Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Aliyekuwa akikwamisha biashara hayupo sasa ni miaka miwili sasa, Kuna kiwanda kipya kipi kimejengwa?
 
..nadhani tunakosea sana kuwakweza TISS na kukabidhi maisha yetu mikononi mwao.

..suala la viwanda kufa au kustawi linategemeana na mazingira ya kibiashara yaliyoko Tz.
Huwezi kuitenganisha TISS na uchumi wa nchi yoyote duniani.

Changamoto kwa Afrika ni hizi taasisi kusimamiwa kwa maslahi ya kikundi cha watu fulani badala y maslahi mapana ya taifa.

Yale mashirika ya umoja wa mataifa yote kazi yake ni hiyo. Kutengeneza mazingira ya kuinua uchumi wa baadhi ya nchi na kudumaza nchi nyingine.

Ndicho kilichoikuta Tanzania kila walipokuja na wazo la kujenga bwawa la Stigglers tangu baada ya uhuru hadi kiburi cha Magufuli kiliposaidia kuanza ujenzi licha ya mtangulizi wake kuanzisha wazo hilo.
 
[emoji867][emoji867][emoji867]
Pale Zenji tatizo hili limeota na mizizi kabisa yaani mpaka huwa najiuliza Tanzania tutaendelea kwa staili hii kweli??
 
[emoji867][emoji867][emoji867]
Pale Zenji tatizo hili limeota na mizizi kabisa yaani mpaka huwa najiuliza Tanzania tutaendelea kwa staili hii kweli??
Inasemekana asilimia kubwa ya watu wa muwambao wa bahari ya Hindi ni wavivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…