Kenya Ina Kipi Cha Kujivunia Toka Ipeleke Majeshi Somalia Takribani Miaka Nane Iliyopita?

Ngoja wakuue na ww ndo utajua km idadi ndogo......mavi ya kenge ww
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umenena vyema atayepinga apinge tuu haitabadilisha chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umenena vyema kabisa serikali ya kenya Ina wasomali wengi Sana police,jeshini idara ya usalama ,bunge nk pia kaskazi mwa kenya Mandela count galisa yote wasomali wamejaa . Hivyo mabadiliko ya kimfumo ni muhimu katika nyanja muhimu hasa zile za kiusalama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kweli hao wakenya wanaionea haya marekani hivyo wamekubali kufa na tai shingoni ili waendelee kujipendekeza Kwa USA serikali ya Kenya isha dumbukia kwenye trap!!! ya USA awawezi kutoka hadi wamuombe na kumnyenyekea USA ili awaruhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
since u tanzanians aint in somalia ,why dont u mind your business ,whether tuko.somalia au hatuko why does it concern your ass?

Sent using Jamii Forums mobile app

Simply inform him/her that Kenyan Defense Force is in Somalia as part of African Union Troops! Put your history properly and correctly and the other African troops are from Ethiopia, Djibouti, Uganda, Burundi just to mention a few. Why should AU withdraw its troops from Somalia while the bloody thirsty Alshaabab the AlQaida & ISIS affiliates are still operating in that country? It is a pity that some individuals are so lazy in reading books, newspapers as part of education instead they end up with gossips like hadithi za Abunuwas za elfu ulela ulela(literal translation - evening stories narrated by grannies grandmothers[emoji70] [emoji70] to their grand children [emoji64])!
 
si sisi pekee yetu hata Ethiopia iko huko,hio ni kuonyesha kenyans hakuna kitu wanaogopa ya pili inatupea experience hope uliona what happnd at dusit venye hao watu walimadwa,hauezi compare hio ni 2013 westgate ndo tulikuwa chini lakini sai mbinu ya vita tunaijua,na kenya haiezi toka huko coz hizo country zikatoka alshabaab na alkaida watafanya hio their base n believe me you hata nyinyi hamtakuwa safe,same na Africa nzima n plus btw pia ni business ina tu sell thats why kenyans wanaheshimika sana nje ya continent na ndani so kila opportunity si hufanya lazima tuwe tumeona uzuri wake,si huona mbele,tunajipenda hio kiasi,na ilibidii tuende coz hatutaki somalis in our country

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KDF entered Somalia on it's own with the hope of being integrated into the AU Troops.

At that time the AMISOM was formed by troops from Burundi, Uganda and Djibouti. You entered Somalia in a solo mission with 'high hopes' of getting international aid and recognition.

Kenya had troops deployed in Somalia independently before they were brought under the AMISOM umbrella.

You are turning a blind eye here.
 
Nimeanza kuwashauri siku nyingi sana Wakenya kujitoa huko lakini Kila anaewashauri wanamuona mbaya.

Waelewe tu, wanapigana na Wakenya wenzao pia na si Wasomali pekee. Shambulio la juzi mpaka mtoto wa Afisa wa Jeshi la Kenya yumo.

Kwa hali kama hiyo ambayo huna uhakika upo kwenye vita na nani utashinda vipi?

Viongozi wa Kenya wanawapa tu raia zao kwa thamani ndogo ya kununuliwa na USA na washirika wake.

The situation is, Kenyans kill Kenyans. Hii ni mbaya kuliko maumau.
 
Trump mwenyewe amesema vita na ISIS hataki tena..Huku kenya inajipiga kifua eti hakuna kurudi nyuma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Trump mwenyewe amesema vita na ISIS hataki tena..Huku kenya inajipiga kifua eti hakuna kurudi nyuma [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kuongea kitu ujui,walikataa tena after consolation ww mjinga sana,US na hizo country ziko huko zikitoka dunia nzima tutaumia mara20 juu hawa wasee wote watafanya hio ka their country n their base na hivyo wata attack the world anywhere sana sana penye christians wako n if am not wrong Tz nikaa christian nation juu christians ndo most,before uongee first

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…