Sisi tumewapiga risasi wananchi wenu,mbona nyinyi hamjafanya retaliation? Tunawajua nyinyi ni waoga,na hata baada ya hapo,tumewahamisha wananchi wetu kwenda Handeni. Mbona mlilialia? Na bado mnalialia? Sisi hatuna mda na huo ujinga.Halafu kikubwa unakuta Kenya asilimia chache tuna habari ya haya mambo huku nchi yote ya Tanzania ikilialia na kulalamika na kubweka kuhusu Kenya........huchekesha sana hawa jamaa.
ngoja tuone kama masai wa kikenya nao watahamia handeni. Tanzania akili kubwa sana aisee,,kumbe dawa ilikuwa ni hiyo tu. kwisha habari yake.Sisi tumewapiga risasi wananchi wenu,mbona nyinyi hamjafanya retaliation? Tunawajua nyinyi ni waoga,na hata baada ya hapo,tumewahamisha wananchi wetu kwenda Handeni. Mbona mlilialia? Na bado mnalialia? Sisi hatuna mda na huo ujinga.
Hahaha,kweli chungu,tulichoma vifaranga vyao,wakalilia bila kufanya lolote,tukakamata ng'ombe wao,wakalilia bila kufanya lolote,tumepiga raia wao risasi(hii haivumiliki) lakini wameishia kulialia π€£π€£ alafu hakuna retaliation! ,Yaani hawa jamaa Hadi. Tunawashangaa walivyo waogaπ€£π€£dah! Hata uchaguzi unakumbuka tuliwatikisa kilio juuπ€£π€£π€£ππ hovyo Sana.Huyu jamaa Kijajazi inaonekana akili yake ni ndogo Sana, amesahau bunge la Kenya lilivyolia baada ya Magufuli kuchoma vifaranga na kutaifisha Ng'ombe za wamasai wa Kenya na kuzipiga mnada, kwanini asiseme kwamba Kenya inalialia na kuiogopa Tanzania?.
Aliona jinsi ambavyo Jaguar alivyobebwa juu juu na polisi wa Kenya na balozi wa Kenya nchi Tanzania alivyo hangaika kuomba msamaha kufuatia kauli ya Jaguar baada ya bunge la Tanzania kuja juu, mbona hakusema kwamba Kenya inaiogopa Tanzania?.
Sasa yeye alitaka kifanyike nini, tufunge mipaka au tupeleke jeshi?.
Kijakazi
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Chukueni raia wenu tutawamaliza kwa risasi, wamasai wa Tanzania hawa hapa wameondokaWakenya hawapigani kwa kifua ,wanapigana vismart ...wanajua kuchezea mchezo....Ona venye EACOP ilivyo fanywa,sasa ona venye story za maasai sai wamefanya hadi UN wakaingilia hili jambo..Mulijaribu kuficha lakini hao wakafichua...
wabunge wamesema nchi jirani wanaleta chokochoko tanzania hawakusema km ni kenya,uganda au rwanda.Kwahiyo acha upopoma kusema TZ tunaingiliwa na Kenya unatakiwa kusema tunachokozwa sio kuingiliwaMpaka Bungeni kwetu hata hapa JF Watanzania wanalia kwamba Kenya inahusika na kuingilia mambo yao ya ndani, hilo linasema nini kuhusu nchi ya Kenya kwetu ? Tuseme labda ni kweli Kenya inaingilia mambo ya Tanzania, hii maana yake ni kwamba Kenya ni mkubwa wa Tanzania kwani Tanzania haina uwezo wa kuingilia mambo ya Kenya hata kama Tanzania ikiamua kufanya hivyo hakuna Mkenya atakosa usingizi au hata tu kujua kwamba Tanzania inawaingilia.
Lakini Tanzania mpaka wanajdili Bungeni, hivyo hilo peke yake linaonyesha kwamba Kenya ni Mkubwa kwa Tanzania na hata nyuzi za kujadili Kenya vs TZ hapa JF zifutwe kwani mshindi anajulikana tayari.
Binafsi najisikia aibu sana kudharaulishwa kiasi hiki, nilikuwa naona sisi Tanzania ni powerful lkn tunalia lia kuonewa na Kenya, imeniskitisha sana kwa kweli, sisi ni watu dhaifu mno.
Bungeni kwetu huko sasa hivi wanalia kuonewa na Kenya, go figure!
Acha kufananisha Kenya na vitu vya kijinga , Mama Dagama alienda kule , takwimu zinasema kuna kampuni Zaid ya 500 kutoka Kenya zimewekeza tz , Ila watz only 50 company , jamaa wapo 200 miles ahead
Anyway...tuachane na hzo bla blah ulizosema , unaweza tueleza tuu Jambo moja ambalo tz inaizidi Kenya katika suala la uchumi.ninyi mnachekesha sana,kwa ukubwa gani hiyo Kenya ilokua nayo ilhali ni nchi inayoshindwa ht kujilisha yenyewe inapewa misaada ya chakula na WFP. Hata hayo makampuni walokuja kuwekeza kwetu si ya thamani kubwa km usemavyo na pia mengi sio wakenya halisia,jiulize ww uwnde ukaekeze Kenya utawekeza nini ilhali ht hzo ardhi za uwekezaji hakuna wameshilikia kina uhuruto
hata ukitaka maendeleo kiujumla tutajadili,kiuchumi tulipowazidi Kenya ni ktk utalii kwa mwaka tunaingiza pesa nyingi za utalii kuliko wao,kama nimekosea mtanirekebisha,pili katika sekta ya usafirishaji hususan usafirishaji wa majini,wa nchi kavu na wa reli,fuatilia TRC vizuri.Na electric SGR ikikamilika usafirishaji watu na mizigo kuelekea pembe za nchi na maeneo mengine ya Afrika mashariki km Uganda na Rwanda yataongezeka licha ya kuwa Uganda kwasasa route ya TRC metregauge imefufuliwa na tunawabebea mizigo.Ukija ktk maendeleo ya kijamii usihadaike na hayo maghorofaa yanaomilikiwa na mabepari,nitarudi.Anyway...tuachane na hzo bla blah ulizosema , unaweza tueleza tuu Jambo moja ambalo tz inaizidi Kenya katika suala la uchumi.
1)Tanzania inajitoshekeza kwa chakula na ziada inauzia nchi za jirani ikiwemo Kenya.Anyway...tuachane na hzo bla blah ulizosema , unaweza tueleza tuu Jambo moja ambalo tz inaizidi Kenya katika suala la uchumi.
Sisi tumewapiga risasi wananchi wenu,mbona nyinyi hamjafanya retaliation? Tunawajua nyinyi ni waoga,na hata baada ya hapo,tumewahamisha wananchi wetu kwenda Handeni. Mbona mlilialia? Na bado mnalialia? Sisi hatuna mda na huo ujinga.
πππ Huyo senator wa Narok aliokuwa analilia ni media? Au NGO uchwara ni media online? Vp kuhusu Masai fake wa Nairobi waliokuwa wanalialia? Njooni tena,risasi inawahusu mpumbav na hamfanyi lolote.Tufanye retaliation kisa mnaua watu kwenu, umeskia wapi tukilia au yeyote akijadili mnachokifanya huko, wengi tunasoma tu kwenye online jinsi mwarabu amenunua ardhi huko hivyo imebidi muondoshe hao wamaasai na kuwapeleka pwani.
πππ Huyo senator wa Narok aliokuwa analilia ni media? Au NGO uchwara ni media online? Vp kuhusu Masai fake wa Nairobi waliokuwa wanalialia? Njooni tena,risasi inawahusu mpumbav na hamfanyi lolote.
kwa lipi?Majirani hawatuwezi...
Kwa kila kitu...kwa lipi?
Jombaa, wanabweka bweka kisa Kenya, hadi sauti zao zimeanza kupotea. π Alafu nikiwaeleza kwamba wakenya wapo busy na masuala yao. Kwamba hawana huo muda wa kuifatilia Tanzania, wanaishia kutupia tweets humu za kujiliwaza.Halafu kikubwa unakuta Kenya asilimia chache tuna habari ya haya mambo huku nchi yote ya Tanzania ikilialia na kulalamika na kubweka kuhusu Kenya........huchekesha sana hawa jamaa.
Kimeumana buda, imebakia tu waturoge hawa majirani. Wabunge wao wamelia lia sana, hadi mmoja wao akapiga 'somersault' za hasira bungeni kisa Kenya. πππWeka video ya wabunge wakilalamika tuone.