Kenya imeshindwa kuwakinga Watu 400,000 na njaa Kenya

Kenya imeshindwa kuwakinga Watu 400,000 na njaa Kenya

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Ushuhuda huu ndio sababu ya kutokukubali mradi wa katiba mpya. Watu 400, 000 wanakabiliwa na upungufu wa chakula wakati katiba mpya ipo huko Kenya. Ya nini sasa hiyo katiba mpya wakati haileti chakula mezani?

More than 400,000 people at the Coast are in dire need of food, with four out of the region's six counties requiring urgent interventions, authorities have said.

Kilifi, Kwale, Tana River and Lamu are among 23 counties on the national government's red list as drought ravages Kenya's north, east and coast regions.

----
More than 400,000 people at the Coast are in dire need of food, with four out of the region's six counties requiring urgent interventions, authorities have said.

Kilifi, Kwale, Tana River and Lamu are among 23 counties on the national government's red list as drought ravages Kenya's north, east and coast regions.

A number of boarding schools in Tana River County have already been closed due to lack of water as humanitarian organisations warn of a dire situation ahead if urgent measures are not taken.

The Cabinet is set to meet tomorrow to discuss measures to help starving Kenyans.

Agriculture Cabinet Secretary Peter Munya said some of the measures the government is considering is buying livestock from pastoralists and cash transfers.

"The government through the National Development Implementation and Communication Cabinet Committee (NDICC) will come up with a plan to cushion livestock keepers. The State will buy livestock from people in drought-stricken areas so that they won't incur losses when the animals die," said Mr Munya.


According to the Kenya Red Cross, Kilifi is leading at the Coast in the number of those facing famine followed by Kwale, Tana River and Lamu.

Succumbed to hunger

"We have more than 145,000 people who are in dire need of water and food in Kilifi and about 130,000 in Kwale while 78,000 people are in Tana River. 21,000 people living in Lamu are facing the same situation," said Coast Kenya Red Cross Coordinator Hassan Musa.

In Kilifi, a woman is said to have died in Ganze Constituency a week ago.

Area MP Teddy Mwambire said the woman succumbed to hunger in Goshi Village on the outskirts of Bamba Ward. He called on both the national and county governments to move with speed and save lives.


In Lamu, at least Sh100 million is urgently required to address the effects of drought, the County Steering Group on Food Security (CSG) has said.

County Commissioner Irungu Macharia said farmers got poor yields after rains failed for the past one year.

Invasion of locusts complicated the situation since the little food grown along river banks was wiped by locust-- leaving locals with empty granaries.

"Water sources have dried up and the little remaining are being shared between people and wildlife," he said.

While unveiling a report prepared by the CSG, Mr Macharia said more than 50 per cent of households in the county are lacking food, with Lamu East being worst-hit.


This year Lamu received 83mm of rainfall, way below the long-term average of 284mm.



Suffering from malnutrition

According to National Drought Management Authority Tana River Coordinator Abdi Musa, at least 2,000 children under five are suffering from malnutrition.

Tana North Sub-county did not witness any of the short rains hence dry water reservoirs, with Kone and Asa areas in Tana Delta bearing the brunt of the drought.

In Tana River, Assa, Wayu, Titila, Idi and Odoganda primary schools have been closed as result of drought as children are forced to embark on long trips in search of water.

"Everywhere is dry. We can go for even three months without water before the county government water bowser responds, and it's always one truck for the school and the residents to share," said Assa Head Teacher Harrison Mwaringa.

Lesson plans have become hard to execute, as teachers are drawn to the hustle for water.

Deputy Head Teacher Cecilia Jilo said despite having food supplies from the government, there is no water to cook the food since the water pans they depended on dried up.

The long and tedious trips in search of water, she said, leave both teachers and pupils fatigued, hence poor performance.

"You can't get any good results with this kind of life. By the time the lessons begin, everyone is tired. We only motivate one another but we need help," she said.

Urgent intervention

The deputy head teacher revealed that the disruption by the drought has exposed girls to defilement and early marriages.

She noted that the many who have dropped out of school are unlikely to return and will certainly end up married to elderly men in the community as their families seek to survive the hard economic times.

Critical services at different dispensaries in the county, such as maternity, have also been suspended due to lack of water.

Ms Halima Ishmael, a Tana Delta resident, told the Nation that taking baths has been banned in her home, with the little water available reserved for cooking and drinking.

Tana Delta Deputy County Commissioner William Nasongo confirmed that the situation is dire as he appealed for urgent intervention.

"Whatever I have seen these people go through is sad, but I am hopeful that government will respond very soon," he said.

Mr Nasongo urged residents to share the little resources available in peace.

Source: Kenya: 400,000 Face Starvation At the Coast
 
Mk 254 mhanga namba ngapi? Hizi njaa mi nazisikia tu wala sijui hata zinafananaje?.majirani muwe mnakiri madhaifu sio kila kitu mnaweza
 
Usalama wa chakula kwa ustawi wa wananchi siyo suala la kikatiba??
Wewe unafikiri katiba ni tume ya uchaguzi, mihula miwili ya miaka 5 kila mmoja etc, yaani siasa tuuu!!!???
ohh masikini!

Chief unatakiwa urudie kusoma kuanzia darasa la 2 ili ujifunze kuwa baa la njaa haliwezi kuzuiwa na katiba.
 
eti ukame na njaa vinahusishwa na katiba mpya [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Aisee haya maugoro uwe unajadili na house girl wa dada yako labda ndo atakuamini.
Huna akili wewe, ukame dawa yake ni nini Kama sio sera nzuri na Sheria zenye kuwajali wanyonge?.

Hivi unajua kwamba pamoja na Tanzania kutosumbuliwa na ukame Kama Kenya, lakini Tanzania tumewekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji mara 3 zaidi ya Kenya?.

Eneo lenye miuondombinu ya umwagiliaji Tanzania ni zaidi ya hekta laki 8 wakati Kenya ni hekta laki 2 pekee?.

Hivi hujui kwamba katika ya Tanzania inasema kwamba haruhusiwi mtu yeyote kujimilikisha ardhi pekee na kuwaacha wananchi wanaishi bila ardhi ya kulima?.
 
Huna akili wewe, ukame dawa yake ni nini Kama sio sera nzuri na Sheria zenye kuwajali wanyonge?.

Hivi unajua kwamba pamoja na Tanzania kutosumbuliwa na ukame Kama Kenya, lakini Tanzania tumewekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji mara 3 zaidi ya Kenya?.

Eneo lenye miuondombinu ya umwagiliaji Tanzania ni zaidi ya hekta laki 8 wakati Kenya ni hekta laki 2 pekee?.

Hivi hujui kwamba katika ya Tanzania inasema kwamba haruhusiwi mtu yeyote kujimilikisha ardhi pekee na kuwaacha wananchi wanaishi bila ardhi ya kulima?.
Elimu
Elimu
Elimu

Aisee Comrade narudia tena kaa mbali na wajukuu/watoto wako usijekuwarithisha huu ujinga.
 
Back
Top Bottom