Kenya inaanza kutoa msaada kwa Mozambique baada ya watu 300,000 kuyahama makazi yako kufuatia mashambulio ya kigaidi

Kenya inaanza kutoa msaada kwa Mozambique baada ya watu 300,000 kuyahama makazi yako kufuatia mashambulio ya kigaidi

IAfrika

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2014
Posts
280
Reaction score
222
Kenya imetoa msaada wa vyakula na madawa kwa zaidi ya watu 300,000 Mozambique waliofurushwa kutokana na vita vya kigaidi vya kundi la Ansar al-Sunna.



Anyway kila mtu akichangia watapata usaidizi kwenye janga hili
 
Hivi huko Kenya sheria za "blood donation" zikoje, yaani hata mgonjwa mwenye kusubiri kuwekewa damu anaruhusiwa kuchangia damu " in case of Emergency?"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kutoa ni moyo sio utajiri. Marekani wanatoa msaada kwa watu wa nchi duniani lakini wako na maskini fukara wanao ishi kwa barabara mitaani yani homeless people.
 
Na kama vipi KDF watie kambi huko, ndio majukumu ya ukubwa au kama ba mkubwa kwenye jamii, hawa magaidi wafuatwe wakiwa bado wanachipuka, isisubiriwe hadi wamekua jeshi kamili maana watazingua, halafu hawa nawaona wana kautofauti fulani ukilinganisha na Mashababi, hawa wanachoma vijiji, jameni hawaeleweki issue yao nini.

Mashababi huwa hawavamii vijiji vyenye wakaazi wake asilimia kubwa waislamu, lakini hawa wanatia kiberiti kila chochote chenye uhai.....wapigwe sana.
 
Kutoa ni moyo sio utajiri. Marekani wanatoa msaada kwa watu wa nchi duniani lakini wako na maskini fukara wanao ishi kwa barabara mitaani yani homeless people.
Sio kweli kaka, marekani wanacho cha ziada ndio sababu wanatoa, hao homeless wengi ni kutokana na mgawanyo mbaya wa rasilimali na matatizo ya kijamii kama vile madawa ya kulevya, magonjwa ya akili na matatizo ya madeni

Ila uchumi wa Marekani unatosha kabisa kuhakikisha kila raia anaishi vizuri kama hayo matatizo yangerekebishwa, ulishasikia hata siku moja Marekani wanapewa msaada toka nchi yoyote kama sio siku za majanga kama kimbunga?.

Kenya uchumi umekufa kabisa, kila kitu ni mpaka kuomba misaada au mikopo, hata Chakula pia lazima wanaomba misaada, hivi hizo nchi zinazojiandaa kuwapa Kenya misaada ya chakula watajisikiaje wakisikia Kenya imetoa misaada ya chakula kwa Msumbiji?.

Kenya hawatumii akili kabisa, wangetoa vitu vingine ambavyo Kenya inazalisha kwa wingi, kama nguo, magodoro, blanckets, dawa na hata vifaa vya kilimo, Chakula wangeacha Tanzania ipeleke.


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Na kama vipi KDF watie kambi huko, ndio majukumu ya ukubwa au kama ba mkubwa kwenye jamii, hawa magaidi wafuatwe wakiwa bado wanachipuka, isisubiriwe hadi wamekua jeshi kamili maana watazingua, halafu hawa nawaona wana kautofauti fulani ukilinganisha na Mashababi, hawa wanachoma vijiji, jameni hawaeleweki issue yao nini.

Mashababi huwa hawavamii vijiji vyenye wakaazi wake asilimia kubwa waislamu, lakini hawa wanatia kiberiti kila chochote chenye uhai.....wapigwe sana.
Ilichukua miezi 6 tangu Iddi Amin alipovamia Tanzania na kuikalia ardhi yetu. Kabla risasi ya kwanza toka Tanzania kusikika kama ishara ya kuanza vita rasmi

Hatukurupuki, huwa tunachukua muda mrefu katika "Planning and Assessment", ila tukianza hatushindwi kitu, subiri utaona tofauti ya Kenya na Tanzania.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
La wa mozambique wana roho mbaya wale jamaa aisee yaan roho zao sawa kabisaa nanyale majitu ya sauz yanayo chukia wageni ktk nchi yao
 
Trend ya #Pesakidogo.... unaanza... imetolewa😟 kwa kichwa cha mada
pesa.jpg
 
Jiwe hawezi akapeleka misaada kule Mozambique, hadi pale ambapo wenyeji wote wa Cabo Delgado watakubali kupigia kura wagombea ubunge wa CCM. [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kenya imetoa msaada wa vyakula na madawa kwa zaidi ya watu 300,000 Mozambique waliofurushwa kutokana na vita vya kigaidi vya kundi la Ansar al-Sunna.



Anyway kila mtu akichangia watapata usaidizi kwenye janga hili

Good in helping: isiwe tu for political and popularity, maana unaweza jifelisha uwezo fulani kwa kueneza mambo yako unayoyafanya ambayo hukutalkiwa kutangaza/kusema ila kuchukua hatua tu
 
Heri wao wametoa he wewe umepeleka Nini Kama sio kukodolea mimacho wenzako na kuwazodoa
Sio kweli kaka, marekani wanacho cha ziada ndio sababu wanatoa, hao homeless wengi ni kutokana na mgawanyo mbaya wa rasilimali na matatizo ya kijamii kama vile madawa ya kulevya, magonjwa ya akili na matatizo ya madeni

Ila uchumi wa Marekani unatosha kabisa kuhakikisha kila raia anaishi vizuri kama hayo matatizo yangerekebishwa, ulishasikia hata siku moja Marekani wanapewa msaada toka nchi yoyote kama sio siku za majanga kama kimbunga?.

Kenya uchumi umekufa kabisa, kila kitu ni mpaka kuomba misaada au mikopo, hata Chakula pia lazima wanaomba misaada, hivi hizo nchi zinazojiandaa kuwapa Kenya misaada ya chakula watajisikiaje wakisikia Kenya imetoa misaada ya chakula kwa Msumbiji?.

Kenya hawatumii akili kabisa, wangetoa vitu vingine ambavyo Kenya inazalisha kwa wingi, kama nguo, magodoro, blanckets, dawa na hata vifaa vya kilimo, Chakula wangeacha Tanzania ipeleke.


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom