Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Asee ni vile mko mbali na systeam...hivo amuwez jua lolote...

Hakuna watu wanaopambana usiku na mchana kama Tz Intell!genc!!!!!(Tiss"""Mi"")
Kwa kuwabana chahademaz kweli hawakulala, walipambana day and night kujua mishe na ratiba zote za mwenyekiti
 
tunaona matokeo yao kwenye ulinzi na usalama tu na pengine kwa juhudi za millitary intelligency, viwanda vyote vilihamia kenya, ni wakati wa Mzee Magufuli tu tuliweza kufua dafu kidogo na sasa tunaona mama anaturudisha nyuma
Unalipenda neno "military intelligence"?
 
Back
Top Bottom