Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
😂Alioandika hii ni mwehu, Polisi tu kila mkoa wapo kuanzia elfu moja, sasa jwtz ndio iwe na active personnel elfu 26!!! ,Miaka ya 70 Congo tu ilikuwa na zaidi ya askari jeshi elfu kumiRasilimali watuView attachment 2379207
Hizo Takwimu hua zinaandikwa na wehu tu,Kuna takwimu hata sa hivi zinaonyesha DRC jeshi lake liko Kwny top 10 ya majeshi bora Africa na Tz iko huko nje ya Top 20.😂Alioandika hii ni mwehu, Polisi tu kila mkoa wapo kuanzia elfu moja, sasa jwtz ndio iwe na active personnel elfu 26!!! ,Miaka ya 70 Congo tu ilikuwa na zaidi ya askari jeshi elfu kumi
😂Vijana wakishapiga stories vijiweni wanakuja na tafiti zao,jeshi la DRC ni Mobutu tu ndiye aliliimarisha sana na likawa bora na badae akaliharibu, imagine katika jeshi zima alikosa pilots mwaka 1997 wa kuwatuma wakati jet fighters alikuwa nazoHizo Takwimu hua zinaandikwa na wehu tu,Kuna takwimu hata sa hivi zinaonyesha DRC jeshi lake liko Kwny top 10 ya majeshi bora Africa na Tz iko huko nje ya Top 20.
Na Gen. Wa DRC Kuna video Yuko anajisifia huko mitandaoni kwa wao kua Kwny Top 10.Wehu sana wale.
😄😄😄 Juzi Tshisekedi ameteua mkuu wa majeshi mpya,then Jana tu ikaachiwa video hewani huyo jamaa Yuko anakula zake Pombe na washikaji zake akisherekea kuteuliwa kua mkuu wa majeshi 😄😄😄. Seriousness hamna pale😂Vijana wakishapiga stories vijiweni wanakuja na tafiti zao,jeshi la DRC ni Mobutu tu ndiye aliliimarisha sana na likawa bora na badae akaliharibu, imagine katika jeshi zima alikosa pilots mwaka 1997 wa kuwatuma wakati jet fighters alikuwa nazo
Kwa sasa lile ni aibu hata kuliita jeshi,kuna clip nimeona juzi twitter wamevamiwa alafu wanabushana jinsi ya ku aim rocket launcher yani hakuna command
Sababu kubwa ya Uganda kuishinda Kenya ni uimara wa jeshi la Uganda ukilinganisha na jeshi la Kenya, hakuna nchi yoyote katika ukanda huu ukiacha Ethiopia ambayo imewekeza na kuimarisha jeshi lao zaidi ya Uganda ikifuatiwa na Rwanda.Kwahiyo unaamini mahindi ya Tanzania yataifanya Kenya ishindwe vita na Uganda. Na aliyekwambia Tanzania itashirikiana na Uganda nani au wametangaza military alliance.
Kwani EAC ilivyovunjika miaka ya Nyerere mipaka ya Tanzania na Kenya ikafungwa walikufa njaa kisa hatuwauzii chakula.
Basi wewe usiyetumia ushabiki, toa sababu za Uganda kuishinda Kenya vitani
Hamna uwezo ninyi kupigana na Uganda (Empty stomach can't fight)joto la jiwe jibu sahihi hapa sio shabiki zako za kijinga...,
Unauliza nani atatumia bandari katika emergency.Huwezi kufananisha jeshi la kenya na uganda, weka vigezo vyote labla hilo la logistics tuu kwamba kenya kuna bandari, nani anatumia bandari tena kwenye emergencies?mtakufa njaa
Kenya KDF ni upuuzi tuu al shabaab wenyewe wanweza kuwafanya wanachotaka na msiwafanye chochote kile
Operations za KDF ni ngumu, Uganda hawajawahi kuzifanya. Al Shabaab kuna jeshi la AMISOM wameunganishwa majeshi kadhaa ya Afrika uko, wote wameshindwa kwahiyo Afrika nzima ina majeshi vilaza hamna kitu. Uganda yenyewe si ina operations Somalia, wameshinda?Kikubwa jeshi la kenya nidhamu ni 0,plus ukabila,updf wanajua udhaifu wa kdf,hao kdf kwenye operesheni zao nyingi wanafeli
1. Hizo ndege za kubeba vifaru airlifters Uganda wanazo? Hawana ndege ya kubeba hata tani 40 hao. Na sijasema kwa lengo la kijeshi, kiuchumi Kenya ikizima huduma za bandari kwa mizigo ya Uganda 80% ya mizigo yake itakosa la kupita. Bandari sio kama television channels kwamba watahamia Dar es Salaam siku hiyo hiyo, kwanini wasitumie Dar sasa watumie Nairobi mizigo yote hiyo. Kama unadhani Uganda imekuwa Israel kufanya airlifting ya bidhaa za kiraia kwenye vita basi sawa, wabebe petroli, madawa, magari, vyakula na matumizi mengine kwa cargo jets alafu mseme uchumi hautoathirika. Mpaka bandari ya Dar ije kusawazisha mambo washapigwa inflation ya hali ya juu.1.vita ya dunia ya leo haitegemei sana Bandari bali Airport,siku hizi kuna ndege zinabeba mpaka vifaru
2.umewaongelea Alshabab,hawa ni wazi walelidhoofisha jeshi la Kenya,vita ni timing tu,huku UG akipiga kule Alshabab wakapiga fasta Kenya anawezachapwa
3.Mikenya haipendani ina ukabira, UG inaweza kuchochea vurugu za ukabila before attacking,
4.vita ni vita tu,fuatilia vita ya kagera,Nyerere alipata kazi ku mobilize jeshi kuja front,hata sasa muda huu saa 10:49 usiku Tz ivamiwe tutachapwa haraka mpk kesho tujipange sababu hatukawa tayari na vita, na kulingana na sheria za JWTZ wakuu wa vikosi hawatumi askari sehemu mpaka CDF atowe order ambayo pia anapewa na Rais, so vita ni timing tu japo sipingi sana hoja zako lakini unapaswa ufikirie pia UG anaweza tumia timing
Toto la Museven haliwezi kuropoka tu,wao sio wajinga waseme vile kwa nchi wanayojua ina uwezo kuwazidi wa jeshi maana kule ni kutangaza vita,
Umekosa la kusema, unajibu ilimradi tu., get a life, umedhohofika ki fikra, hapa ni wivu na chuki kwa Kenya ndio zinasukuma hisia zako, nothing substantial, mwanaume jike😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hamna uwezo ninyi kupigana na Uganda (Empty stomach can't fight)
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unaamini mahindi ya Tanzania yataifanya Kenya ishindwe vita na Uganda. Na aliyekwambia Tanzania itashirikiana na Uganda nani au wametangaza military alliance.
