Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Kuna hali ya sintofahamu inaendelea nchini Kenya inayoshindwa kutafsiriwa kama ni Kenya inferiority complex ama vipi
Kenya ipo desperate sana kupambana na Tanzania kwenye maeneo ambayo imeachwa mbali.
Tulifikiri wenge liliishia kwenye kupaka lipsticks barabarani kumbe wamekuja mpaka na mikokoteni, yote hii ni kukimbizana na speed ya Tanzania
Sijui na SGR walioambiwa ingekuwa ya umeme 2020 itaanza lini sababu mwaka ndio unaenda ukingoni huu
Kenya ipo desperate sana kupambana na Tanzania kwenye maeneo ambayo imeachwa mbali.
Tulifikiri wenge liliishia kwenye kupaka lipsticks barabarani kumbe wamekuja mpaka na mikokoteni, yote hii ni kukimbizana na speed ya Tanzania
Sijui na SGR walioambiwa ingekuwa ya umeme 2020 itaanza lini sababu mwaka ndio unaenda ukingoni huu