Kenya ina uwezo kuitetemesha Tanzania na ikatetemeka?

Kenya ina uwezo kuitetemesha Tanzania na ikatetemeka?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Mpaka Bungeni kwetu hata hapa JF Watanzania wanalia kwamba Kenya inahusika na kuingilia mambo yao ya ndani, hilo linasema nini kuhusu nchi ya Kenya kwetu ? Tuseme labda ni kweli Kenya inaingilia mambo ya Tanzania, hii maana yake ni kwamba Kenya ni mkubwa wa Tanzania kwani Tanzania haina uwezo wa kuingilia mambo ya Kenya hata kama Tanzania ikiamua kufanya hivyo hakuna Mkenya atakosa usingizi au hata tu kujua kwamba Tanzania inawaingilia.

Lakini Tanzania mpaka wanajdili Bungeni, hivyo hilo peke yake linaonyesha kwamba Kenya ni Mkubwa kwa Tanzania na hata nyuzi za kujadili Kenya vs TZ hapa JF zifutwe kwani mshindi anajulikana tayari.

Binafsi najisikia aibu sana kudharaulishwa kiasi hiki, nilikuwa naona sisi Tanzania ni powerful lkn tunalia lia kuonewa na Kenya, imeniskitisha sana kwa kweli, sisi ni watu dhaifu mno.

Bungeni kwetu huko sasa hivi wanalia kuonewa na Kenya, go figure!
 
Acha kufananisha Kenya na vitu vya kijinga , Mama Dagama alienda kule , takwimu zinasema kuna kampuni Zaid ya 500 kutoka Kenya zimewekeza tz , Ila watz only 50 company , jamaa wapo 200 miles ahead
 
Msimtafute mchawi wenu mbali, yupo humo humo, ndani ya nchi yenu. Utamaduni wenu huu wa kutafuta vijisababu, kuliallia, kuilimbikizia lawama na kuitaja taja nchi ya Kenya huwa ni wa kimakusudi na wa kimikakati. Sio kwamba huwa ni kwa bahati mbaya. Wala sio kwamba Kenya ndio huwa inawakwaza na kuwahujumu.

Viongozi wenu tangu jadi wana mazoea ya kufukia vichwa vyao mchangani, mithili ya mbuni. Nia yao ikiwa ni kujitia hamnazo tu, kuhusu mapungufu yao. Ikifika ni kwenye kutekeleza wajibu wao na kuwa na 'vision' inayoeleweka, kwa faida ya wananchi wa Tanzania.

Kenya ya enzi hizi haina hata huo muda wa kuwaza kuhusu Tanzania, achia mbali kupanga mikakati ya kuihujumu. Tunao majirani wengine, ambao tuna uhasama wa kweli dhidi yao. Kwa mfano ingekuwa ni nchi ya Somalia ndio inalalamika, asilimia kubwa ya wakenya wangekiri wazi. Kwamba serikali yetu inahusika kweli, kwenye uovu wa sampuli zote, ikinuia kuwahujumu.

Utasikia baadhi ya watanzania, wakiimba ile chorus yao pendwa, kuhusu sijui ujasusi wa kibiashara. Wakati nchini Kenya serikali huwa haihusiki kabisa kwenye biashara. Wakenya wenyewe kupitia sekta binafsi ndio huwa wanahusika. Tena bila usaidizi wowote kutoka kwa GOK, infact wanabiashara nchini kenya huwa inabidi wapambane kwa nguvu zao zote. Ili kuhakikisha kwamba serikali haiwadhulumu, kupitia sera na sheria zao kandamizi.
 
Mpaka Bungeni kwetu hata hapa JF Watanzania wanalia kwamba Kenya inahusika na kuingilia mambo yao ya ndani, hilo linasema nini kuhusu nchi ya Kenya kwetu ? Tuseme labda ni kweli Kenya inaingilia mambo ya Tanzania, hii maana yake ni kwamba Kenya ni mkubwa wa Tanzania kwani Tanzania haina uwezo wa kuingilia mambo ya Kenya hata kama Tanzania ikiamua kufanya hivyo hakuna Mkenya atakosa usingizi au hata tu kujua kwamba Tanzania inawaingilia.

Lakini Tanzania mpaka wanajdili Bungeni, hivyo hilo peke yake linaonyesha kwamba Kenya ni Mkubwa kwa Tanzania na hata nyuzi za kujadili Kenya vs TZ hapa JF zifutwe kwani mshindi anajulikana tayari.

Binafsi najisikia aibu sana kudharaulishwa kiasi hiki, nilikuwa naona sisi Tanzania ni powerful lkn tunalia lia kuonewa na Kenya, imeniskitisha sana kwa kweli, sisi ni watu dhaifu mno.

Bungeni kwetu huko sasa hivi wanalia kuonewa na Kenya, go figure!
Weka video ya wabunge wakilalamika tuone.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Mpaka Bungeni kwetu hata hapa JF Watanzania wanalia kwamba Kenya inahusika na kuingilia mambo yao ya ndani, hilo linasema nini kuhusu nchi ya Kenya kwetu ? Tuseme labda ni kweli Kenya inaingilia mambo ya Tanzania, hii maana yake ni kwamba Kenya ni mkubwa wa Tanzania kwani Tanzania haina uwezo wa kuingilia mambo ya Kenya hata kama Tanzania ikiamua kufanya hivyo hakuna Mkenya atakosa usingizi au hata tu kujua kwamba Tanzania inawaingilia.

Lakini Tanzania mpaka wanajdili Bungeni, hivyo hilo peke yake linaonyesha kwamba Kenya ni Mkubwa kwa Tanzania na hata nyuzi za kujadili Kenya vs TZ hapa JF zifutwe kwani mshindi anajulikana tayari.

Binafsi najisikia aibu sana kudharaulishwa kiasi hiki, nilikuwa naona sisi Tanzania ni powerful lkn tunalia lia kuonewa na Kenya, imeniskitisha sana kwa kweli, sisi ni watu dhaifu mno.

Bungeni kwetu huko sasa hivi wanalia kuonewa na Kenya, go figure!

Hakuna kitu kama hicho, Tanzania 🇹🇿 ilipochukua hatua kuhusu wamasai,kule Loliondo,walionza kulialia ni wakenya kwamba wanaonewa kwa kupigwa risasi. Na kama Kenya ingekuwa na uwezo huo,ingetuma wanajeshi kulinda raia wao wanaopigwa risasi. Wakenya wanaiogola Tanzania 🇹🇿 Sana,tukumbuke Mambo machache hapa.
1. Jaguar alipotoa matamshi kuhusu watanzania, serikali ya Kenya ilimpeleka mahakani kwa kuogopa kisasi cha Tanzania.
2. Kenya ilipo exclude watanzania wakati ule wa Corona, Tanzania 🇹🇿 iliifungia ndege za Kenya na kufungwa mpaka,Kenya ikaipigia magoti Tanzania 🇹🇿
3. Wakati wa uchaguzi Kenya ililia kwamba Tanzania 🇹🇿 inaingilia uchaguzi wake,hiyo ni uoga wa kuhisi kwamba Tanzania 🇹🇿 inawawekea Kenya viongozi ma "puppets".
4. Kenya imewahi kuunda kundi la the "c.o.w" kwa kuitetemekea Tanzania 🇹🇿 kwamba itawazidi kwenye ule mpango Pipeline Ya Hoima-Tanga,kitu ambacho Tanzania 🇹🇿 imeonesha kuipiku Kenya
waziwazii na mpaka sasa hivi wanaumia Sana.
Kenya ndio inaiogopa Tanzania 🇹🇿.
Na hata jambo likitokea Tanzania linajadiliwa kwenye Twitter na wakenya. Kitu ambacho huwezi kukuta Mtanzania akihangaika na Kenya,likitokea jambo kubwa,au dogo huko Kenya.
 
UN pia imeingilia kati
hata wakiingilia Nani,ni hivi, wamasai waliokuwa wanaishi Loliondo wengi ni wakenya na walipoleta upuuzi,tumewapiga risasi na hamna cha kutufanya na hamna uwezo wakuwafanya chochote watanzania wanaoishi hapo Kenya illegally.
Mtaishia kulialia tu na vi NGO uchwara.
 
Mpaka Bungeni kwetu hata hapa JF Watanzania wanalia kwamba Kenya inahusika na kuingilia mambo yao ya ndani, hilo linasema nini kuhusu nchi ya Kenya kwetu ? Tuseme labda ni kweli Kenya inaingilia mambo ya Tanzania, hii maana yake ni kwamba Kenya ni mkubwa wa Tanzania kwani Tanzania haina uwezo wa kuingilia mambo ya Kenya hata kama Tanzania ikiamua kufanya hivyo hakuna Mkenya atakosa usingizi au hata tu kujua kwamba Tanzania inawaingilia.

Lakini Tanzania mpaka wanajdili Bungeni, hivyo hilo peke yake linaonyesha kwamba Kenya ni Mkubwa kwa Tanzania na hata nyuzi za kujadili Kenya vs TZ hapa JF zifutwe kwani mshindi anajulikana tayari.