Kwani EAC ilivyovunjika miaka ya Nyerere mipaka ya Tanzania na Kenya ikafungwa walikufa njaa kisa hatuwauzii chakula.
Basi wewe usiyetumia ushabiki, toa sababu za Uganda kuishinda Kenya vitani
Wao wapigane tu watuachilie mbali ss no bongo yetuView attachment 2379435
Hivyo 42 hata kambi moja tu za hapa hapa Dar zina vingi kulikoAchana na huu utoporo Mkuu yani unaamini Tz ina Tanks 42 !!!,mimi zaidi ya mara moja nimeshuhudia vifaru vya JWTZ Mwanza vimeletwa kwa train vingi mno, je kambi zingine je, kwanza hamna nchi ina Tanks 42 unless uongelee Tanks zenye uwezo wa Nuclear
Kenya ina Jeshi kubwa lakini haliko well organised, limegawanyika pakubwa kutokana na siasa za ukabila pamoja na vitendo vya rushwa.Nenda katazame budget ya jeshi la Kenya linganisha na Uganda kwa miaka walau kumi, kalinganishe procurements za majeshi hayo mawili ndani ya miaka angalau 10 iliyopita, kalinganishe uwezo wa kufanya assembly ya weapons parts na small manufacturing zao, linganisha nani ana bandari na nani ni rahisi kufanya logistics. Linganisha mafunzo yao angalau kwa kulinganisha namna Kenya inafanya counter terrorism kwa Al Shabaab dhidi ya Uganda inavyofanya, silaha gani zinatumika.
Kisha urudi uone military stability, nidhamu, uzalendo wa raia, utengamano wa kitaifa na bila kusahau nguvu za kiuchumi.
Usisahau washirika wa pande zote mbili. Ukitoka hapo ukaamini Uganda inaweza kuipiga Kenya basi una mahaba.
Nakuuliza swali jepesi kabisa. Uganda inapitisha 80% ya mizigo yake kwenye bandari ya Mombasa. Unahisi kuna namna Kenya inaweza pigwa na Uganda? Maana sahau kuhusu short term war, vita ya miezi walau mitatu kutaifanya Uganda iwe shithole zaidi, sio kupigwa kijeshi hapo ni kiuchumi tu. Na hakuna mechanism ya kuwa na short term war, kwa silaha zipi? Utakuja kusema zile Su-30 sita sijui ambazo hawana hata logistics zake
Jeshi la Kenya ni utopolo, wacha kutetea hao vilaza, operation zipi za Kenya ambazo ni ngumu?, KDF walishindwa hata Operations za UN huko South Sudan ambako nchi nyingi za Dunia zilikua na vikosi vyao huko, ni KDF pekee ndiyo walishindwa kazi wakatimuliwa na Ban Ki monUnatumia vigezo gani kusema jeshi la Kenya halina nidhamu?
Tena unalilinganisha na la Uganda ambalo limewahi asi zaidi ya mara tatu. Uganda ambayo ina waasi wa Lord's Resistance Army.
Operations za KDF ni ngumu, Uganda hawajawahi kuzifanya. Al Shabaab kuna jeshi la AMISOM wameunganishwa majeshi kadhaa ya Afrika uko, wote wameshindwa kwahiyo Afrika nzima ina majeshi vilaza hamna kitu. Uganda yenyewe si ina operations Somalia, wameshinda?
Hamna uwezo wa kupigana na Uganda ninyiUmekosa la kusema, unajibu ilimradi tu., get a life, umedhohofika ki fikra, hapa ni wivu na chuki kwa Kenya ndio zinasukuma hisia zako, nothing substantial, mwanaume jike[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tz hana mazoea ya ku-publish taarifa zake online. Mambo mengi sana yanakuwa reserved.Achana na huu utoporo Mkuu yani unaamini Tz ina Tanks 42 !!!,mimi zaidi ya mara moja nimeshuhudia vifaru vya JWTZ Mwanza vimeletwa kwa train vingi mno, je kambi zingine je, kwanza hamna nchi ina Tanks 42 unless uongelee Tanks zenye uwezo wa Nuclear