Kenya is losing on its stock market as for Tanzania is doing better and becoming strong(2017)

Kenya is losing on its stock market as for Tanzania is doing better and becoming strong(2017)

Touko Garments. Wamesha fikisha jumla ya viwanda vitatu Dar. Nawanajenga vingine Kumi(10) sehemu tofauti nchini.Magufuli hoyee
FB_IMG_1497491596923.jpg
IMGS0504.jpeg
2017-06-22-07-59-29-1136590479.jpeg
Mnajisifu sana ndio maana tunakupigeni za mbavu!!

Wakati mnanunua ndege mlikuwa na maneno y shombo sana!!!
Sasa ona kwenye nchi yenye watu wengi zaidi duniani baada china imechemsha nyinyi mnaenda kununua ndege "kesh"

Likewise viwanda mnavyoviongelea ni vya kudumaza akili za watu wa nchi hii.

Msituambukize ujinga.
 
Mabomba yakisasa yanayouzwa hadi Kenya ndotunaongelea siyo kiwanda cha IPS vya mabomba madogo hivyo vipo kila mkoa
Screenshot_2017-06-29-22-12-18.png
Unazungumzia mabomba haya ambayo unalifunga asubuhi jioni halitoi maji au ni mabomba yapi mkuu, unaongelea ndoo disposable! Sahani zinatoka china, unabisha?
 
Mnatumia mapesa meengi kugharimia midebwedo!
Kiwanda cha TAMCO kinachokunyima usingizi. Nakwa sasa kipo kinapanuliwa zaidi. Kinatengeneza tractor za kisasa ilikuinua kilimo nchini kuliko scania ambayo kwako ni ndoto kuinunua
FB_IMG_1497489021496.jpg
FB_IMG_1497489008413.jpg
FB_IMG_1497488997029.jpg
FB_IMG_1497488997029.jpg
 
Nimeenda kufanya shopping kariakoo, nimetafuta bidhaa "made in tanzania" nimekumbana na mbilimbi, tomato sauce, chili sauce na ubuyu😀
Kama ulienda kufanya shopping kwa ajili ya kibanda chako cha kuuza chips ulitegemea kupata nini zaidi ya hizo chill na tomato sauces?
 
Wewe ni mmoja ya wale watanzania ambao bado mnaendesha sasa. Nitaweka viwanda vilivyo jengwa awamu ya Magufuli kwa kila comment utayokuwa unaweka.
Kiluwa steel. Largest iron and steel industry in East and Central Africa. Kiwanda kinaurefu wa kilometer moja (1km)na reli ya treni ya kilometer 1.2 km.. Kinatengeneza nondo na aina nyingine za chuma. Pia kinatumia coal kuzalisha umeme nakuyeyusha ChumaView attachment 532882 View attachment 532883 View attachment 532884 .
Huyo alienda kununua bidhaa za kutengenezea chips, asingeweza kuona vingine
 
DABAGA.
Kupenda ni swala binafsi.

Waya za umeme za kichina ndio zinajunguza nyumba kwa wingi sana aiku hizi kutokana na ubora hafifu!

Kama una caliper kapime hizo waya uone kama utapata kipimo kilichoandikwa.
Unaweza ukapima na caliper ukapata cross-section area iliyotajwa lakini conductivity yake ipo poor kama kuna impurities, hivyo usikariri caliper na brah brah zingine ukazani utakuwa umejibu hoja. Kama wewe unazijua vizuri cable za TZ basi ungezijua zile cable za Tanzania ambazo ni bora sana kuliko za huko China. Kuna cable za MCL, Kilimanjaro Cables, e.t.c. Sijui kama unazijua au ulikuwa unaropoka tu.
 
Kama ulienda kufanya shopping kwa ajili ya kibanda chako cha kuuza chips ulitegemea kupata nini zaidi ya hizo chill na tomato sauces?
Hahaaaaa kumbe jamaa anamiliki kibanda cha chips!! Ndo maana mida hii simuoni aki comment. Mida hindouwa wanaanza kumenya chips nakuandaa goli lamauzo.Uko wapi muuza chips.??
 
Unamuelimisha muuza chips?? Subili akifunga kazi yake ataludi kulopoka.
Unaweza ukapima na caliper ukapata cross-section area iliyotajwa lakini conductivity yake ipo pure kama kuna impurities, hivyo usikariri caliper na brah brah zingine ukazani utakuwa umejibu hoja. Kama wewe unazijua vizuri cable za TZ basi ungezijua zile cable za Tanzania ambazo ni bora sana kuliko za huko China. Kuna cable za MCL, Kilimanjaro Cables, e.t.c. Sijui kama unazijua au ulikuwa unaropoka tu.
 
Mnajisifu sana ndio maana tunakupigeni za mbavu!!