Binafsi najisikia aibu sana kudharaulishwa kiasi hiki, nilikuwa naona sisi Tanzania ni powerful lkn tunalia lia kuonewa na Kenya, imeniskitisha sana kwa kweli, sisi ni watu dhaifu mno.

Bungeni kwetu huko sasa hivi wanalia kuonewa na Kenya, go figure!
Bungeni lini wameongelea kuhusu Kenya na loliondo.
 
Mpaka Bungeni kwetu hata hapa JF Watanzania wanalia kwamba Kenya inahusika na kuingilia mambo yao ya ndani, hilo linasema nini kuhusu nchi ya Kenya kwetu ? Tuseme labda ni kweli Kenya inaingilia mambo ya Tanzania, hii maana yake ni kwamba Kenya ni mkubwa wa Tanzania kwani Tanzania haina uwezo wa kuingilia mambo ya Kenya hata kama Tanzania ikiamua kufanya hivyo hakuna Mkenya atakosa usingizi au hata tu kujua kwamba Tanzania inawaingilia.

Lakini Tanzania mpaka wanajdili Bungeni, hivyo hilo peke yake linaonyesha kwamba Kenya ni Mkubwa kwa Tanzania na hata nyuzi za kujadili Kenya vs TZ hapa JF zifutwe kwani mshindi anajulikana tayari.

Binafsi najisikia aibu sana kudharaulishwa kiasi hiki, nilikuwa naona sisi Tanzania ni powerful lkn tunalia lia kuonewa na Kenya, imeniskitisha sana kwa kweli, sisi ni watu dhaifu mno.

Bungeni kwetu huko sasa hivi wanalia kuonewa na Kenya, go figure!

Wewe hukuona wabunge wao walivyoanza kulia kuhusu kuwahamisha wamasai???
 
Msimtafute mchawi wenu mbali, yupo humo humo, ndani ya nchi yenu. Utamaduni wenu huu wa kutafuta vijisababu, kuliallia, kuilimbikizia lawama na kuitaja taja nchi ya Kenya huwa ni wa kimakusudi na wa kimikakati. Sio kwamba huwa ni kwa bahati mbaya. Wala sio kwamba Kenya ndio huwa inawakwaza na kuwahujumu.

Viongozi wenu tangu jadi wana mazoea ya kufukia vichwa vyao mchangani, mithili ya mbuni. Nia yao ikiwa ni kujitia hamnazo tu, kuhusu mapungufu yao. Ikifika ni kwenye kutekeleza wajibu wao na kuwa na 'vision' inayoeleweka, kwa faida ya wananchi wa Tanzania.

Kenya ya enzi hizi haina hata huo muda wa kuwaza kuhusu Tanzania, achia mbali kupanga mikakati ya kuihujumu. Tunao majirani wengine, ambao tuna uhasama wa kweli dhidi yao. Kwa mfano ingekuwa ni nchi ya Somalia ndio inalalamika, asilimia kubwa ya wakenya wangekiri wazi. Kwamba serikali yetu inahusika kweli, kwenye uovu wa sampuli zote, ikinuia kuwahujumu.

Utasikia baadhi ya watanzania, wakiimba ile chorus yao pendwa, kuhusu sijui ujasusi wa kibiashara. Wakati nchini Kenya serikali huwa haihusiki kabisa kwenye biashara. Wakenya wenyewe kupitia sekta binafsi ndio huwa wanahusika. Tena bila usaidizi wowote kutoka kwa GOK, infact wakenya wenyewe huwa inabidi wapambane kwa nguvu zao zote. Ili kuhakikisha kwamba serikali haiwadhulumu, kupitia sera na sheria zao kandamizi.
Hivi ninyi upumbavu wenu unewazidi hata busara hamna?, Ina maana huyo Senator Ledama na huyo Gavana wa Narok walitosema kuhusu huo mgogoro wa Ngorongorio na kufikia hatua ya kwenda ICJ kuishitaki Tanzania sio kuingilia Mambo ya Tanzania?, Punguzeni upumbavu katika kufikiria.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka Bungeni kwetu hata hapa JF Watanzania wanalia kwamba Kenya inahusika na kuingilia mambo yao ya ndani, hilo linasema nini kuhusu nchi ya Kenya kwetu ? Tuseme labda ni kweli Kenya inaingilia mambo ya Tanzania, hii maana yake ni kwamba Kenya ni mkubwa wa Tanzania kwani Tanzania haina uwezo wa kuingilia mambo ya Kenya hata kama Tanzania ikiamua kufanya hivyo hakuna Mkenya atakosa usingizi au hata tu kujua kwamba Tanzania inawaingilia.

