Kenya imeshindwa kuwakinga Watu 400,000 na njaa Kenya

Kenya imeshindwa kuwakinga Watu 400,000 na njaa Kenya

Ni vile hauelewi swala unaloongelea ndo maana haujui kama ni swali au ni jibu...
Relatively speaking, Tanzania na Kenya zina maskini wengi ambao hawana uwezo wa kununua bidhaa za madukani... Wanategemea biashara za kugeuzana vitu, yani nikupe cabeji unipe maziwa, au nikupe maharagwe unipe mahindi.. hapo ndo kipato kinapatikana..... Tofauti ya maskini wa Turkana na maskini wa Tz ni kwamba maskini wa TZ anaweza kutegemea kilimo kujilisha hata kama hana hela ya kutajika, lakini maskini wa Turkana anakaa miaka mitatu hajawahi kuona mvua, tena hakuna hata ziwa na maji karibu angalau anyunyizie maji mimea..

Kwa kifupi Galana kalulu haiwezi kumsaidia maskini wa aina hii manake hata akaletewa hayo mahindi mpaka kwa mlango wake, hana uwezo wa kununua......

Jua kutofautisha, Kenya sahii hakuna uhaba wa chakula (Manake tumenunua ambavyo hatuna kutoka nje) uhaba ulioko ni wa mazao kwasababu ya kiangazi.... Hii haimaniishi eti duka la pale Turkana linakosa tomato,kitunguu, Unga uliopelekwa na wanabishara, la! inamaanisha wale ambao wanakumbwa na njaa hawana uwezo wa kununua chakula cha dukani manake wao hutegemea ukulima kwa lishe lao...
1. swali, kwanini Tanzania nchi ambayo haisumbuliwi Sana na ukame lakini imewekeza zaidi katika kilimo cha umwagiliaji kuliko ninyi ambao sehemu kubwa ya nchi haipati mvua za kutosha?

Tanzania eneo tulilojenga miundo mbinu ya umwagiliaji ni hekta laki 8, wakati Kenya ni laki 2 tu.

2. Kwanini Tanzania ambako Kuna eneo kubwa lenye rutuba lakini bado tumeweka Sheria ya kuhakikisha matajiri/wageni/wanasiasa hawawezi kujimilikisha ardhi kubwa na kuwaacha wananchi masikini wanaishi maeneo yasiyokua na rutuba Wala mvua za kutosha?

NB: Njia pekee ya kukabiliana na ukame ni kujenga miuondombinu ya umwagiliaji, sio kupiga kelele na kutangaza janga la njaa Kila mwaka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni vile hauelewi swala unaloongelea ndo maana haujui kama ni swali au ni jibu...
Relatively speaking, Tanzania na Kenya zina maskini wengi ambao hawana uwezo wa kununua bidhaa za madukani... Wanategemea biashara za kugeuzana vitu, yani nikupe cabeji unipe maziwa, au nikupe maharagwe unipe mahindi.. hapo ndo kipato kinapatikana..... Tofauti ya maskini wa Turkana na maskini wa Tz ni kwamba maskini wa TZ anaweza kutegemea kilimo kujilisha hata kama hana hela ya kutajika, lakini maskini wa Turkana anakaa miaka mitatu hajawahi kuona mvua, tena hakuna hata ziwa na maji karibu angalau anyunyizie maji mimea..

Kwa kifupi Galana kalulu haiwezi kumsaidia maskini wa aina hii manake hata akaletewa hayo mahindi mpaka kwa mlango wake, hana uwezo wa kununua......

Jua kutofautisha, Kenya sahii hakuna uhaba wa chakula (Manake tumenunua ambavyo hatuna kutoka nje) uhaba ulioko ni wa mazao kwasababu ya kiangazi.... Hii haimaniishi eti duka la pale Turkana linakosa tomato,kitunguu, Unga uliopelekwa na wanabishara, la! inamaanisha wale ambao wanakumbwa na njaa hawana uwezo wa kununua chakula cha dukani manake wao hutegemea ukulima kwa lishe lao...
1. swali, kwanini Tanzania nchi ambayo haisumbuliwi Sana na ukame lakini imewekeza zaidi katika kilimo cha umwagiliaji kuliko ninyi ambao sehemu kubwa ya nchi haipati mvua za kutosha?