Wakati mnanunua ndege mlikuwa na maneno y shombo sana!!!
Sasa ona kwenye nchi yenye watu wengi zaidi duniani baada china imechemsha nyinyi mnaenda kununua ndege "kesh"

Likewise viwanda mnavyoviongelea ni vya kudumaza akili za watu wa nchi hii.

Msituambukize ujinga.
BAWACHA leo umepotea njia, unaumia sana ukiona mambo mazuri yakifanywa na serikali ya Magufuli. Utapasuka moyo kwa wivu wa kijinga. Hautakuja ufanikiwe kumuingiza madarakani huyo unayemtaka ktk miaka 10 tangu Nov 2015. Mambo yenu ya kichama nenda kule jukwaa la siasa la wabongo. Kule BAWACHA wenzio wa kukupa support kupinga maendeleo wapo wengi, huoni humu almost upo peke yako???!!!
 
Unaweza ukapima na caliper ukapata cross-section area iliyotajwa lakini conductivity yake ipo pure kama kuna impurities, hivyo usikariri caliper na brah brah zingine ukazani utakuwa umejibu hoja. Kama wewe unazijua vizuri cable za TZ basi ungezijua zile cable za Tanzania ambazo ni bora sana kuliko za huko China. Kuna cable za MCL, Kilimanjaro Cables, e.t.c. Sijui kama unazijua au ulikuwa unaropoka tu.
Conductivity ni tofauti na resistivity, msingi wa hoja yangu si conductive reactance, majengo mengi yanaungua kwa sababu cables haziwezi beba load within their capability.

Ndio maana hata CLCB huwa hazi detect faults kwenye circuit mpaka moto unawaka.
Hayo ndio ma made in tanzania.
 
BAWACHA leo umepotea njia, unaumia sana ukiona mambo mazuri yakifanywa na serikali ya Magufuli. Utapasuka moyo kwa wivu wa kijinga. Hautakuja ufanikiwe kumuingiza madarakani huyo unayemtaka ktk miaka 10 tangu since Nov 2015. Mambo yenu ya kichama nenda kule jukwaa la siasa la wabongo. Kule BAWACHA wenzio wa kukupa support kupinga maendeleo wapo wengi, huoni humu almost upo peke yako???!!!
"tangu since" 😀😀
 
Kama ulienda kufanya shopping kwa ajili ya kibanda chako cha kuuza chips ulitegemea kupata nini zaidi ya hizo chill na tomato sauces?
Jamaa yenyu kasema wanaume muolewe ili kuharakisha maendeleo.
 
Hehehe wee jamaa 'tunakupigeni'
Tutafanye nini kaka na ndio ndugu zetu hawa.. ila ndugu wengine stress au jipu kwa lugha ya uncle Magu yaani wanatamani tubaki maskini ili wapate pa kujifarijia kwa umaskini wao
 
hongera TZ...but this doenst mean anythng...get this data for a period of about 5 years then that will probably make a lot more sense...some countries perform poorer or better according to what is going on in those particular nations...for instance, in kenya, it is an election year..things tend to slow down in elections years and pick up after the elections are done...thats why one year data is just inadequate...
Its January in the post not June, check date before reply.
 
Naona muuza chips umeludi kivingine. !!Keds TLD kiwanda cha detergent cha Kleensoft cha pili Africa baada ya Ghana. Kutengeneza ajira 2,500. Kitakuwa kiwanda kikubwa cha kutengeneza sabuni za Kleensoft East and Central Africa pamoja nakuudumia soko la East and Central Africa. Kipo chini ya Sunda International( kleensoft)
8.jpeg
8.jpeg
4.jpeg

Jamaa yenyu kasema wanaume muolewe ili kuharakisha maendeleo.
 
Naona muuza chips umeludi kivingine. !!Keds TLD kiwanda cha detergent cha Kleensoft cha pili Africa baada ya Ghana. Kutengeneza ajira 2,500. Kitakuwa kiwanda kikubwa cha kutengeneza sabuni za Kleensoft East and Central Africa pamoja nakuudumia soko la East and Central Africa. Kipo chini ya Sunda International( kleensoft)View attachment 533235View attachment 533235 View attachment 533236
Umetakiwa kupongeza agizo muolewe ilikuongeza ufanisi.
Pongeza basi jitihada za mkulukulu!
 
"tangu since" 😀😀
Hapo ndipo ulipofikia uwezo wako wa kujibu hoja BAWACHA? FYI, Wanted to write in english but I changed my mind somewhere along the line, edited my phrase and I forgot to delete the word "since". Satisfied now?
 
Hapo ndipo ulipofikia uwezo wako wa kujibu hoja BAWACHA? FYI, Wanted to write in english but I changed my mind somewhere along the line, edited my phrase and I forgot to delete the word "since". Satisfied now?
Mimi kizungu sijui mkuu!
Kuna mtoto kanionyesha!
 
Back
Top Bottom