Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Nilikukwazaje ??Funguka
Mwaka 2019 wakati ninasema humu JF "NSSF wanipe pesa zangu" ukaniambia siku moja "weka details zako humu nikusaidie. Ukituma PM mimi siji huko kuzisoma" . Yaani mimi nijianike humu mbele za watu baki. Basi tangia siku hiyo nikawa nakuona unajifanya matawi ya juu.
 
Mwaka 2019 wakati ninasema humu JF "NSSF wanipe pesa zangu" ukaniambia siku moja "weka details zako humu nikusaidie. Ukituma PM mimi siji huko kuzisoma" . Yaani mimi nijianike humu mbele za watu baki. Basi tangia siku hiyo nikawa nakuona unajifanya matawi ya juu.
Yeah I'm very sorry for that incident nakumbuka ila sikujua kama una maanisha hivyo mimi sio mtu wa hivyo aisee pole sana ndugu yangu nisamehe sana kwa Ubaya ule
 
..mimi ulinikwaza sana ulivyokuwa unatetea " vikosi vya utekaji " ktk mada yako nyingine.
Utekaji kwa maslahi ya taifa (defensive counterintelligence) nitaendelea kuunga mkono kwa 100% mpaka siku natakayokufa.
 
Swadakta kabisa mkuu, kinachoigharimu Tz yetu ni mifumo ya hovyo na ujanja² wa kiswahili. Mtoa mada + MATAGA wanahangaika sana kulinda legacy ya Jiwe, hawataki kusema ukweli kwamba uchumi wa Tz kudorora ni matokeo ya;
  • Sheria kandamizi
  • siasa chafu
  • ulimbukeni wa viongozi
  • visasi
  • wivu wa kitoto kwa wenzetu n.k n.k
Hamna cha ujasusi wala nini.
Kwani general tyre ikufa kipindi cha mwendazake...?
 
Back
Top Bottom