Tanzania eneo tulilojenga miundo mbinu ya umwagiliaji ni hekta laki 8, wakati Kenya ni laki 2 tu.

2. Kwanini Tanzania ambako Kuna eneo kubwa lenye rutuba lakini bado tumeweka Sheria ya kuhakikisha matajiri/wageni/wanasiasa hawawezi kujimilikisha ardhi kubwa na kuwaacha wananchi masikini wanaishi maeneo yasiyokua na rutuba Wala mvua za kutosha?

NB: Njia pekee ya kukabiliana na ukame ni kujenga miuondombinu ya umwagiliaji, sio kupiga kelele na kutangaza janga la njaa Kila mwaka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wapi, Ule ukame wa kufanana na pale Masai mara si ukame, 70% ya Kenya inafana hivyo...

This is Chalbi, Kenya.. Nionyeshe eneo TZ ambalo liko hivi




EWYQ9KtXQAY0k0D.jpg
Dawa ya ukame ni kujenga mifumo ya umwagiliaji Kama tunavyofanya Tanzania, Egypt na Nigeria. Kwanini msitumie maji ya Lake Turkana?, Punguzeni uzembe njaa itawamaliza.
 
Irrigation schemes ni mara 3 ya huko Kenya, ninyi wenye ukame ndio mngepaswa kuwa na miradi mingi na mikubwa ya umwagiliaji kuliko sisi Tanzania, badala yake hata miradi ya irrigations ambayo ni "man made" pia tumewazidi.

Katika nchi zenye ukame mkubwa ni Egypt, lakini Egypt ndiyo inayoongoza kwa miradi ya umwagiliaji hapa Africa, ninyi ni wazembe, rushwa na sera mbovu za kumiliki na matumizi ya ardhi.

Kenya is truly a failed state.
Misri wana mto Nile ambayo nchi nyengine haziruhusiwi kuugusa,nyie mna maji maji maji kila kona.
Tatizo kuu Kenya ni MAJI ikifuatwa na ardhi isiyo weza kumudu hata umwagiliaji wenyewe(non-arable land), yaani ardhi yenye mawe mengi(rocks).
Mshukuru Mungu sana nyie.
 
😆😄
Bwana mdogo, yaani hako kaneno ka kilatini kamekuacha hooi. Sikiliza kijana mimi ni composite expert. Law naijua vizuri, though I'm not a lawyer.
🤣🤣🤣
Kwanza spelling yenyewe umefeli...bure kabisa,jikite kwenye uswahili weye kinjekitile.
 
Misri wana mto Nile ambayo nchi nyengine haziruhusiwi kuugusa,nyie mna maji maji maji kila kona.
Tatizo kuu Kenya ni MAJI ikifuatwa na ardhi isiyo weza kumudu hata umwagiliaji wenyewe(non-arable land), yaani ardhi yenye mawe mengi(rocks).
Mshukuru Mungu sana nyie.
Ziwa Victoria, Lake Turkana na mito ya msimu wa mvua, vyote vinatosha kuwa vyanzo vya maji kwa ajili ya kilimo na mifugo.

Kenya ardhi yenye rutuba Kama ingegawanywa kwa usawa(Equitable) Kama ilivyo Tanzania, hilo Tatizo la upungufu wa chakula lisingesumbua, tatizo ardhi yote nzuri imechukuliwa na matajiri na wanasiasa.
 
Huku Tanzania mbona mahindi yanaozea kwenye maghala kwa kukosa soko, wakenya mnakwama wapi kuja kuchukua huku au yana Aflatoxin?
 
Huku Tanzania mbona mahindi yanaozea kwenye maghala kwa kukosa soko, wakenya mnakwama wapi kuja kuchukua huku au yana Aflatoxin?
Tatizo ni maji kwa mifugo na wafugaji sio mahindi.
Ni maeneo ya wafugaji.
 
Tatizo ni maji kwa mifugo na wafugaji sio mahindi.
Ni maeneo ya wafugaji.
Mkuu nimeona jana BBC swahili wakihojiwa wakazi wa Kilifi, wanasisitiza kutaka msaada wa chakula hasa mahindi kutoka serikalini baada ya serikali ku-declare njaa eneo hilo kuwa ni janga la kitaifa. Sasa hao wakazi wa kilifi watasaidiwaje kama sio kuwapelekea hayo mahindi wapate japo githeri moja kwa siku?
 
Njaa na ukame Kenya ni fursa kwa wakulima wa Tanzania. Huko Songea na Mtwara wakulima hawana mahali pa kuhifadhia mahindi jinsi yalivyo mengi.

Serikali ya SSH imekalia tozo tu badala ya kuwasaidia wakulima kuuza mahindi yao huko Kenya kwenye njaa.
 
Mkuu nimeona jana BBC swahili wakihojiwa wakazi wa Kilifi, wanasisitiza kutaka msaada wa chakula hasa mahindi kutoka serikalini baada ya serikali ku-declare njaa eneo hilo kuwa ni janga la kitaifa. Sasa hao wakazi wa kilifi watasaidiwaje kama sio kuwapelekea hayo mahindi wapate japo githeri moja kwa siku?
Hilo la kawaida sana. Serikali haijaanza leo kuwalisha wahanga,sema tu ndivyo ilivyo ardhi ya Kenya.
 
Nyie wakenya ni wapumbavu na shuleni mlienda kujifunza lugha ya kingereza pekee,
Yaani hata hiyo ardhi kiduchu mnayoweza kulima wanamiliki wazungu wanafugia ng’ombe, kulima maua na miraa na kuuza ulaya, mnajua mna nchi ndogo na mpo wengi mnazaliana kama rodents,
How on earth do you have land policies allowing this shit, ?? Hivi nyie mnajitambua kweli?
Hiyo nchi ni yenu au ya Kenyatta na waingereza?
Is education helping you people ??View attachment 1936359
hili ndio tatizo la watanzania hasa hawa kindakindaki wa uvccm iv umeshaona wapi nchi zaidi ya asilimia 75 ni wakulima na wafugaji ikapiga hatua kimaendeleo??zaidi hao asilimia 75 wakalima tu kilimo kisicho na tija maana particularly watalima locally, je hapo mtakuwa mmefanya nini??_zaid ya kuharibu productive land, nakuwafanya wananchi hasa vijana kukichukia kilimo instead kilimo ni biashara,pia isitoshe hats soko hamuwatafutii ,nyinyi mmekalia tozo tu kwa huyu mkulima, hivi nyinyi wanatozo mnamchango UPI kwa mwananchi wa kawaida mmejaa umimi na undugunization na kujuanization
 
wanahangaika na BBI tu, huku wanakufa kwa njaa, kipindi kile walikataa mahindi ya 255 wakasema yana aflatoxin aka sumu kuvu sasa hivi waone sasa kama watakula mchanga, mahindi wauziwe hata milioni moja kwa debe moja
 
Ushuhuda huu ndio sababu ya kutokukubali mradi wa katiba mpya. Watu 400, 000 wanakabiliwa na upungufu wa chakula wakati katiba mpya ipo huko Kenya. Ya nini sasa hiyo katiba mpya wakati haileti chakula mezani?

More than 400,000 people at the Coast are in dire need of food, with four out of the region's six counties requiring urgent interventions, authorities have said.

Kilifi, Kwale, Tana River and Lamu are among 23 counties on the national government's red list as drought ravages Kenya's north, east and coast regions.

----
More than 400,000 people at the Coast are in dire need of food, with four out of the region's six counties requiring urgent interventions, authorities have said.

Kilifi, Kwale, Tana River and Lamu are among 23 counties on the national government's red list as drought ravages Kenya's north, east and coast regions.

A number of boarding schools in Tana River County have already been closed due to lack of water as humanitarian organisations warn of a dire situation ahead if urgent measures are not taken.

The Cabinet is set to meet tomorrow to discuss measures to help starving Kenyans.

Agriculture Cabinet Secretary Peter Munya said some of the measures the government is considering is buying livestock from pastoralists and cash transfers.

"The government through the National Development Implementation and Communication Cabinet Committee (NDICC) will come up with a plan to cushion livestock keepers. The State will buy livestock from people in drought-stricken areas so that they won't incur losses when the animals die," said Mr Munya.


