Kenya ina maabara 2 tu za kupima Corona, vitanda 160 vya ICU, Kaunti 22 hazina ICU kabisa

Kenya ina maabara 2 tu za kupima Corona, vitanda 160 vya ICU, Kaunti 22 hazina ICU kabisa




Waswahili husema mwenye maneno mengi, hana nguvu za kupigana. Kenya wamezidi maneno kila wanapizidiwa lazina watafute kisingizio.

Ukweli ni kwamba Kenya wanazo maabara 2 tu zenye uwezo wa kupima Corona zote zipo Nairobi, na vitanda 160 vya ICU nchi nzima, kati ya hivyo vingine havifanyi kazi.

Wakenya punguzenni mdomo na kujisifia sana, Corona inaendelea kuenea kwa kasi, hii tabia yenu ya kupima na kutangaza matokeo bila kuchukua hatua za kupunguza maambukizi, itawaweka pabaya sana.

Huu ugonjwa hakuna nchi inaweza kuficha kwasababu ukificha watu wanakufa kama wadudu, au wagonjwa watajazana katika Hospitali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ohh sisi tuna ICU 350 imeisha sasa😂😂😂
 
Walisema wana ICU beds 518 na hata baada ya kuwahesabia hyo idadi kutoka kwenye data walizotuletea ikawa haijafika hyo 518, ss huwa najiuliza Wakenya wanapopewa data na jubilee huwa hawazikagui kabla ya ku share? Na km wanakagua na wanaona kuwa zina mapungufu kwnn wanakuja kutuamunisha uongo, HIVI UNAPATA FAIDA GANI KUONGOPA?
Cc: Nicxie komora096 mmeumbuka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hamutawaona kwa kipindi cha siku tatu😂😂😂
 



Waswahili husema mwenye maneno mengi, hana nguvu za kupigana. Kenya wamezidi maneno kila wanapizidiwa lazina watafute kisingizio.

Ukweli ni kwamba Kenya wanazo maabara 2 tu zenye uwezo wa kupima Corona zote zipo Nairobi, na vitanda 160 vya ICU nchi nzima, kati ya hivyo vingine havifanyi kazi.

Wakenya punguzenni mdomo na kujisifia sana, Corona inaendelea kuenea kwa kasi, hii tabia yenu ya kupima na kutangaza matokeo bila kuchukua hatua za kupunguza maambukizi, itawaweka pabaya sana.

Huu ugonjwa hakuna nchi inaweza kuficha kwasababu ukificha watu wanakufa kama wadudu, au wagonjwa watajazana katika Hospitali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kati ya 162 ICU beds kuna zingine hazifanyi kazi mbovu 😂😂😂 ohh sisi tuna ICU 350 mamaeee Nicxie komora096
 
Halafu ukiwaambia ukweli wanakuambia eti unafurahia matatizo yao,
Kila siku tunawaambia humu wapunguze uwongo na sifa za kijinga hawasikii... Wanadhani sijui wapo nairaland humu.
Hyo ni data ya kutoka kw public hospitals...
Hii data imechanganya hospitali zote...
Piga hesabu vizuri na ujue katika hyo ya pili hakuna nairobi county...

Unafikiria hapa tumeingia bure
Top 10 Countries with Improved Healthcare System in Africa 2020 | The African Exponent.
bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20200331-235545_Drive.jpeg
Screenshot_20200402-115347_Opera%20Mini.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo ni data ya kutoka kw public hospitals...
Hii data imechanganya hospitali zote...
Piga hesabu vizuri na ujue katika hyo ya pili hakuna nairobi county...

Unafikiria hapa tumeingia bure
Top 10 Countries with Improved Healthcare System in Africa 2020 | The African Exponent.
bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 1406567View attachment 1406569

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na katibu wenu mkuu wa Wizara, nani mwenye jukumu na mwenyekujua ukweli?, tuache kumsikiliza mtendaji mkuu wa serikali badala yake tuamini vikaratasi ambavyo walioviandika hawajulikani.

