Kenya inaunda pilot boats tatu na nchi iliyoagiza ni Tanzania

Kenya inaunda pilot boats tatu na nchi iliyoagiza ni Tanzania

Hiyo songoro ata kama unaiita uchwara ila ni kampuni inajitahidi sana kwenye kuunda vyombo vya usafiri majini. Kwa kanda ya ziwa wamejitahidi sana. Hivyo usiwabeze kabisa. Ata kama hawajawafikia wakenya Ila ni jambo la muda tu watakua sawa.
Songoro ni Kampuni ya Watanzania 100% hivyo vya Kenya ni mali ya mabeberu wakenya ni watumwa tu hapo.
 
Kuna hizi pilot boats tatu ambazo mumeagiza tuwatengenezee. Kampuni inayounda ni kampuni inayoitwa SECO engineering ya Mombasa. Tuko karibu kumaliza na by June boats zitakuwa tayari. Sisi ni jirani wema na tunawajali. Kenya ni nchi ya viwanda ndio maana tunawajengea pilot boats. Pilot boat inakaa hivi kwa wale ambao hawajui
View attachment 1763109View attachment 1763110

Hata Ntv imeongea kuhusu jambo hili.


 
Tanzania kujenga meli sio boat
FB_IMG_1620038082009.jpg
FB_IMG_1620038073357.jpg
 
Back
Top Bottom