joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Majirani waendelea kushuhudia hali ya usalama ikizidi kuzorota kila kukicha, Alshabaab wakioongoza katika kusababisha wasiwasi, huku makundi mengine ya wahalifu yakiweka pili pili katika vidonda vilivyoachwa wazi na Alshabaab. R.I.P.
Sent using Jamii Forums mobile app