Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Kuna hizi pilot boats tatu ambazo mumeagiza tuwatengenezee. Kampuni inayounda ni kampuni inayoitwa SECO engineering ya Mombasa. Tuko karibu kumaliza na by June boats zitakuwa tayari. Sisi ni jirani wema na tunawajali. Kenya ni nchi ya viwanda ndio maana tunawajengea pilot boats. Pilot boat inakaa hivi kwa wale ambao hawajui
Hata Ntv imeongea kuhusu jambo hili.
Hata Ntv imeongea kuhusu jambo hili.