According to the Kenya Red Cross, Kilifi is leading at the Coast in the number of those facing famine followed by Kwale, Tana River and Lamu.

Succumbed to hunger

"We have more than 145,000 people who are in dire need of water and food in Kilifi and about 130,000 in Kwale while 78,000 people are in Tana River. 21,000 people living in Lamu are facing the same situation," said Coast Kenya Red Cross Coordinator Hassan Musa.

In Kilifi, a woman is said to have died in Ganze Constituency a week ago.

Area MP Teddy Mwambire said the woman succumbed to hunger in Goshi Village on the outskirts of Bamba Ward. He called on both the national and county governments to move with speed and save lives.


In Lamu, at least Sh100 million is urgently required to address the effects of drought, the County Steering Group on Food Security (CSG) has said.

County Commissioner Irungu Macharia said farmers got poor yields after rains failed for the past one year.

Invasion of locusts complicated the situation since the little food grown along river banks was wiped by locust-- leaving locals with empty granaries.

"Water sources have dried up and the little remaining are being shared between people and wildlife," he said.

While unveiling a report prepared by the CSG, Mr Macharia said more than 50 per cent of households in the county are lacking food, with Lamu East being worst-hit.


This year Lamu received 83mm of rainfall, way below the long-term average of 284mm.



Suffering from malnutrition

According to National Drought Management Authority Tana River Coordinator Abdi Musa, at least 2,000 children under five are suffering from malnutrition.

Tana North Sub-county did not witness any of the short rains hence dry water reservoirs, with Kone and Asa areas in Tana Delta bearing the brunt of the drought.

In Tana River, Assa, Wayu, Titila, Idi and Odoganda primary schools have been closed as result of drought as children are forced to embark on long trips in search of water.

"Everywhere is dry. We can go for even three months without water before the county government water bowser responds, and it's always one truck for the school and the residents to share," said Assa Head Teacher Harrison Mwaringa.

Lesson plans have become hard to execute, as teachers are drawn to the hustle for water.

Deputy Head Teacher Cecilia Jilo said despite having food supplies from the government, there is no water to cook the food since the water pans they depended on dried up.

The long and tedious trips in search of water, she said, leave both teachers and pupils fatigued, hence poor performance.

"You can't get any good results with this kind of life. By the time the lessons begin, everyone is tired. We only motivate one another but we need help," she said.

Urgent intervention

The deputy head teacher revealed that the disruption by the drought has exposed girls to defilement and early marriages.

She noted that the many who have dropped out of school are unlikely to return and will certainly end up married to elderly men in the community as their families seek to survive the hard economic times.

Critical services at different dispensaries in the county, such as maternity, have also been suspended due to lack of water.

Ms Halima Ishmael, a Tana Delta resident, told the Nation that taking baths has been banned in her home, with the little water available reserved for cooking and drinking.

Tana Delta Deputy County Commissioner William Nasongo confirmed that the situation is dire as he appealed for urgent intervention.

"Whatever I have seen these people go through is sad, but I am hopeful that government will respond very soon," he said.

Mr Nasongo urged residents to share the little resources available in peace.

Source: Kenya: 400,000 Face Starvation At the Coast
Tuwahurumie kwa kuwa na njaa kila mwaka lkn usihusianishe njaa na katiba ni Vitu ambavyo havina uhusiano. Wacha uboya, ntakuhtaki kama mc mbonile
 
Huna akili wewe, ukame dawa yake ni nini Kama sio sera nzuri na Sheria zenye kuwajali wanyonge?.

Hivi unajua kwamba pamoja na Tanzania kutosumbuliwa na ukame Kama Kenya, lakini Tanzania tumewekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji mara 3 zaidi ya Kenya?.

Eneo lenye miuondombinu ya umwagiliaji Tanzania ni zaidi ya hekta laki 8 wakati Kenya ni hekta laki 2 pekee?.

Hivi hujui kwamba katika ya Tanzania inasema kwamba haruhusiwi mtu yeyote kujimilikisha ardhi pekee na kuwaacha wananchi wanaishi bila ardhi ya kulima?.
Kwa hiyo katiba mpya ikiyatambua haya ya kila mtu kuwa na uwezo wa kumiliki ardhi ni vibaya? Katiba mpya kuboresha na kuzilinda maliasili ni vibaya?

Angalia tofauti ya magufuli na waliomtangulia, huini tofauti na utofauti huo ni udhaifu wa katiba?

Leo hii pato la madini limeongezeka kwa zaidi ya 100% magufuli kaondoka, limeanza kushuka, huoni tunahitaji katiba mpya ili kila kiongozi akiingia alinde mali za taifa?

Magufuli kafariki petrol ni 2200/- leo ni 2600/- huoni ni udhaifu wa katiba iliyopo?
 
Sasa unajisifia nini hapa, Kubarikiwa na rasilmali ya ardhi?

Kenya imeshinda Tz kwa vitu vingi sana, kwahivyo ikija kwa jambo hili la kiangazi usijifanye eti mna akili au bidii kutushinda, Trust me, Kama Tz mngekua hali ile Kenya iko, mngeangamia wengi sana.... Shida za ukame tuachie sisi ambao hukumbwa na hili janga....


Hata kabla ufike hapo kwa irrigation, Unajua ni kiasi gani cha mashamba ambapo kunaweza kufanywa argiculture (Arable Land) bila kutumia technolojia yoyote ya teraforming/conversion?

View attachment 1936237



View attachment 1936238


Tanzania iko na arable hactares 13.5m ya arable land, Wakati Kenya iko na 5.8 Million.



Sasa unajua Kenya iko na maji masafi kiasi gani ukilinganisha na TZ?



View attachment 1936252

Maji safi tunayoyatumia Kenya ni mengi kuliko maji safi yanayopatikana Kenya, Hii inaonyesha jinsi vile Kenya hakuna maji in the first place!

View attachment 1936255




Sasa unakuja hapa kujisifu na vitu ambavyo vinapatikana naturally Tanzania eti huo ndo werevu wa mtanzania, nkt wewe mwenyewe unafaa ujiulize inakuwaje Tz nchi yenye amani zaidi, maji zaidi, chakula zaidi, mbuga zaidi, madini zaidi, ukubwa wa ardhi zaidi, ma milioni ya watu wengi zaidi, geographical location nzuri zaidi (Kwa ku connect nchi tofauti duniani) ... na mengine mengi zaidi lakini licha ya hizo advantages zote bado mnashindwa na Kenya ukanda huu, Kenya ambayo sifa yake kuu ni watu wenyewe! Kama si uzembe wa hali ya juu huu tutauita nini?
Mimi mtanzania nimekupa.like. Hawa ni misukule wa ccm. Maadam wanakula na kunya, basi akili zao zimelala. Ndiyo maana ukame kenya anatumia kama hoja ya kukataa katiba mpya Tanzania. Zero thinking
 
Kwa hiyo katiba mpya ikiyatambua haya ya kila mtu kuwa na uwezo wa kumiliki ardhi ni vibaya? Katiba mpya kuboresha na kuzilinda maliasili ni vibaya?

Angalia tofauti ya magufuli na waliomtangulia, huini tofauti na utofauti huo ni udhaifu wa katiba?

Leo hii pato la madini limeongezeka kwa zaidi ya 100% magufuli kaondoka, limeanza kushuka, huoni tunahitaji katiba mpya ili kila kiongozi akiingia alinde mali za taifa?

Magufuli kafariki petrol ni 2200/- leo ni 2600/- huoni ni udhaifu wa katiba iliyopo?
Kaka katiba iliyopo inalinda rasilimali zetu vizuri Sana, tatizo ni viongozi wenye upeo, uwezo na wenye nia ya kweli na uthubutu wa kuitekeleza katiba bila kuionea haya.

Tatizo la Africa ni viongozi Bora, sio katiba, kumbuka kwamba hata vitabu vitakatifu Biblia na Quran ni vitabu Bora lakini sisi binadamu hatuvifuati, hilo mbona hatudai mabadiliko ya Biblia au Quran viandikwe upya?.

Kenya tatizo lao ni uongozi Bora sio katiba, hata baada ya kuandika katiba mpya Kenya, hakuna mabadiliko yoyote katika Mambo ya msingi yanayogusa raia wa kawaida, Hali ndio inazidi kuwa mbaya kila kukicha.
 
Back
Top Bottom