Kenya is losing on its stock market as for Tanzania is doing better and becoming strong(2017)

Touko Garments. Wamesha fikisha jumla ya viwanda vitatu Dar. Nawanajenga vingine Kumi(10) sehemu tofauti nchini.Magufuli hoyee
 
Mabomba yakisasa yanayouzwa hadi Kenya ndotunaongelea siyo kiwanda cha IPS vya mabomba madogo hivyo vipo kila mkoa
Unazungumzia mabomba haya ambayo unalifunga asubuhi jioni halitoi maji au ni mabomba yapi mkuu, unaongelea ndoo disposable! Sahani zinatoka china, unabisha?
 
Mnatumia mapesa meengi kugharimia midebwedo!
Kiwanda cha TAMCO kinachokunyima usingizi. Nakwa sasa kipo kinapanuliwa zaidi. Kinatengeneza tractor za kisasa ilikuinua kilimo nchini kuliko scania ambayo kwako ni ndoto kuinunua
 
Nimeenda kufanya shopping kariakoo, nimetafuta bidhaa "made in tanzania" nimekumbana na mbilimbi, tomato sauce, chili sauce na ubuyu😀
Kama ulienda kufanya shopping kwa ajili ya kibanda chako cha kuuza chips ulitegemea kupata nini zaidi ya hizo chill na tomato sauces?
 
Huyo alienda kununua bidhaa za kutengenezea chips, asingeweza kuona vingine
 
DABAGA.
Kupenda ni swala binafsi.

Waya za umeme za kichina ndio zinajunguza nyumba kwa wingi sana aiku hizi kutokana na ubora hafifu!

Kama una caliper kapime hizo waya uone kama utapata kipimo kilichoandikwa.
Unaweza ukapima na caliper ukapata cross-section area iliyotajwa lakini conductivity yake ipo poor kama kuna impurities, hivyo usikariri caliper na brah brah zingine ukazani utakuwa umejibu hoja. Kama wewe unazijua vizuri cable za TZ basi ungezijua zile cable za Tanzania ambazo ni bora sana kuliko za huko China. Kuna cable za MCL, Kilimanjaro Cables, e.t.c. Sijui kama unazijua au ulikuwa unaropoka tu.
 
Kama ulienda kufanya shopping kwa ajili ya kibanda chako cha kuuza chips ulitegemea kupata nini zaidi ya hizo chill na tomato sauces?
Hahaaaaa kumbe jamaa anamiliki kibanda cha chips!! Ndo maana mida hii simuoni aki comment. Mida hindouwa wanaanza kumenya chips nakuandaa goli lamauzo.Uko wapi muuza chips.??
 
Unamuelimisha muuza chips?? Subili akifunga kazi yake ataludi kulopoka.
 
BAWACHA leo umepotea njia, unaumia sana ukiona mambo mazuri yakifanywa na serikali ya Magufuli. Utapasuka moyo kwa wivu wa kijinga. Hautakuja ufanikiwe kumuingiza madarakani huyo unayemtaka ktk miaka 10 tangu Nov 2015. Mambo yenu ya kichama nenda kule jukwaa la siasa la wabongo. Kule BAWACHA wenzio wa kukupa support kupinga maendeleo wapo wengi, huoni humu almost upo peke yako???!!!
 
Conductivity ni tofauti na resistivity, msingi wa hoja yangu si conductive reactance, majengo mengi yanaungua kwa sababu cables haziwezi beba load within their capability.

Ndio maana hata CLCB huwa hazi detect faults kwenye circuit mpaka moto unawaka.
Hayo ndio ma made in tanzania.
 
"tangu since" 😀😀
 
Kama ulienda kufanya shopping kwa ajili ya kibanda chako cha kuuza chips ulitegemea kupata nini zaidi ya hizo chill na tomato sauces?
Jamaa yenyu kasema wanaume muolewe ili kuharakisha maendeleo.
 
Hehehe wee jamaa 'tunakupigeni'
Tutafanye nini kaka na ndio ndugu zetu hawa.. ila ndugu wengine stress au jipu kwa lugha ya uncle Magu yaani wanatamani tubaki maskini ili wapate pa kujifarijia kwa umaskini wao
 
Its January in the post not June, check date before reply.
 
Naona muuza chips umeludi kivingine. !!Keds TLD kiwanda cha detergent cha Kleensoft cha pili Africa baada ya Ghana. Kutengeneza ajira 2,500. Kitakuwa kiwanda kikubwa cha kutengeneza sabuni za Kleensoft East and Central Africa pamoja nakuudumia soko la East and Central Africa. Kipo chini ya Sunda International( kleensoft)
Jamaa yenyu kasema wanaume muolewe ili kuharakisha maendeleo.
 
Umetakiwa kupongeza agizo muolewe ilikuongeza ufanisi.
Pongeza basi jitihada za mkulukulu!
 
"tangu since" 😀😀
Hapo ndipo ulipofikia uwezo wako wa kujibu hoja BAWACHA? FYI, Wanted to write in english but I changed my mind somewhere along the line, edited my phrase and I forgot to delete the word "since". Satisfied now?
 
Hapo ndipo ulipofikia uwezo wako wa kujibu hoja BAWACHA? FYI, Wanted to write in english but I changed my mind somewhere along the line, edited my phrase and I forgot to delete the word "since". Satisfied now?
Mimi kizungu sijui mkuu!
Kuna mtoto kanionyesha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…