Lakini Tanzania mpaka wanajdili Bungeni, hivyo hilo peke yake linaonyesha kwamba Kenya ni Mkubwa kwa Tanzania na hata nyuzi za kujadili Kenya vs TZ hapa JF zifutwe kwani mshindi anajulikana tayari.

Binafsi najisikia aibu sana kudharaulishwa kiasi hiki, nilikuwa naona sisi Tanzania ni powerful lkn tunalia lia kuonewa na Kenya, imeniskitisha sana kwa kweli, sisi ni watu dhaifu mno.

Bungeni kwetu huko sasa hivi wanalia kuonewa na Kenya, go figure!
Ulitaka Tanzania ifanyeje pale inapochokonolewa na jirani mpumbavu Kama Kenya ili ujue kwamba Tanzania sio dhahifu?, Ulitaka tupeleke majeshi kuivamia Kenya?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe hukuona wabunge wao walivyoanza kulia kuhusu kuwahamisha wamasai???
Huyu jamaa Kijajazi inaonekana akili yake ni ndogo Sana, amesahau bunge la Kenya lilivyolia baada ya Magufuli kuchoma vifaranga na kutaifisha Ng'ombe za wamasai wa Kenya na kuzipiga mnada, kwanini asiseme kwamba Kenya inalialia na kuiogopa Tanzania?.

Aliona jinsi ambavyo Jaguar alivyobebwa juu juu na polisi wa Kenya na balozi wa Kenya nchi Tanzania alivyo hangaika kuomba msamaha kufuatia kauli ya Jaguar baada ya bunge la Tanzania kuja juu, mbona hakusema kwamba Kenya inaiogopa Tanzania?.

Sasa yeye alitaka kifanyike nini, tufunge mipaka au tupeleke jeshi?.
Kijakazi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa Kijajazi inaonekana akili yake ni ndogo Sana, amesahau bunge la Kenya lilivyolia baada ya Magufuli kuchoma vifaranga na kutaifisha Ng'ombe za wamasai wa Kenya na kuzipiga mnada, kwanini asiseme kwamba Kenya inalialia na kuiogopa Tanzania?.

Aliona jinsi ambavyo Jaguar alivyobebwa juu juu na polisi wa Kenya na balozi wa Kenya nchi Tanzania alivyo hangaika kuomba msamaha kufuatia kauli ya Jaguar baada ya bunge la Tanzania kuja juu, mbona hakusema kwamba Kenya inaiogopa Tanzania?.

Sasa yeye alitaka kifanyike nini, tufunge mipaka au tupeleke jeshi?.
Kijakazi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Amesahau juzi mbunge wao alivyoanza kulia lia bungeni, na mwingine nje ya bunge.
Pia amesahau vile CitizenTV walivyoomba msamaha Mh. JPM mara SABA kwa kuongea ujinga kumhusu kwenye kituo chao.
 
Mpaka Bungeni kwetu hata hapa JF Watanzania wanalia kwamba Kenya inahusika na kuingilia mambo yao ya ndani, hilo linasema nini kuhusu nchi ya Kenya kwetu ? Tuseme labda ni kweli Kenya inaingilia mambo ya Tanzania, hii maana yake ni kwamba Kenya ni mkubwa wa Tanzania kwani Tanzania haina uwezo wa kuingilia mambo ya Kenya hata kama Tanzania ikiamua kufanya hivyo hakuna Mkenya atakosa usingizi au hata tu kujua kwamba Tanzania inawaingilia.

Lakini Tanzania mpaka wanajdili Bungeni, hivyo hilo peke yake linaonyesha kwamba Kenya ni Mkubwa kwa Tanzania na hata nyuzi za kujadili Kenya vs TZ hapa JF zifutwe kwani mshindi anajulikana tayari.

Binafsi najisikia aibu sana kudharaulishwa kiasi hiki, nilikuwa naona sisi Tanzania ni powerful lkn tunalia lia kuonewa na Kenya, imeniskitisha sana kwa kweli, sisi ni watu dhaifu mno.

Bungeni kwetu huko sasa hivi wanalia kuonewa na Kenya, go figure!
never, and vise versa is true. cha muhimu ni kuishi kama majirani na kusaidiana. ukiona umejenga nyumba, jambazi kaja na jirani hajaja kukusaidia, na wewe akije kwake unatakiwa umsaidie na njia ya kukimbilia baada ya kuiba. ndio maana unaweza kuchagua rafiki lakini huwezi kuchagua jirani in a real life.
 
Back
Top Bottom