joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hapa ndio wendawazimu wenu unapoanza, mwanzoni mlisema mnazo maabara nyingi, baada ya kujua ni mbili mnasema zinatosha[emoji23][emoji23][emoji23].Kwenye hili suala la Corona kazi bado ipo. Ila maabara mawili yanatosha kufanya 'confirmatory tests' hapa hapa nchini Kenya. Kwasababu kila sampuli inafaa kupimwa mara mbili kwenye maabara mawili tofauti, ili kuwe na uhakika kuhusu uwepo wa virusi vya COVID-19. Kenya ndio ilikuwa nchi ya kwanza ukanda huu kuwa na uwezo huo wa kufanya 'confirmatory tests'. Vipi kuhusu Tz na maabara yenu moja, ambayo inatumiwa hadi na Zanzibar? Alafu hivyo vitanda vya ICU Kenya ni vile ambavyo vipo 'free' kwa sasa, sio idadi ya vitanda vyote. Nilisoma sehemu flani kwamba Tz mna vitanda 53 tu vya ICU.
😂😂😂😂 Kichwa tikiti maji. Hii maabara yenu inapima sampuli ngapi kwa siku juu umesema sio wingi wa maabara bali ni uwezo?Hapa ndio wendawazimu wenu unapoanza, mwanzoni mlisema mnazo maabara nyingi, baada ya kujua ni mbili mnasema zinatosha[emoji23][emoji23][emoji23].
Ngoja nikuambie, idadi ya maabara sio muhimu, muhimu ni
1)Uwezo wa maabara, unaweza kuwa na maabara yenye kupima sample 200 kwa siku, wakati mwengine anayo yenye kupima 1000 kwa siku.
2)Idadi ya sample katika nchi husika, Tanzania, Uganda na Rwanda, tumeamua kutofanya "mass testing", tunapema wale tu ambao ni close contacts na wameanza kuonyesha dalili, lakini njia tunayotumia kubwa ni kufanya "Quarantine" kwa siku 14.
Kuhusu hivyo vitanda vya ICU, Kenya nzima ina vitanda chini ya hivyo 160. Kwasababu baadhi ya hivyo vitanda havifanyi kasi.
Ushauri wangu ni kwamba, badala ya kuendelea kupinga na kujipa moyo, chukueni hizo changamoto na mzifanyie kazi. Jambo lingine ni kwamba, Kenya imeshazidiwa na hili tatizo la Corona, jaribuni kutafuta njia ingine itakayopunguza kasi ya maambukizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yako alivyoachia ukaingizwa wewe bila Condom unadhani alifanya jambo la maana?, alikua na uhakika gani kwamba baba yako hakuwa na Ukimwi? [emoji23][emoji23][emoji23]Wew chizi hivi huwa mnapata faida gani kuchongoa mdomo nchi za wengine wakati hapa kwetu tanzania Hali Ni tete??
Hivi Nyie huwa mna akili kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ma konteina ya BeyondZero😂😂😂Kwenye hili suala la Corona kazi bado ipo. Ila maabara mawili yanatosha kufanya 'confirmatory tests' hapa hapa nchini Kenya. Kwasababu kila sampuli inafaa kupimwa mara mbili kwenye maabara mawili tofauti, ili kuwe na uhakika kuhusu uwepo wa virusi vya COVID-19. Kenya ndio ilikuwa nchi ya kwanza ukanda huu kuwa na uwezo huo wa kufanya 'confirmatory tests'. Vipi kuhusu Tz na maabara yenu moja, ambayo inatumiwa hadi na Zanzibar? Alafu hivyo vitanda vya ICU Kenya ni vile ambavyo vipo 'free' kwa sasa, sio idadi ya vitanda vyote. Nilisoma sehemu flani kwamba Tz mna vitanda 53 tu vya ICU.
Kwenye hili suala la Corona kazi bado ipo. Ila maabara mawili yanatosha kufanya 'confirmatory tests' hapa hapa nchini Kenya. Kwasababu kila sampuli inafaa kupimwa mara mbili kwenye maabara mawili tofauti, ili kuwe na uhakika kuhusu uwepo wa virusi vya COVID-19. Kenya ndio ilikuwa nchi ya kwanza ukanda huu kuwa na uwezo huo wa kufanya 'confirmatory tests'. Vipi kuhusu Tz na maabara yenu moja, ambayo inatumiwa hadi na Zanzibar? Alafu hivyo vitanda vya ICU Kenya ni vile ambavyo vipo 'free' kwa sasa, sio idadi ya vitanda vyote. Nilisoma sehemu flani kwamba Tz mna vitanda 53 tu vya ICU.
Punguza dose tafadhali, utaanza kuokota makopo barabarani kimzaha mzaha jombaa. Ukiwa umevalia koti zaidi ya tano tena jua likiwa limewaka saa sita mchana.Hapa ndio wendawazimu wenu unapoanza, mwanzoni mlisema mnazo maabara nyingi, baada ya kujua ni mbili mnasema zinatosha[emoji23][emoji23][emoji23].
Ngoja nikuambie, idadi ya maabara sio muhimu, muhimu ni:
1) Uwezo wa maabara, unaweza kuwa na maabara yenye kupima sample 200 kwa siku, wakati mwengine anayo yenye kupima 1000 kwa siku.
2) Idadi ya sample katika nchi husika, Tanzania, Uganda na Rwanda, tumeamua kutofanya "mass testing", tunapema wale tu ambao ni close contacts na wameanza kuonyesha dalili, lakini njia tunayotumia kubwa ni kufanya "Quarantine" kwa siku 14.
Kuhusu hivyo vitanda vya ICU, Kenya nzima ina vitanda chini ya hivyo 160. Kwasababu baadhi ya hivyo vitanda havifanyi kasi.
