Kenya imenunua vichwa vya treni vya mtumba toka Spain kwa ajili ya "Nairobi light train"

Kenya imenunua vichwa vya treni vya mtumba toka Spain kwa ajili ya "Nairobi light train"

Sheria inaruhusu. Iliwekwa maalum kwa mitambo mikubwa kama.ndege, gari moshi nk. Huyo hakuwa mfuatiliaji wa bunge mubashara, ilisemwa sana huku CCM wakiunga mkono na Upinzani wakipinga.

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nilikuwa nampa signal kijanja ila hakunisoma. Yaliyompata mamba na boko yatampata. Sio sababu ya kuwabeza majirani zetu wakati na sisi tutaingia kununua vitu hivyo soon.

Kama nchi tunaweza kununua brand new, ila hata mtumba itawezekana pia maana sheria ipo na inaruhusu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nilikuwa nampa signal kijanja ila hakunisoma. Yaliyompata mamba na boko yatampata. Sio sababu ya kuwabeza majirani zetu wakati na sisi tutaingia kununua vitu hivyo soon.

Kama nchi tunaweza kununua brand new, ila hata mtumba itawezekana pia maana sheria ipo na inaruhusu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nzima ya jukwaa kama hili, Mimi kwa uelewa wangu wa zamani ni kwamba sheria hairuhusu kununua vitu chakavu, ila kama kulitokea mabadiliko ya sheria hivi karibuni, tunaomba tujulishane kwa ushahidi ili tuingize katika data base zetu, ili tuweze kuutumia huo ushahidi kuanzia sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nzima ya jukwaa kama hili, Mimi kwa uelewa wangu wa zamani ni kwamba sheria hairuhusu kununua vitu chakavu, ila kama kulitokea mabadiliko ya sheria hivi karibuni, tunaomba tujulishane kwa ushahidi ili tuingize katika data base zetu, ili tuweze kuutumia huo ushahidi kuanzia sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia marekebisho ya sheria ya manunuzi ya mwaka 2011. Utapata kila kitu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatufanyi hivyo hapa, kama unaushaidi tuwekee, hatuwatumi watu kwenda huko, kama unayo tunaomba tuwekee kwa faida ya wengi, Mimi sina uwezo wa kuipata kwa sasa ndio sababu ninatumia ya zamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
You need brain transplant man.

Nikuwekee nini tena? Mimi Nina hard copy. Kama unataka ya kuwekewa nenda Google Search hiyo sheria ya manunuzi mwaka 2011. Unataka Ushahidi gani tena? Umeitafuta hiyo sheria ya 2011 ukakuta hairuhusu?

Huwa sifanyi spoon feed hata Siku moja. Tafuta mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You need brain transplant man.

Nikuwekee nini tena? Mimi Nina hard copy. Kama unataka ya kuwekewa nenda Google Search hiyo sheria ya manunuzi mwaka 2011. Unataka Ushahidi gani tena? Umeitafuta hiyo sheria ya 2011 ukakuta hairuhusu?

Huwa sifanyi spoon feed hata Siku moja. Tafuta mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hiyo unayosema baki nayo mwenyewe, hadi hapo utakapoiweka hapa hadharani, bado tutaendelea kuamini kwamba sheria ya Tanzania hairuhusu kwa serikali kununua mitumba, wewe kama unajua kitu na hutaki kutuwekea hapa, then hupaswi kushawishi watu, kwanini usiingie huko Google na utuwekee hapa ili Ku support hoja yako?.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi hiyo unayosema baki nayo mwenyewe, hadi hapo utakapoiweka hapa hadharani, bado tutaendelea kuamini kwamba sheria ya Tanzania hairuhusu kwa serikali kununua mitumba, wewe kama unajua kitu na hutaki kutuwekea hapa, then hupaswi kushawishi watu, kwanini usiingie huko Google na utuwekee hapa ili Ku support hoja yako?.



Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa mkuu. Endelea na hiyo sheria unayoijua wewe ya mwaka 2004. Ila Jiongeze kidogo upate hiyo sheria ya 2011 na pia kuna recent ya mwaka 2016 pia.

Endeleza ligi na wanyankee Sasa. I'm out.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
joto la jiwe unachapwa makofi kwa uzi wako kisa huna ushahidi tena huzijui sheria zenu? Bure kabisa 😀😀
 
Uko sawa mkuu. Endelea na hiyo sheria unayoijua wewe ya mwaka 2004. Ila Jiongeze kidogo upate hiyo sheria ya 2011 na pia kuna recent ya mwaka 2016 pia.