Huyo anayezungumza ndiye mwenye sauti ya mwisho yanayohusu uwezo wa nchi yote ya Kenya katika mambo ya Afya, private + Government. Hahahaha,hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe na katibu wenu mkuu wa Wizara, nani mwenye jukumu na mwenyekujua ukweli?, tuache kumsikiliza mtendaji mkuu wa serikali badala yake tuamini vikaratasi ambavyo walioviandika hawajulikani.

Huyo anayezungumza ndiye mwenye sauti ya mwisho yanayohusu uwezo wa nchi yote ya Kenya katika mambo ya Afya, private + Government. Hahahaha,hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado huamini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Piga hesabu katika hospitali za serikali pekeake halafu urudi
Screenshot_20200331-235545_Drive.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuletee za kwenu, mdomo mwingi na wakati tangu juzi unawashwa tu na hujaleta chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza lazima mkubali kwamba huwa mnapenda sana kudanganya kuhusu uwezo wenu, ninyi hamna lolote ni watu wa kupenda sifa za kijinga.

Sisi hatujawahi kujisifia kuhusu idadi ya ICU, au idadi ya maabara, kwahiyo haina maana yoyote kutaka kujua idadi yake, tunawacheka kwasababu mnadanganya ili muonekane mpo juu wakati hamna lolote.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo ni data ya kutoka kw public hospitals...
Hii data imechanganya hospitali zote...
Piga hesabu vizuri na ujue katika hyo ya pili hakuna nairobi county...

Unafikiria hapa tumeingia bure
Top 10 Countries with Improved Healthcare System in Africa 2020 | The African Exponent.
bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 1406567View attachment 1406569

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww komora don't be lazy, just do ur arithmetic properly and u can't find those 518 ICU beds kwny hyo data I tell you.
 
KWa hiyo kuwa na idadi kubwa ya vitanda vya icu na maabara au kuwa na uhaba wa vyote viwili ni sifa???? Kwenye janga hili

Kwa nini mnabishania vitu nonsense, huko Italia watu wamekufa kama kuku kideri kwa sababu ya upungufu wa mashine za kupumulia, marekani ina safa kwa kukosa tu vitu vya kuvaa manesi na madaktari kujikinga sembuse maabara

Mabishano mengine hayana mchango wowote kipindi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza lazima mkubali kwamba huwa mnapenda sana kudanganya kuhusu uwezo wenu, ninyi hamna lolote ni watu wa kupenda sifa za kijinga.

Sisi hatujawahi kujisifia kuhusu idadi ya ICU, au idadi ya maabara, kwahiyo haina maana yoyote kutaka kujua idadi yake, tunawacheka kwasababu mnadanganya ili muonekane mpo juu wakati hamna lolote.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehee!!ukwel mchungu jamani
Hesabu hospitali za serekali pekeake halafu uone utakacho kutana nacho..nimekuletea in full ndio uelewe vizuri...halafu zile county zako 22 ziko hapo hapo kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unafikiria tuliingia bure hapa
Top 10 Countries with Improved Healthcare System in Africa 2020 | The African Exponent.
Screenshot_20200402-121902_Drive.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWa hiyo kuwa na idadi kubwa ya vitanda vya icu na maabara au kuwa na uhaba wa vyote viwili ni sifa???? Kwenye janga hili

Kwa nini mnabishania vitu nonsense, huko Italia watu wamekuwa kama kuku kideri kwa sababu ya upungufu wa mashine za kupumulia, marekani ina safa kwa kukosa tu vitu vya kuvaa manesi na madaktari kujikinga sembuse maabara

Mabishano mengine hayana mchango wowote kipindi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua sio kubishana ni kurejebishana walikuja na data za uongo kwa ajili ya sifa za kipuuzi sasa tuna warekebisha wajue bado wako nyuma miaka 100
 
KWa hiyo kuwa na idadi kubwa ya vitanda vya icu na maabara au kuwa na uhaba wa vyote viwili ni sifa???? Kwenye janga hili

Kwa nini mnabishania vitu nonsense, huko Italia watu wamekufa kama kuku kideri kwa sababu ya upungufu wa mashine za kupumulia, marekani ina safa kwa kukosa tu vitu vya kuvaa manesi na madaktari kujikinga sembuse maabara

Mabishano mengine hayana mchango wowote kipindi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujadili maradhi hapa...usitutie maneno vinywani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom