyie mnaohangaika na JPM kupongezwa mnashida zaidi kuliko tatizo lenyewe.
 
Wakuu sioni Wakenya wakipongezana kwa hili sijaona Raisi wao akipongezwa kwa hatua hii. Ila ingekuwa kwetu nahisi tusingelala kabisa na shughuri zingesimama.

Kuwa Mwenyekiti wa SADC tu ni shida kana kwamba tulikuwa tunashindanishwa na Nchi zingine basi Tanzania ikashinda.

View attachment 1187074
Tungeambiwa mara ya mwisho ilikuwa miaka zaidi ya 20 iliyopita. Au Victoire nadanganya? Maana nyie wasukuma kale kamsemo ka NIGUSE NINUKE kalizaliwa kwenu!
 
Wewe unafatilia mainstream za Kenya? Unajua platform kubwa za mijadala ya huko? Nyie mnaohangaika na JPM kupongezwa mnashida zaidi kuliko tatizo lenyewe.
Naona umeibuka mpiga mapambio
 
Naona kama vile these guys...Kenyans...have a lot ya kimaendeleo wanayafanya, hence hawana muda wa kupoteza
 
Back
Top Bottom