Kenya imekuwa nchi ya Kwanza Afrika Mashariki kuzindua 5G

Kenya imekuwa nchi ya Kwanza Afrika Mashariki kuzindua 5G

That's the future right thurr....the interconnectivity/internet of things (IoT) capability of 5G is where the world is headed. The faster you get there the better
 
Wakati majirani zetu bado wanalala usingizi wa pono, Kenya imekuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na kati kuzindua mtandao wa 5G. Safaricom imezindua mtandao wa 5G leo.

Haina neno wengine watafuatia. Hii ni natural mwanangu.
 
Kenya 5g mtaitumia kwenye nini? Sioni kama mna teknolojia kubwa ya kuhitaji 5g kwa sasa.
 
Kwa sasa kwa kiwango cha teknologia iliyopo kwenye nchi zinazoendelea kuingia kwenye 5G ni sawa na mtu mwenye uwezo wa kupika kilo moja ya mchele ikamtosha na familia yake, lakini akaamua kununua sufuria kubwa linaloweza kupika kilo kumi za mchele.
Matokeo yake atapika kilo moja ya mchele kwenye sufuria kubwa!! Halafu anajiona mjanja Sana!!
Mpaka sasa asilimia kubwa ya watu hawajaweza kutumia 4G kikamilifu!
 
Nadhani kwa hapa Tanzania 5G wangezindua kwenye vyuo vikuu kwanza.
 
Kwa sasa kwa kiwango cha teknologia iliyopo kwenye nchi zinazoendelea kuingia kwenye 5G ni sawa na mtu mwenye uwezo wa kupika kilo moja ya mchele ikamtosha na familia yake, lakini akaamua kununua sufuria kubwa linaloweza kupika kilo kumi za mchele.
Matokeo yake atapika kilo moja ya mchele kwenye sufuria kubwa!! Halafu anajiona mjanja Sana!!
Mpaka sasa asilimia kubwa ya watu hawajaweza kutumia 4G kikamilifu!
Wivu weka kando.
 
Simu za hadi 4G zinauzwa bei che hadi na safcom wenyewe, yaani hadi ya mkopo utapata, uilipie mdogo mdogo kupitia mpesa. Hadi vinyanya na vibabu ni mwendo wa smartphone sahi, tunatoka 4G tumeingia 5G. Itasaidia kuanzia kwenye makampuni makubwa ya tech na hata mahotelini (conferencing and all that)
 
Kuna wendawazimu fulani ambao walikuwa wanasema kwamba 5G ndio inasababisha maambukizi ya COVID-19 nchini mwao. Wakati hata mtandao wenyewe wa 5G hawana. [emoji1]
 
Yani Kenya bana Coverage ya 3G tu haijawa nationwide leo Mnakimbilia 5G btw Safaricom ndahani ni private company icho walicho launch iko based on market lakini sio kiuhalisia kitakuwa kwa Miji michache haswa city centers
 
Kwa sasa kwa kiwango cha teknologia iliyopo kwenye nchi zinazoendelea kuingia kwenye 5G ni sawa na mtu mwenye uwezo wa kupika kilo moja ya mchele ikamtosha na familia yake, lakini akaamua kununua sufuria kubwa linaloweza kupika kilo kumi za mchele.
Matokeo yake atapika kilo moja ya mchele kwenye sufuria kubwa!! Halafu anajiona mjanja Sana!!
Mpaka sasa asilimia kubwa ya watu hawajaweza kutumia 4G kikamilifu!
Watu wengine wana mawazo mafupi kweli, analogy ya sufuria, really?!! thats pedestrian. Hivi vitu ni vya kuangalia kwa mapana yake na yapo kimkakati zaidi. The possibilities are limitless!!
lakini wewe ambae mwisho wako wa matumizi ya internet ni social media na kuangalia series. Kana kwamba Dunia ndo inaishia hapo! mijadala kama hii tuachie sisi ambao sometime tunalazimika kufanya kazi remotely ndo watu kama nyie muingie Instagram.
20210328_225241.jpg

telecom engineers wataelewa ni kiasi gani cha data unahitaji ku-pull ili kuweza ku-optimize hii kitu, imagine kuifanya ndani ya sekunde chache.
 
Back
Top Bottom