Ushauri wangu ni kwamba, badala ya kuendelea kupinga na kujipa moyo, chukueni hizo changamoto.
Nyie vimavi huwa mna-bore aisee! Untill Jeff Koinage has decided to make u foools swallow ur pride!Kwenye hili suala la Corona kazi bado ipo. Ila maabara mawili yanatosha kufanya 'confirmatory tests' hapa hapa nchini Kenya. Kwasababu kila sampuli inafaa kupimwa mara mbili kwenye maabara mawili tofauti, ili kuwe na uhakika kuhusu uwepo wa virusi vya COVID-19. Kenya ndio ilikuwa nchi ya kwanza ukanda huu kuwa na uwezo huo wa kufanya 'confirmatory tests'. Vipi kuhusu Tz na maabara yenu moja, ambayo inatumiwa hadi na Zanzibar? Alafu hivyo vitanda vya ICU Kenya ni vile ambavyo vipo 'free' kwa sasa, sio idadi ya vitanda vyote. Nilisoma sehemu flani kwamba Tz mna vitanda 53 tu vya ICU.
Punguzeni ujinga wa kupenda kujisifia mambo ambayo hamna uwezo nayo, stupid.Punguza dose tafadhali, utaanza kuokota makopo barabarani kimzaha mzaha jombaa. Ukiwa umevalia koti zaidi ya tano tena jua likiwa limewaka saa sita mchana.
Kwenye hili suala la Corona kazi bado ipo. Ila maabara mawili yanatosha kufanya 'confirmatory tests' hapa hapa nchini Kenya. Kwasababu kila sampuli inafaa kupimwa mara mbili kwenye maabara mawili tofauti, ili kuwe na uhakika kuhusu uwepo wa virusi vya COVID-19. Kenya ndio ilikuwa nchi ya kwanza ukanda huu kuwa na uwezo huo wa kufanya 'confirmatory tests'. Vipi kuhusu Tz na maabara yenu moja, ambayo inatumiwa hadi na Zanzibar? Alafu hivyo vitanda vya ICU Kenya ni vile ambavyo vipo 'free' kwa sasa, sio idadi ya vitanda vyote. Nilisoma sehemu flani kwamba Tz mna vitanda 53 tu vya ICU.
Na bado wanajifanya eti watapima nchi nzima hadi Pokot na Turkana. Trump mwenyewe anahaha, sasa tuone hawa nyang'au watafika wapi.
Waswahili husema mwenye maneno mengi, hana nguvu za kupigana. Kenya wamezidi maneno kila wanapizidiwa lazina watafute kisingizio.
Ukweli ni kwamba Kenya wanazo maabara 2 tu zenye uwezo wa kupima Corona zote zipo Nairobi, na vitanda 160 vya ICU nchi nzima, kati ya hivyo vingine havifanyi kazi.
Wakenya punguzenni mdomo na kujisifia sana, Corona inaendelea kuenea kwa kasi, hii tabia yenu ya kupima na kutangaza matokeo bila kuchukua hatua za kupunguza maambukizi, itawaweka pabaya sana.
Huu ugonjwa hakuna nchi inaweza kuficha kwasababu ukificha watu wanakufa kama wadudu, au wagonjwa watajazana katika Hospitali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew chizi hivi huwa mnapata faida gani kuchongoa mdomo nchi za wengine wakati hapa kwetu tanzania Hali Ni tete?
Hivi Nyie huwa mna akili kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Walisema wana ICU beds 518 na hata baada ya kuwahesabia hyo idadi kutoka kwenye data walizotuletea ikawa haijafika hyo 518, ss huwa najiuliza Wakenya wanapopewa data na jubilee huwa hawazikagui kabla ya ku share? Na km wanakagua na wanaona kuwa zina mapungufu kwnn wanakuja kutuamunisha uongo, HIVI UNAPATA FAIDA GANI KUONGOPA?
Waswahili husema mwenye maneno mengi, hana nguvu za kupigana. Kenya wamezidi maneno kila wanapizidiwa lazina watafute kisingizio.
Ukweli ni kwamba Kenya wanazo maabara 2 tu zenye uwezo wa kupima Corona zote zipo Nairobi, na vitanda 160 vya ICU nchi nzima, kati ya hivyo vingine havifanyi kazi.
Wakenya punguzenni mdomo na kujisifia sana, Corona inaendelea kuenea kwa kasi, hii tabia yenu ya kupima na kutangaza matokeo bila kuchukua hatua za kupunguza maambukizi, itawaweka pabaya sana.
Huu ugonjwa hakuna nchi inaweza kuficha kwasababu ukificha watu wanakufa kama wadudu, au wagonjwa watajazana katika Hospitali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walisema wana ICU beds 518 na hata baada ya kuwahesabia hyo idadi kutoka kwenye data walizotuletea ikawa haijafika hyo 518, ss huwa najiuliza Wakenya wanapopewa data na jubilee huwa hawazikagui kabla ya ku share? Na km wanakagua na wanaona kuwa zina mapungufu kwnn wanakuja kutuamunisha uongo, HIVI UNAPATA FAIDA GANI KUONGOPA?
Cc: Nicxie komora096 mmeumbuka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Halafu ukiwaambia ukweli wanakuambia eti unafurahia matatizo yao,Walisema wana ICU beds 518 na hata baada ya kuwahesabia hyo idadi kutoka kwenye data walizotuletea ikawa haijafika hyo 518, ss huwa najiuliza Wakenya wanapopewa data na jubilee huwa hawazikagui kabla ya ku share? Na km wanakagua na wanaona kuwa zina mapungufu kwnn wanakuja kutuamunisha uongo, HIVI UNAPATA FAIDA GANI KUONGOPA?
Cc: Nicxie komora096 mmeumbuka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]