Kenya inaunda pilot boats tatu na nchi iliyoagiza ni Tanzania

Kenya inaunda pilot boats tatu na nchi iliyoagiza ni Tanzania

hao si wakenya ni experts wa nje sikiliza wanachosema! halafu isitoshe what is 20m boat? tanzania ina kampuni inajenga bigger boats than that!
Hakuna kumpuni tanzania enye inajenga boats. Kule Mwanza ni wachina tupu ndio wamejaa na kuwajengea boats.
 
Hamna shida mkipata Kenya,imepata Afrika,sasa hv Kenya wanatengeneza Bunduki,hii tekinolojia ipo Afrika mashariki sasa,hata bongo wakiitaka,ni Swala la kutumia intelligensia vzr tu.
Iran ilinunua tekinolojia ya Nyuklia kutoka Pakistan,Pakistan waliipata kutoka India,India walipewa na USA,
Mi nataka Kenya,tengenezeni hata vifaru,submarine,magari ya kijapan,tekinolojia ikifika Kenya,ni bora kwetu kuriko ikiwa bado ipo Urusi,UK,USA,
 
Haka kaboti katapigiwa kelele. Masikini akipata matako hulia mbwata.
Here they are, they are soon getting shipped to Dar.

IMG_20210425_135155.jpg
 
Ukishajua namna ya kula na hawa hautajali viburi vyao, unanyatia nyatia tu kwa kwenda mbele, wanatukana, wanakejeli ila wewe umo humo humo unakomalia tu.
Kenya ni nchi ya kibiashara. Haya mengine maneno ya tunaowalipa mishahara kwa kodi zetu sio msimamo halisi kwa ground.

Ukija huku mtaani tunategemeana sana. Na inatakiwa iwe hivyo sio kupigana biti na kina Shigela kufungiana mipaka.

Bidhaa ikiwepo bongo wateja Kenya bidhaa Kenya wateja Bongo mnapigana tafu namna hiyo siyo kuchokoana chokoana mnaenda agiza vitu huko Mexico sijui China upuuzi mtupu wa wanasiasa
 
hao si wakenya ni experts wa nje sikiliza wanachosema! halafu isitoshe what is 20m boat? tanzania ina kampuni inajenga bigger boats than that!
Kama mna uwezo wa kujenga pilot boats mbona hamkujenga? Usiwe unaangalia size pekee. Angalia mpaka na complexity ya project yenyewe na timelines. Sisi tunapatia customer guarantee kwamba in one year's time, boats zote tatu zitakuwa tayari. Tuna fast turnaround time, yaani miradi tunazichapa haraka. Hatujui TPA walizingatia nini kwa kupatia Kenya mradi huu badala ya kupatia kampuni za Kitanzania.
 
Haka kaboti katapigiwa kelele. Masikini akipata matako hulia mbwata.
Usiseme haka kaboti as if ni boti moja. Mumeagiza boti tatu kwa hivyo unastahili kusema haya maboti.
 
Hakuna kumpuni tanzania enye inajenga boats. Kule Mwanza ni wachina tupu ndio wamejaa na kuwajengea boats.
In fact huko Mwanza wanajenga Meli. Mambo ya boat na other smaller vessels naona wanaprefer kuja Kenya sana. Pengine expertise yao kwenye ujenzi wa boat upo chini mno.
 
Hamna shida mkipata Kenya,imepata Afrika,sasa hv Kenya wanatengeneza Bunduki,hii tekinolojia ipo Afrika mashariki sasa,hata bongo wakiitaka,ni Swala la kutumia intelligensia vzr tu.
Iran ilinunua tekinolojia ya Nyuklia kutoka Pakistan,Pakistan waliipata kutoka India,India walipewa na USA,
Mi nataka Kenya,tengenezeni hata vifaru,submarine,magari ya kijapan,tekinolojia ikifika Kenya,ni bora kwetu kuriko ikiwa bado ipo Urusi,UK,USA,
Hahaha. Asante. Umefikiria kama watu hamsini.
 
Mzee nishasema maskini akipata matako Julia mbwata.
Sasa mmeshindwa kutengeneza kivuko cha mombasa mnashobokea Tanzania
Kwani vile venye viko pale likoni no gunia? Usilete kisirani hapa just because we are making most of your boats.
 
In fact huko Mwanza wanajenga Meli. Mambo ya boat na other smaller vessels naona wanaprefer kuja Kenya sana. Pengine expertise yao kwenye ujenzi wa boat upo chini mno.
Ni wachina ndio wanajenga meli huko, sio watanzania.
 
Hatimaye relationship na majirani zinatengamaa. No more kuchoma vifaranga.
 
Mzee nishasema maskini akipata matako Julia mbwata.
Sasa mmeshindwa kutengeneza kivuko cha mombasa mnashobokea Tanzania
Na Nyinyi mumeshindwa kutengeneza boti mnataka tuwatengenezee halafu unaropokwa hapa?
 
Kama mna uwezo wa kujenga pilot boats mbona hamkujenga? Usiwe unaangalia size pekee. Angalia mpaka na complexity ya project yenyewe na timelines. Sisi tunapatia customer guarantee kwamba in one year's time, boats zote tatu zitakuwa tayari. Tuna fast turnaround time, yaani miradi tunazichapa haraka. Hatujui TPA walizingatia nini kwa kupatia Kenya mradi huu badala ya kupatia kampuni za Kitanzania.
peleka upumbavu! hamna cha maana cha hizo boats! Hili lilishakuwa-discussed!
 
Kenya ni nchi ya kibiashara. Haya mengine maneno ya tunaowalipa mishahara kwa kodi zetu sio msimamo halisi kwa ground.

Ukija huku mtaani tunategemeana sana. Na inatakiwa iwe hivyo sio kupigana biti na kina Shigela kufungiana mipaka.

Bidhaa ikiwepo bongo wateja Kenya bidhaa Kenya wateja Bongo mnapigana tafu namna hiyo siyo kuchokoana chokoana mnaenda agiza vitu huko Mexico sijui China upuuzi mtupu wa wanasiasa

Hii ndio sababu kuu kwanini Tanzania bado mpo maskini miaka yote hii, mnaendesha biashara zenu kindugu ndugu badala ya mahesabu ya kibiashara. Ukiwa na bidhaa nafuu, hakuna mwanabiashara atakwenda mbali, siku zote unanunua chochote kwa kufanya mipango na mahesabu, kama kipo karibu ya mipaka yako na kama bei yake ni nafuu na kama kitakua chenye ubora, hayo ya undugu hayahusu chochote kwenye corporate world.
 
peleka upumbavu! hamna cha maana cha hizo boats! Hili lilishakuwa-discussed!
BS. Kama huna hoja kaa mbali. Kwani TPA ni wazimu kutupatia sisi kazi? Mbona hawakupatia kampuni ya Kitanzania kama ni kweli mna uwezo? Au ni kwa sababu nyinyi ni lazy mtachukua miaka kumi kujenga wakaamua kuleta huku kwa wachapa kazi?
Mtu ana-insist kwamba wana uwezo wa kujenga ilhali TPA imeona kwamba hawana uwezo wakaamua kuleta kazi huku. Kuna watu akili punguani huku. Jamaa anajiona mjuaji hata kushinda TPA.
 
Hii ndio sababu kuu kwanini Tanzania bado mpo maskini miaka yote hii, mnaendesha biashara zenu kindugu ndugu badala ya mahesabu ya kibiashara. Ukiwa na bidhaa nafuu, hakuna mwanabiashara atakwenda mbali, siku zote unanunua chochote kwa kufanya mipango na mahesabu, kama kipo karibu ya mipaka yako na kama bei yake ni nafuu na kama kitakua chenye ubora, hayo ya undugu hayahusu chochote kwenye corporate world.
Kiswahili kigumu kidogo huko kwenu naona kama sisi ilivyo kinge kigumu

Niliposema bidhaa inapatikana kwa jirani na mbali(manaake ceteris peribus)

Achana na bei na ubora(hivi viko sawa) ila ni bora ununue Kenya kuliko China

BTW: Mimi Sio masikini(Tanzania yenyewe ni masikini ila sio wote "tupo" masikini)
 
BS. Kama huna hoja kaa mbali. Kwani TPA ni wazimu kutupatia sisi kazi? Mbona hawakupatia kampuni ya Kitanzania kama ni kweli mna uwezo? Au ni kwa sababu nyinyi ni lazy mtachukua miaka kumi kujenga wakaamua kuleta huku kwa wachapa kazi?
Songoro marine anajenga kama hizo! Na ana tender nyingi kuliko kampuni yeyote EA! Hata meli za Kenya kajenga!
aluminium-3.jpg



High speed catamarans


14054_162671817229733_2146314859_n.jpg





 
Back
Top Bottom