Bila Tanzania East Africa would be truly a dark place....🤣🤣🤣Endeleeni kutuletea data za makaratasi...Muogope Mungu na Technology???🤣🤣🤣😅😅Satellite haidanganyi..🤣🤣🤣 Endelea na story zako za Mombasa na Nairobi wakati umekimbia Battle😅😅😅🤣🤣🤣🤣Hahahaha Mombasa brighter than Dar is Slum halafu naona KENYA is brighter hapa EAC kuwazidi ndugu zetu 1350MW yani jamaa kapost ushahidi wa kujidhalilisha.
Pamoja nakusema JF is a home of great thinkers bado unatumia wikipedia kama real source which you can depend on hapa JF??🤣🤣🤣 Zero brain in the making...
Nani kahepa thread😅😅😅 Unaomba iwe hivyo...!! 😅😅😅 Hamuwezi shindana na TZ..Kumbe umeme wenu upo kwenye makaratasi hau tumiki...Investors wanakula ile tunaita capacity charge..😅😅😅🤣🤣Naona wamehepa thread sasa watarudi hapa na kusema hiyo satellite image katengenezwa na Wakenya. mulisaaa
Satellite haidanganyi.....Angalia distribution ya umeme kati ya TZ na Kenya😅😅😅🤣🤣🤣 Dar es salaam battle mumekimbia baada ya kushindwa lakini bila haibu bado unaitaja...🤣🤣🤣Huwa wanajiaibisha hivyo, jamaa atakurupuka kuanzisha uzi bila kuangalia kwa makini kwanza na kuhakikisha kama anachodhania ndicho. Yaani picha iko wazi inaonyesha Mombasa imeizidi Dar kwa mwanga usiku, hapo hujataja maeneo mengine Kenya, kwa mfano naona Kisumu na viunga vyake imewaka kuzidi mji wowote Tanzania.
Ni wazi kwamba Kaskazini Kenya ni jangwa tupu, hivyo kiza huko ni jambo la kawaida, maana nusu ya Kenya ni kame tupu, lakini ukiangalia nusu ya Kenya ambayo tumewekeza na kuishi, ina mwanga zaidi ya mataifa yote ya mashariki mwa Afrika na Kati.
Kwa hiyo Satellite ina danganya....!!!🤣🤣🤣😅😅😅From 2010 Tanzania ilikuwa imehamia dunia nyingine..?? Zero brain in the making😅😅😅A satellite image dated to 2010.
Currently 70%of Kenyans have access to electricity as compared to less than half of Tanzanians .
That is an undisputed fact.
Walio gizani no ninyi!!
Satellite haidanganyi.....Angalia distribution ya umeme kati ya TZ na Kenya😅😅😅🤣🤣🤣 Dar es salaam battle mumekimbia baada ya kushindwa lakini bila haibu bado unaitaja...🤣🤣🤣
Alafu umeme wa Kenya upo chini ya private Investors...!! Kwa hiyo sio kweli kuwa wanatumia umeme wote ule😅😅😅Alafu wanakwambia they are developed🤣🤣🤣Satellite imeumbua watu,,kumbe kelele zote umeme mumeweka mijini tu..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya has 14 dots whils Tanzania has 22 Dots..🤣🤣Unakimbilia mipaka tena😅😅😅🤣🤣🤣🤣Wewe unaangalia satellite gani, chunguza kwa makini hiyo picha uliyoleta humu, tatizo wengi wenu huwa hata hamjui mipaka hivyo nitakuelewa kinachokuchanganya.
Maandashi yanashindana na technology ya Satellite...😅😅😅🤣
Huu uongo hadi Burundi watuzidi!!
Dot ndogo ndogo.. Yani ata Mombasa imechapa darCount the number of Dots in TZ and KE...[emoji28][emoji28][emoji28]Tanzania has22 real dots Kenya has 14 dots [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 987696
Ungeanza mwanzo na kuiliza Wakenya waishia wapi, ungegundua kule wanakoishi ndo huko unakoona mataa mengi.....The satellite image shows Kenya is almost like Uganda during the night....The dots are evenly distributed in Tanzania..The picture shows Tanzania has a better life than Kenya...Kumbe Kenya umeme upo Nairobi tu🤣🤣🤣 View attachment 987369
The satellite image shows Kenya is almost like Uganda during the night....The dots are evenly distributed in Tanzania..The picture shows Tanzania has a better life than Kenya...Kumbe Kenya umeme upo Nairobi tu🤣🤣🤣 View attachment 987369
Mbona kaskazini mwa Kenya kuna watu wanaishi!! Wewe bila aibu unasema ni jangwa tupu na kutokua na umeme ni sahihi!! Hii mentality yakujiona baadhi yenu kutoka maeneo fulani fulani ni bora kuliko wengine inaitafuna sana Kenya (ukabila) na hapa imekutoka automaticaly. Ukabila uko deep sana kwenu, inabidi mfanye maombi ya kitaifa kukemea hilo pepo.Huwa wanajiaibisha hivyo, jamaa atakurupuka kuanzisha uzi bila kuangalia kwa makini kwanza na kuhakikisha kama anachodhania ndicho. Yaani picha iko wazi inaonyesha Mombasa imeizidi Dar kwa mwanga usiku, hapo hujataja maeneo mengine Kenya, kwa mfano naona Kisumu na viunga vyake imewaka kuzidi mji wowote Tanzania.
Ni wazi kwamba Kaskazini Kenya ni jangwa tupu, hivyo kiza huko ni jambo la kawaida, maana nusu ya Kenya ni kame tupu, lakini ukiangalia nusu ya Kenya ambayo tumewekeza na kuishi, ina mwanga zaidi ya mataifa yote ya mashariki mwa Afrika na Kati.
Kichaa ni kama Hana macho....umefanya vizuri kumchorea Hadi map ashike adabu[emoji23][emoji23]Wacha nikupe picha zilizochorwa ramani kabisa maana kama kawaida wengi wenu huwa hamjui hata jiografia, Kenya tunaishi eneo ndogo sana, lakin hata hilo eneo linazidi ukanda wote huu kwa maendeleo.