Endeleza ligi na wanyankee Sasa. I'm out.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninakushukuru, ila kama lengo lako ni kuhabarisha, kuelimisha na kujuza wengine, ni vizuri ukaweka links ili Ku support unachokisema. Sio vizuri kuwa inazungumzia vitu juu juu na kuwatuma watu wajitafutie wenyewe Yale unayoyasema na kuyaamini.

Unanikumbusha mwalimu wangu aliyenifundisha nikiwa chekechea, kila kitu alikua anatuambia tukawaambie wazazi watumie google ili the following day tukirudi tumuambie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninakushukuru, ila kama lengo lako ni kuhabarisha, kuelimisha na kujuza wengine, ni vizuri ukaweka links ili Ku support unachokisema. Sio vizuri kuwa inazungumzia vitu juu juu na kuwatuma watu wajitafutie wenyewe Yale unayoyasema na kuyaamini.

Unanikumbusha mwalimu wangu aliyenifundisha nikiwa chekechea, kila kitu alikua anatuambia tukawaambie wazazi watumie google ili the following day tukirudi tumuambie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wakati uko chekechea ulikuwa unatumia google!? Ndio maana unapenda ligi za kitoto.

Lengo langu ilikuwa ni kutahadharisha sio kuhabarisha. Tutawacheka majirani leo halafu na sisi kesho au kesho kutwa tunaweza kurudia hayo hayo.

Kwanza Mimi sio mwandishi mzuri, pili sio mjuvi sana wa kutumia mitandao kama hivyo ku upload link, Doc n.k..na pia Ningekuwa mtaalam wa kufukua makaburi ningeweza kukuwekea nyuzi hapa jinsi wabunge walivyopinga hiyo sheria ila ikapitishwa mwisho wa siku.

Sasa ni Wewe tu kuamua kuendelea kushikilia msimamo wako, au kuamua kutafuta hizo sheria na kujiongezea maarifa na kuwa up to date na sheria za nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe wakati uko chekechea ulikuwa unatumia google!? Ndio maana unapenda ligi za kitoto.

Lengo langu ilikuwa ni kutahadharisha sio kuhabarisha. Tutawacheka majirani leo halafu na sisi kesho au kesho kutwa tunaweza kurudia hayo hayo.

Kwanza Mimi sio mwandishi mzuri, pili sio mjuvi sana wa kutumia mitandao kama hivyo ku upload link, Doc n.k..na pia Ningekuwa mtaalam wa kufukua makaburi ningeweza kukuwekea nyuzi hapa jinsi wabunge walivyopinga hiyo sheria ila ikapitishwa mwisho wa siku.

Sasa ni Wewe tu kuamua kuendelea kushikilia msimamo wako, au kuamua kutafuta hizo sheria na kujiongezea maarifa na kuwa up to date na sheria za nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mtoto ki umri ila hoja zangu ni nzito, kama hujajiandaa ninaweza kukutoa kamasi, Shikamoo kaka mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasome sheria vizuri. Kipindi cha Waziri wa Fedha Mustapha Mkulo Sheria ya Tz ilifanyiwa marekebisho na kuruhusu serikali ya Tanzania kununua vitu vilivyotumika kama mitambo mizito ikiwemo Mitambo ya kufua Umeme, Vichwa vya train n.k
Sheria ya manunuzi Tanzania hairuhusu serikali kununua vitu chakavu, hata kama ni kijiko cha kukorogea chai, Kenya hata vifaa vya kijeshi, tena vyenye kuruka angani huwa wananunua chakavu, katika hivi vichwa 11, ni vichwa vinne tu ndio vinavyofanya kazi, vingine vyote vinahitaji kukarabatiwa, hivi kwanini wasinunue vipya hata kutoka China?.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni bishara njema ndege za Kenya zimeanza kujinyonga zenyewe Kwa kuziogopa za tanzania
Haki Hata zile dreamliner na Embraer za KQ zinaweza kuwa mitumba kwa jinsi zinavyogongana pia kuna moja ilipata ajali ikitua Dar ukiacha dreamliner ya juzi iliyotua baada ya itilafu engine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom